marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sapanca escort

escort sapanca

holiganbet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

jojobet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

palacebet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

interbahis

klasbahis

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

jojobet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

kingroyal

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

setrabet

Madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

superbetin

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

türk ifşa

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

casibom giriş

jokerbet

jokerbet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis giriş

imajbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

porno izle

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

porno izle

Hacklink Panel

teosbet

vdcasino

bets10 giriş

interbahis

goldenbahis

imajbet

interbahis giriş

klasbahis

interbahis giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

deneme bonusu 2026

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

ilbet

ilbet giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

marsbahis

deneme bonusu veren siteler

primebahis

alobet, alobet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

royalbet

tarafbet

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

padişahbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

meritking

betoffice

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

herabet

casibom

Kitaifa

WATENDAJI WATAKIWA KUFANYA UCHAGUZI KWA UFANISI

Written by mzalendo

Makamu Mwenyekiti wa Tume, Jaji Rufaa (Mstaafu)
Mhe. Mbarouk Salim Mbarouk akizungumza wakati akifunga mafunzo kwa watendaji wa
Uchaguzi ambao wanakwenda kusimamia uchaguzi mdogo katika Kata 23 za Tanzania Bara
yaliyofanyika kwa siku tatu mkoani Morogoro. Uchaguzi unataraji kufanyika Machi
20,2024.

 

Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasiliamaliwatu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Silas Marwa akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi wa Uchaguzi.

Mwenyekiti wa Mafunzo hayo, ambaye pia ni Msimamizi wa Uchaguzi wa Hamlmashauri ya Mji wa Kibaha, Eng. Mshamu Ally
Munde akizungumza kwa niaba ya washiriki.

Mwenyekiti wa tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Mhe. Jaji  George Kazi  na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa ZEC Thabit Idarous Faina (kushoto) wakifuatilia ufungaji wa mafunzo. 

 

Sehemu ya washiriki wa mafunzo kwa watendaji wa
Uchaguzi mdogo wa udiwani kwa Kata 23 za Tanzania bara yaliyofanyika mkoani
Morogoro kwa siku tatu. Uchaguzi unataraji kufanyika Machi 20,2024.

Sehemu ya washiriki wa mafunzo kwa watendaji wa
Uchaguzi mdogo wa udiwani kwa Kata 23 za Tanzania bara yaliyofanyika mkoani
Morogoro kwa siku tatu. Uchaguzi unataraji kufanyika Machi 20,2024.

Sehemu ya washiriki wa mafunzo kwa watendaji wa
Uchaguzi mdogo wa udiwani kwa Kata 23 za Tanzania bara yaliyofanyika mkoani
Morogoro kwa siku tatu. Uchaguzi unataraji kufanyika Machi 20,2024.

********************
Na Mwandishi wetu, Morogoro.
Tume
ya Taifa ya Uchaguzi imewakumbusha watendaji wa uchaguzi kwenye uchaguzi mdogo
wa kata 23 za Tanzania Bara kukamilisha maandalizi muhimu kwa wakati ili
kuwezesha uchaguzi huo kufanyika kwa ufanisi.

Wito
huo umetolewa na Makamu Mwenyekiti wa Tume, Jaji Rufaa (Mstaafu) Mhe. Mbarouk
Salim Mbarouk leo tarehe 22 Machi, 2024 wakati akifunga mafunzo kwa watendaji
hoa yalifanyika mkoani Morogoro.

Uchaguzi
huo utafanyika tarehe 20 Machi, 2024 ambapo fomu za uteuzi zitatolewa kuanzia
tarehe 27 Februari, 2024 hadi tarehe 04 Machi, 2024, uteuzi wa wagombea
utafanyika tarehe 04 Machi, 2024 na kampeni za uchaguzi zitafanyika kuanzia
tarehe 05 hadi 19 Machi, 2024.

Mnatakiwa kukamilisha mambo yote muhimu
yanayotakiwa kwenye mchakato wa uchaguzi, ikiwa ni pamoja na kubandika
matangazo na mabango mbalimbali ya kisheria kuhusiana na uchaguzi kwa mujibu wa
maelekezo,” amesema Jaji Mbarouk.

Aliwakumbusha
watendaji hao kuwa wapo wadau mbalimbali wa uchaguzi kama vile vyama vya siasa,
wananchi na watazamaji ambao wanafuatilia uendeshwaji wa uchaguzi na kiwango
cha uzingatiwaji wa sheria zinazohusiana na uchaguzi. Hivyo, ni muhimu
wakatekeleza kila hatua na kila jambo linalotakiwa kwa mujibu wa kalenda ya
uchaguzi.

“Jukumu
lililopo mbele yetu ni kubwa na muhimu na linahitaji umakini, na kujitoa, na
hasa baada ya kupatiwa mafunzo haya, mtatekeleza majukumu yenu kwa ufanisi na
weledi mkizingatia ratiba ya utekelezaji ili kufanikisha uchaguzi wa tarehe 20
Machi, 2024,” Jaji Mbarouk amewaambia watendaji hao.

Amesisitiza
juu ya umuhimu wa watendaji hao kutenga sehemu ya muda wao kusoma Katiba,
Sheria na Maelekezo mbalimbali yanayotolewa na Tume ili yawaongoze katika
kusimamia uchaguzi utakaokuwa huru na wa haki.

Kata
zitakazofanya uchaguzi huo mdogo ni Kimbiji (Halmashauri ya Manispaa ya
Kigamboni), Kasingirima (Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma/Ujiji), Ndevelwa
(Halmashauri ya Manispaa ya Tabora), Msangani (Halmashauri ya Mji Kibaha),
Fukayosi    (Halmashauri ya Wilaya ya
Bagamoyo), Mlanzi (Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti), Utiri (Halmashauri ya Mji
Mbinga) na Mbingamhalule (Halmashauri ya Wilaya ya Songea).

Nyingine
ni  Isebya (Halmashauri ya Wilaya ya
Mbogwe), Kibata (Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa),             Mshikamano (Halmashauri ya Wilaya ya Musoma), Busegwe
(Halmashauri ya Wilaya ya Butiama), Nkokwa (Halmashauri ya Wilaya ya Kyela),
Kamwene (Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba), Chipuputa (Halmashauri ya Wilaya ya
Nanyumbu), Buzilasoga (Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema), Mhande (Halmashauri
ya Wilaya ya Kwimba), Kabwe (Halmashauri ya Nkasi), Bukundi (Halmashauri ya
Wilaya ya Meatu) Mkuzi (Halmashauri ya Wilaya ya Muheza) na Boma, Mtimbwani na
Mayomboni (Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga).

About the author

mzalendo