marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

casibom giriş

jojobet

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

imajbet

vdcasino

marsbahis

kavbet

bets10 giriş

jojobet

holiganbet

wbahis

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

grandpashabet

marsbahis

restbet

artemisbet

artemisbet

kavbet giriş

mislibet

betra

kavbet

aresbet

jojobet

betasus giriş

holiganbet

kulisbet, kulisbet giriş

betkare, betkare giris

betparibu

bekabet, bekabet giris

jojobet

Superbetin giriş

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

perabet

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

onlybet giriş

betebet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet güncel giriş

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

ultrabet

Gamdom

grandpashabet giriş

egebet

betsmove

mavibet

egebet

betsmove

tophillbet

netbahis giriş

casibom

royalbet

bibubet

https://pasands.com/

يلا شوت

hantavirus token

restbet

kumar siteleri

kralbet giriş

Deneme Bonusu

tümbet

tümbet giriş

tümbet

tümbet giriş

parmabet

kavbet

kavbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

artemisbet

artemisbet giriş

parmabet

parmabet giriş

mislibet

parmabet

vdcasino

marsbahis

sweet bonanza

jojobet güncel giriş

yakabet

marsbahis

vdcasino

aviator

bets10

bets10 giriş

jupiterbahis

sweet bonanza oyna

Featured Kitaifa

DKT. BITEKO AAGIZA ZAHANATI ILIYOUNGANISHIWA UMEME WA REA IANZE KAZI MARA MOJA

Written by Alex Sonna

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko akizungumza na wananchi waliojitokeza katika hafla ya kuwasha umeme katika Zahanati ya Kijiji cha Mkangwe, Wilaya ya Mufindi, Mkoa wa Iringa leo Februari 22, 2024.

Na Veronica Simba – REA

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Mashaka Biteko ameuagiza Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi kuhakikisha Zahanati ya Kijiji cha Mkangwe, iliyounganishiwa umeme wa REA inaanza kazi mara moja.

Ametoa maagizo hayo leo, Februari 22, 2024 wakati akizungumza na wananchi baada ya kuwasha umeme katika Zahanati hiyo.

“Umeme tayari tumewasha, kwahivyo hakuna haja ya kusubiri. Naagiza Zahanati hii ianze kazi Jumatatu ijayo (Februari 26) ili wananchi wapate huduma za afya kama Serikali ilivyodhamiria,” amesisitiza.

Aidha, Dkt. Biteko amewaagiza Wakandarasi wanaotekeleza miradi ya umeme vijijini nchini kote kuhakikisha wanakamilisha kwa wakati ili Serikali iendeleze miradi hiyo katika maeneo mengine ambayo hayajafikiwa.

Amesema kuwa kadri miradi ya umeme vijijini inavyoendelea kutekelezwa katika maeneo mbalimbali, kiu ya wananchi ambao hawajafikiwa inaongezeka hivyo ameiagiza REA kuhakikisha inasimamia suala la ukamilishwaji miradi hiyo kwa wakati.

Awali, akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini kwa Mkoa wa Iringa, Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mhandisi Godfrey Chibulunje amesema kuwa Vijiji vyote 360 vya Mkoa huo, sawa na asilimia 100 vimepatiwa huduma ya umeme kupitia miradi mbalimbali inayotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA).

Ameongeza kuwa, mbali na kufikisha umeme katika vijiji vyote, REA pia imefikisha nishati hiyo katika vitongoji 1,188 kati ya 1,853 sawa na asilimia 64.11

“Vitongoji vilivyobaki vipo kwenye mpango wa kufikishiwa huduma ya umeme kupitia miradi ya ujazilizi na miradi ya vitongoji,” amesema Chibulunje.

Akitoa takwimu za Jimbo la Mufindi Kusini, ambapo ndipo kilipo kijiji cha Mkangwe, Mhandisi Chibulunje amesema kuwa vijiji vyake vyote 71 sawa na asilimia 100 vimekwishafikishiwa umeme kupitia miradi mbalimbali ya REA.

Ameitaja miradi hiyo kuwa ni pamoja na REA Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili, Mradi wa kupeleka umeme kwenye Vituo vya Afya na Pampu za Maji pamoja na Mradi wa kupeleka umeme kwenye Vitongoji.

Kuhusu Vitongoji, ameeleza kuwa Jimbo la Mufindi Kusini lina jumla ya Vitongoji 305 ambapo kati yake, 191 tayari vimekwishapatiwa umeme.

Kwa upande wa gharama zilizotumika kutekeleza miradi ya umeme katika vijiji vya Jimbo la Mufindi Kusini, amesema kuwa jumla ya shilingi bilioni 7.6 zimetumika.

Hafla hiyo ya kuwasha umeme imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Vyama vya Siasa na Serikali, wananchi pamoja na Wataalamu kutoka REA na TANESCO.

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko akiwasha umeme katika Zahanati ya Kijiji cha Mkangwe, Wilaya ya Mufindi, Mkoa wa Iringa leo Februari 22, 2024.

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko akizungumza na wananchi waliojitokeza katika hafla ya kuwasha umeme katika Zahanati ya Kijiji cha Mkangwe, Wilaya ya Mufindi, Mkoa wa Iringa leo Februari 22, 2024.

Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Godfrey Chibulunje akizungumza wakati wa hafla ya kuwasha umeme Zahanati ya Kijiji cha Mkangwe, Wilaya ya Mufindi, Mkoa wa Iringa leo Februari 22, 2024.

Muonekano wa juu wa miundombinu ya umeme pamoja na nyumba zilizounganishwa na umeme katika Kijiji cha Mkangwe, Wilaya ya Mufindi, Mkoa wa Iringa ambapo Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko aliwasha umeme katika kijiji hicho leo Februari 22, 2024.

Muonekano wa Zahanati ya Kijiji cha Mkangwe ambapo hafla ya kuwasha umeme katika kijiji hicho ilifanyika Wilayani Mufindi, Mkoa wa Iringa leo Februari 22, 2024.

Sehemu ya wahudumu wa Afya katika Zahanati ya Kijiji cha Mkangwe akiendelea kutoa huduma kwa wananchi wa kijiji hicho muda mfupi kabla ya hafla ya kuwasha umeme katika zahanati hiyo iliyofanywa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko Wilayani Mufindi, Mkoa wa Iringa leo Februari 22, 2024.

Sehemu ya wananchi wakimskiliza Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko alipokuwa akizungumza mara baada ya kuwasha umeme katika Zahanati ya Kijiji cha Mkangwe, Wilaya ya Mufindi, Mkoa wa Iringa leo Februari 22, 2024.

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Halima Dendegu akizungumza wakati wa hafla ya kuwasha umeme Zahanati ya Kijiji cha Mkangwe, Wilaya ya Mufindi, Mkoa wa Iringa leo Februari 22, 2024.

Mbunge wa Mufindi Kusini ambaye pia ni Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile akizungumza wakati wa hafla ya kuwasha umeme Zahanati ya Kijiji cha Mkangwe, Wilaya ya Mufindi, Mkoa wa Iringa leo Februari 22, 2024.

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko akikata utepe pamoja na viongozi mbalimbali kabla ya kuwasha umeme Zahanati ya Kijiji cha Mkangwe, Wilaya ya Mufindi, Mkoa wa Iringa leo Februari 22, 2024.

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko akizungumza jambo na Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuuwa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Godfrey Chibulunje wakati wa hafla ya kuwasha umeme Zahanati ya Kijiji cha Mkangwe, Wilaya ya Mufindi, Mkoa wa Iringa leo Februari 22, 2024.

 

About the author

Alex Sonna