Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

perabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

bets10

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Kitaifa

TUTAFUATILIA UTENDAJI KAZI WA WATUMISHI NA CHANGAMOTO ZAO

Written by mzalendo

Na. Asila Twaha, Morogoro

Mkurugenzi wa Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe Ofisi ya Rais – TAMISEMI Dkt. Rashid Mfaume amesema Ofisi ya Rais – TAMISEMI itafuatilia utendaji kazi wa watumishi wa Mikoa na Halmashauri na kufuatilia changamoto za wananchi katika maeneo yao ili ziweze kutatuliwa.

Akieleza hayo Januari 27, 2024 katika kikao cha majumuisho na wataalamu wa afya ngazi ya CHMT, HMT za hospitali za Wilaya, Vituo vya Afya, RHMT na MSD.

Aidha, kikao hicho ni baada ya kufanya ziara ya kikazi ya siku tatu ya ukaguzi wa miradi ya ujenzi wa afya, utoaji wa huduma kwa wananchi na kuzungumza na watumishi katika Halmashauri ya Wilaya Morogoro, Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero na Manispaa ya Morogoro.

Akieleza lengo la Serikali katika usimamizi wa miradi kukamilika kwa wakati lakini pia miradi kuendana na thamani ya fedha iliyowekezwa amesisitiza kila mtumishi atekeleze majukumu yake kwa weledi ikiwa ni pamoja na kutoa huduma bora kwa wananchi huku akiwataka kuitumia na kuisimaia vizuri mifumo ya kieletroniki iliyofungwa kwani ukusanyaji wa fedha hizo husaidia kuendelea kuboresha huduma za afya.

Dkt. Mfaume amewataka watumishi hao kushirikiana na Wakurugenzi wao kwa sababu zipo baadhi ya Halmashauri ambazo fedha za kumaliza miradi zinapochelewa au kuwa hazitoshi Wakurugenzi wamekuwa wakitoa fedha kumaliza miradi ili huduma zitolewa na hivyo wao ni jukumu lao sasa kuhakikisha wanatoa huduma kwa wananchi kwa wakati.

Kwa upande mwingine Dkt. Mfaume amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Morogoro kwa kuendelea kusimamia na kuzuia ugonjwa wa kipindupindu ambao kwa sasa upo kwenye baadhi ya mikoa na kuwakumbusha watendaji hao kuendelea kuweka mikakati ya kuzuia ugonjwa huo kwa kutunza vyanzo vya maji visichafuliwe na mifumo ya vyoo na maji taka kuimarishwa ili kuzuia maambukizi.

“Natoa wito kwa watendaji wenzangu ni lazima tuchukue tahadhari na hatua za kinga dhidi ya magonjwa ya kuhara” amesisitiza
Dkt. Mfaume

Naye Mganga Mkuu wa mkoa wa Morogoro Dkt. Kusirye Ukio amesema, watayafanyia kazi yale yote waliyoelezwa kwa kushirikiana na watumishi wote kwa lengo la kutoa na kuboresha huduma kwa wananchi.

About the author

mzalendo