marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

izmit escort

izmit escort

izmit escort

cashwin

palacebet

meritking giriş

kavbet

bets10 giriş

holiganbet

holiganbet

teosbet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

betgaranti

ngsbahis

betlike

parmabet

mislibet

mislibet

artemisbet

nitrobahis

jojobet

jojobet

kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

vdcasino, vdcasino giriş

kralbet, kralbet giriş

alobet, alobet giriş

jojobet

restbet

jojobet

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet güncel giriş

holiganbet giriş

Nitric Boost

bahiscasino giriş

Featured Kitaifa

TRA SHINYANGA YAENDESHA SEMINA YA KODI KWA WATUMISHI WA TAASISI ZA UMMA SHINYANGA

Written by Alex Sonna
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi akizungumza wakati akifungua semina ya Kodi kwa Watumishi wa taasisi za Umma mkoa wa Shinyanga
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi akizungumza wakati akifungua semina ya Kodi kwa Watumishi wa taasisi za Umma mkoa wa Shinyanga
 
Na Kadama Malunde _ Malunde 1 blog
 
Mamlaka ya Mapato (TRA) Mkoa wa Shinyanga imeendesha semina ya Kodi kwa Watumishi wa taasisi za Umma kwa ajili ya kukumbushana na kuelimishana kuhusu ukusanyaji wa kodi hususani matumizi na umuhimu wa kudai risiti sahihi za Kielekroniki (EFD) kwa manunuzi yote au huduma.
 

 
Akizungumza leo Jumatano Februari 28,2024 wakati wa kufungua semina hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Karena Hotel Mjini Shinyanga, Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi amewataka washiriki wakawe mabalozi na walimu wazuri kwa watumishi wengine ambao hawajapata nafasi ya kushiriki mafunzo hayo.
 
Mhe. Samizi amesema ni agizo la Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuhakikisha kwamba TRA inakusanya kodi kwa haki na kukubaliana juu ya namna bora ya kulipa kodi bila kuathiri shughuli za kiuchumi.
 
“Kwa kutambua mchango mkubwa wa watumishi wa umma katika kuchangia pato la serikali kwa makato ya kodi ya utumishi (PAYE) yanayokatwa moja kwa moja na mwajili kila mwezi. Makusanyo haya ya kodi ya PAYE yameifanya serikali ya awamu ya sita kuweza kutekeleza miradi mingi ya maendeleo na ya kimkakati kwa kasi pamoja na kutoa huduma bora kwa wananchi”, amesema Mhe. Samizi.
 
Katika hatua nyingine amewapongeza watumishi wote ambao pia ni wafanyabiashara kwa kuendelea kutii sheria za kodi kwa hiari na kuendelea kulipa kodi katika biashara zao kwa kutoa risiti za EFD pale wanapofanya mauzo au kutoa huduma.
 
Aidha amewashauri watumishi wa umma kuamsha ari na mazoea ya kudai risiti sahihi za EFD kila wanapofanya manunuzi na kupokea huduma yoyote akisisitiza kuwa watumishi wana wajibu mkubwa wa kusaidia ukusanyaji wa kodi.
 
Mhe. Samizi ameitaka TRA kuchukua hatua stahiki za kudhibiti ukwepaji kodi kutokana na kutotoa risiti sahihi kwa kutoa faini stahiki kwa mujibu wa sheria.
 
“Nafahamu zipo faini zinazotolewa kwa wasiotoa na wasiodai risiti. Lengo la serikali ni kukusanya kodi si adhabu, riba na faini”, amesema.
 
Katika hatua nyingine amesema serikali itaendelea kushirikiana na TRA katika kusimamia maelekezo ya serikali kuhusu usimamizi wa mapato sambamba na suala la risiti za EFD huku akiwahimiza TRA kuendelea kufanya kazi kwa mujibu wa sheria za kodi na kwa uadilifu mkubwa.
 
 
Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Shinyanga, Faustine Cosmas Mdessa, amesema TRA ina jukumu la kuendesha semina elekezi kwa viongozi na watumishi wa umma ili kufanikisha ufuatiliaji wa ukusanyaji wa mapato ya serikali, kusaidia kubaini ukwepaji wa kodi, kupanua wigo wa walipakodi na uwajibikaji na kuweza kujadili utendaji na mikakati itakayosaidia kufikia malengo ya ukusanyaji wa mapato ya serikali.
 
Mdessa amesema suala la kodi ni mtambuka kwa ajili ya maendeleo ya taifa hivyo kuwasisitiza wafanyabiashara kutoa risiti na wateja kudai risiti.
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi akizungumza wakati akifungua semina ya Kodi kwa Watumishi wa taasisi za Umma mkoa wa Shinyanga
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi akizungumza wakati akifungua semina ya Kodi kwa Watumishi wa taasisi za Umma mkoa wa Shinyanga
Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Shinyanga, Faustine Cosmas Mdessa akizungumza wakati wa semina ya Kodi kwa Watumishi wa taasisi za Umma mkoa wa Shinyanga
Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Shinyanga, Faustine Cosmas Mdessa akizungumza wakati wa semina ya Kodi kwa Watumishi wa taasisi za Umma mkoa wa Shinyanga
Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Shinyanga, Faustine Cosmas Mdessa akizungumza wakati wa semina ya Kodi kwa Watumishi wa taasisi za Umma mkoa wa Shinyanga

About the author

Alex Sonna