marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

lordbahis

NervEase

sapanca escort

sapanca escort

escort sapanca

holiganbet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

jojobet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

palacebet

holiganbet

marsbahis

imajbet giriş

imajbet

parmabet

piabellacasino

mislibet

piabellacasino

goldenbahis

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet giriş

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

madridbet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

setrabet

Madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

jojobet

imajbet

imajbet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet güncel giriş

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

teosbet

vdcasino

bets10 giriş

imajbet giriş

goldenbahis

imajbet

imajbet giriş

imajbet güncel giriş

ngsbahis

kralbet giriş

bahiscasino

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

casino siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

ilbet

ilbet giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

gonebet, gonebet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

romabet

meritking

güvenli casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

jetbahis

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

betoffice

norabahis

marsbahis

nesinecasino

holiganbet

mercurecasino

casinowon

grandpashabet

padişahbet

Google Search Console giriş

Featured Kitaifa

WATU 573 WAFIKIWA NA HUDUMA YA TIBA MKOANI TABORA

Written by mzalendo

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt. Batilda Buriani akimkabidhi zawadi za wataalamu wa afya waliofanya kambi ya upimaji wa magonjwa ya moyo mkoani humo Daktari kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Parvina Kazahura baada ya kumalizika kwa kambi hiyo mwishoni mwa wiki iliyopita. Wapili kulia ni Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa Tabora – KITETE Dkt. Mark Waziri.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt. Batilda Buriani akizungumza na wataalamu wa afya wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakati akipokea taarifa ya upimaji wa magonjwa ya moyo ujulikanao kama Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan tiba mkoa uliokuwa ukifanyika mkoani Tabora na kumalizika mwishoni mwa wiki iliyopita.

Picha na: JKCI

Na: Mwandishi Maalumu – Tabora 

Watu 573 wamepatiwa huduma ya upimaji na matibabu ya magonjwa ya moyo katika kambi maalumu ya matibabu ijulikanayo kwa jina la Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Outreach Services iliyofanywa na wataalamu wa afya wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na wenzao wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Tabora –KITETE.

Kambi hiyo iliyofanyika kwa siku tano kuanzia tarehe 15 Januari imemalizika tarehe 19 Januari 2024 mkoani Tabora ambapo jumla ya watu wazima 531 na watoto 42 walipatiwa matibabu. 

Akitoa taarifa kwa mkuu wa mkoa wa Tabora kuhusu kambi hiyo Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kwa watoto kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Parvina Kazahura alisema wametoa rufaa kwa wagonjwa 84 wakiwemo watoto na watu wazima kufika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete kwani wanahitaji kupatiwa matibabu zaidi.

Dkt. Parvina alisema upande wa watu wazima wagonjwa wengi wamekutwa na shikikizo la juu la damu, hitilafu katika misuli ya moyo (Ischemic heart disease), pamoja na magonjwa ya valvu za moyo.  

“Upande wa watoto tumekuta watoto wana magonjwa ya moyo ya kuzaliwa nayo (Congenital Heart Disease) ikiwemo matundu kwenye moyo na mishipa ya damu ya moyo iliyoziba au kukaa vibaya ambapo tumetoa rufaa kwa watoto tisa kufika JKCI kupatiwa matibabu zaidi”,

“Sehemu zote tunazopeleka huduma ya tiba mkoba idadi ya watoto haiwi kubwa kama ya watu wazima lakini watoto tunaowakuta na shida za moyo tunabadilisha maisha yao kwasababu kuna shida za moyo ambazo watoto wanatakiwa wafanyiwe upasuaji kabla ya kufikisha miezi mitatu, nyingine kabla ya kufikisha mwaka mmoja”, alisema Dkt. Parvina

Dkt. Parvina alisema katika tafiti zilizofanywa kwa wagonjwa waliotibiwa katika kambi hiyo wagonjwa wengi wameonyesha kununua dawa za presha katika maduka ya dawa na kutumia bila ya kufika Hospitali kufanyiwa uchunguzi.

“Tafiti pia zimeonyesha asilimia 60 ya watu wazima waliopatiwa huduma katika kambi hii kuwa na uzito mkubwa, tabia ya kula chakula cha jioni usiku sana na matumizi ya chuvi ya kuongeza juu ya chakula kuwa makubwa sana”, alisema Dkt. Parvina

Akitoa neno la shukrani Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt. Batilda Buriani amewashukuru wataalamu wa afya wa JKCI na kuwaomba kufikisha salamu kwa Mtendaji Mkuu wa Taasisi hiyo kwa kuwafikishia huduma za matibabu ya moyo.

Mhe. Dkt. Batilda ameomba huduma ya tiba mkoba mkoani Tabora isiishie hapo bali Taasisi ya Moyo ijipange kurejea tena mkoani humo kwani bado wananchi wa Tabora wanawahitaji sana.

“Asanteni sana hasa hapo kwa watoto kwani kama mlivosema kama matibabu ya watoto yatachelewa mtoto anakosa nafasi ya kusaidiwa, kuna dua ya mzazi mmoja mtoto wake kapatiwa matibabu katika kambi hii anawashukuru sana”, alisema Mhe. Dkt. Batilda

Aidha Mhe. Dkt. Batilda amewataka wataalamu wa afya wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Tabora – KITETE kutumia vizuri huduma ya tiba mtandao kuungana na JKCI kuwasaidia wagonjwa wa moyo watakaoendelea kufika katika Hospitali hiyo kupata matibabu.

 

About the author

mzalendo