Featured Kitaifa

NAJUTA,’JIMAMA’ LA MJINI LANIFANYIA KITU MBAYA! 

Written by mzalendo

Habari ndugu msomaji, jina langu ni Amani kutokea Dar es Salaam nchini Tanzania, ni kijana ambaye anajishughulisha na kazi ya Bodaboda kwa zaidi ya miaka mitano sasa. 

Nakumbuka kuna kipindi nilikuwa kwenye mahusiano na mwanamke mmoja mtu mzima kidogo, alikuwa ni mke wa mtu, mwanzo sikujua ila baada ya muda nikajua ila kutokana na mapenzi yalivyokuwa yamenoga wala sikujali. 

Alinikubali sana yule mama hadi nikaogopa mume wake angeweza kujua ila haikufika huko, ingawa penzi letu lilikuwa na kificho sana ila lilikuwa ni tamu sana, kila mara angenipigia simu na kuniambia nimkute wapi katika nyumba ya wageni. 

Baadaye nikaja nikapata mchumba ambaye nilitokea kumpenda sana na yeye alinipenda pia, haikupita muda nikawa nimempa ujauzito, basi yule mama alipokuja kujua, nahisi alinifanyia ushirikina. 

Hii ni kutokana mchumba wangu baada ya kujifungua niliishi naye wa muda mfupi sana akaniacha bila sababu tena nikiwa bado nampenda sana, nilirudi tu katika kazi zangu na kukuta ameondoka. 

Nilikaa single kwa muda mrefu sana, tatizo lilikuwa kubwa kwangu kwa sababu kila ambapo nilitaka kuoa, kila mwanamke nikimtongoza tunafika hatua nzuri za uhakika ila mahusiano yanaisha bila hata sababu yoyote.

Kwa muda mrefu niliteseka na hali hadi pale nilipoweza kupata msaada wa tiba ya mitishamba kutoka kwa mtaalamu mmoja aitwaye Kiwanga Doctor ambaye nilipata kumfahamu kupitia blog moja maarufu nchini. 

Nashukuru baada ya kuwasiliana naye kupitia namba yake simu (+254 769 404965), alinifanyia ganga ganga zake na matambiko ili kuondoa mikosi yote niliyoachiwa na mama yule. Kwa sasa nimerudiana na yule mchumba wangu na tunaishi vizuri tu. 

Siku zote kumbuka Kiwanga Doctors anatoa huduma kama kusafisha nyota, kusuluhisha migororo ya ndoa, mahusiano, mapenzi na familia, kumfunga mume au mke asitoke nje ya ndoa, anatoa tiba kwa wanaotafuta watoto. 

Vilevile anatoa huduma ya kukusaidia kupata kazi au ajira, kupandishwa cheo na mshahara kazini, kuwasaidia wenye urahibu wa dawa za kulevya, sigara na pombe, kwa wanaotafuta mume au mke pia anawasaidia tena ndani ya siku chache. 

Anatibu magonjwa kama kisukari, msukumo wa damu (BP), upungufu wa nguvu za kiume, miguu kuwaka moto n.k, pia anaweza kuisadia biashara yako kunawiri, na huduma zote hizi unaweza kuzipata bila kufika ofisini kwake. 

Basi chukua hatua ya kuwasiliana na Kiwanga Doctors kwa namba; +254 769 404965.

About the author

mzalendo