Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

vdcasino

lordcasino

marsbahis

vipslot

celtabet

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

vipslot

betlivo

eyfelcasino

marsbahis

marsbahis

marsbahis giriş

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

meritking telegram

meritking giriş

realbahis

vipslot giriş

casival

luxbet

betnis

parmabet

betvoy

holiganbet

Hacklink panel

holiganbet

jojobet

Google

holiganbet

jojobet

armabahis

mislibet giriş

kareasbet giriş

vipslot

betlivo

hazbet

netbahis

betra

primebahis

betturkey

betturkey giriş

otobet

otobet giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

otobet

otobet giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet giriş

robinbet

robinbet giriş

casibom giriş

holiganbet

bets10

uyuşturucu satın al

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

aresbet, aresbet giriş

starzbet

jojobet

betmarino

avrupabet

lordcasino giriş

dengebet

celtabet

betcool

kareasbet

betcool

millibahis

betnis giriş

casival

betvoy

hazbet

betnef

avrupabet

betmarino giriş

betmani

betvakti

marsbahis

prensbet

betmani

millibahis

eyfelcasino

meybet

millibahis giriş

marsbahis giriş

gobahis

betnef

perabet giriş

mislibet giriş

vipslot giriş

meybet giriş

armabahis

meritking giriş

meritking

alobet, alobet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

grandpashabet

starzbet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

mislibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

pusulabet

pusulabet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

marsbahis

jojobet

grandpashabet giriş

holiganbet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

betsat giriş

jojobet

radissonbet

sweet bonanza

mavibet

jojobet giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

goldenbahis

meritking giriş

meritking güncel giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

betvakti

parmabet

gobahis

elitbahis

mavibet güncel giriş

mavibet giriş

jojobet

mavibet giriş

mislibet giriş

cratosroyalbet

mislibet güncel giriş

mavibet

jojobet güncel giriş

mavibet

cratosroyalbet giriş

cratosroyalbet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

romabet

meritking

deneme bonusu veren siteler

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet

jojobet

casibom güncel giriş

jojobet

meritking

betsat giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

casinomaxi

jojobet

sekabet güncel giriş

jojobet

grandpashabet

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

grandpashabet

casibom

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

test

jojobet

jojobet

Featured Kitaifa

DKT. BITEKO AWAPONGEZA RAIS SAMIA NA DKT.MWINYI KWA MAONO NA MIONGOZO YAO KUTEKELEZA MIRADI YA KIMKAKATI

Written by mzalendo

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko,akizungumza mara baada ya kufungua Jengo la Afisi ya Mamlaka ya Maji Zanzibar (ZAWA) lililoko eneo la Madema, Zanzibar 

Zanzibar

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko, amefungua Jengo la Afisi ya Mamlaka ya Maji Zanzibar (ZAWA) lililoko eneo la Madema, Zanzibar na kupongeza mafanikio na ushindi wa kufanikisha miradi hiyo muhimu kwa maendeleo ya Zanzibar.

Dkt Biteko amesema, kuelekea Kilele cha Mapinduzi ya Zanzibar, watu waliopewa dhamana ya kusimamia miradi hiyo ambayo Serikali imepeleka fedha nyingi, wafanye kazi kwa uaminifu kwani watatatoa hesabu si tu kwa waliowaweka madarakani, au Wananchi bali kwa Mwenyezi Mungu, hivyo wafanye kazi kwa uaminifu mkubwa.

“Nitoe wito kwenu ZAWA hakikisheni mnawahudumia vema Wazanzibari, ili waone fahari ya kuhudumiwa na ninyi, na nitoe wito kwetu Sisi tuliopo madarakani kuhakikisha tunatoa huduma kwa weledi wa hali ya juu kwa maslahi ya Wananchi wetu” Alisisitiza Dkt. Biteko

Aidha, alipongeza pia Wizara ya Maji kwa kuwajali wafanyakazi wake kwa kuboresha mazingira ya utendaji kazi kwa wafanyakazi wake ikiwa ni kuwajengea jengo lililoondoa changamoto ya nafasi kwa wafanyakazi hususani kwenye jengo la awali.

Dkt Biteko amesema, ujenzi wa Jengo Hilo la ghorofa 4 lililogharimu kiasi cha Dola za kimarekani Milioni 92.18 kama mkopo toka Benki ya Exim Kutoka India kwa ushirikiano na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, unahusisha Ofisi za wafanyakazi, Maabara, Ukumbi wa Mikutano, Maegesho na Ukumbi wa Mazoezi na kuipongeza Wizara ya Maji, Nishati na Madini kwa kujenga jengo lenye hadhi na ubora wa hali ya juu.

“Niwashukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassani na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi kwa maono na miongozo yao iliyopelekea kukamilika kwa miradi mikubwa na ya kimkakati yaani wanaupiga mwingi” Alisisitiza Dkt. Biteko.

Awali, akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi, Waziri Maji, Nishati na Madini Zanzibar, Mhe. Shaibu Kaduara, amesema ujenzi wa jengo hilo ni muendelezo wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo ikiwemo Maji na tayari miradi mbalimbali inaendelea kutekelezwa ili kutatua kero ya Maji visiwani Zanzibar na kuongeza kuwa wataendelea na kasi hiyo bila kulala ili kuwaletea maendeleo wanachi wa Zanzibar.

Alimpongeza Mhe. Dkt. Biteko kwa ushirikiano ambao Zanzibar inapata hususani kwa miradi ya Umeme hususani uimarishaji wa miundo mbinu ya umeme, kwa kutekeleza mradi wa kuleta umeme kutoka Tanzania Bara, kilovolt 220 kutoka Rasi Kilomoni na ule wa Pemba kwa Msongo wa Kilovoti 132 na kuishukuru Serikali kwa Kufanikisha miradi hii.

“Zanzibar ndio nchi pekee Afrika Mashariki, na pengine Duniani kwa kuwajali wananchi wake kwa kuwapatia Maji ambayo wanayachagia na sio kulipia Maji” Alisisitiza Mhe. Kaduara.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maji Zanzibar (ZAWA) Mhandisi. Dkt. Salha Mohamed, amesema ujenzi wa jengo hilo ulianza mwezi Machi, 2021 ikiwa ni sehemu ya uhuishaji na ustawishaji Maji Zanzibar chini ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya Maji chini ya miradi mitatu ambapo wa kwanza ni wa Mfenesini na Dole unaogharimu Dola za Kimarekani Milioni 26,167, 200, Awamu ya pili unaogharimu kiasi cha Dola za kimarekani Milioni 27,740,731, ambao umejenga matanki makubwa sita, matatu chini, na matatu juu, na ya tatu ni ile inayohusiaha Masongini, Kwarara na ZAWA kwa ujenzi wa matanki matano, na unagharimu kiasi cha zaidi ya milioni 35.

Aidha, Mhandisi Dkt. Salha aliwashukuru Afisi ya Mkoa wa Mjini Magharibi, Wakandarasi na wadau wote waliochangia kufanikisha ujenzi wa jengo hilo la Mamlaka ya Maji -ZAWA

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko (kulia
mbele) akifunua kitambaa kuashiria ufunguzi wa Jengo la Mamlaka ya
Maji Zanzibar uliofanyika wilayani Mjini, Mkoa wa Mjini Magharibi
tarehe 8 Januari 2024. Kushoto mbele ni Waziri Maji, Nishati na Madini
Zanzibar, Mhe. Shaibu Kaduara,

     

About the author

mzalendo