Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Mariobet

Mariobet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

holiganbet

betsalvador

jojobet

holiganbet

jojobet

sahabet giriş

betsat

https://www.newstrendline.com/

grandpashabet

ultrabet giriş

lunabet

norabahis

setrabet

jojobet giriş

holiganbet giriş

timebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

vipslot

vipslot

vipslot

vipslot

realbahis

mavibet giriş

mavibet

royalbet giriş

mavibet giriş

norabahis giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

norabahis giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

norabahis

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

mariobet

jojobet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

maxwin

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

sahabet

dinamobet giriş

casibom

vaycasino

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

vaycasino

ultrabet

casibom

casibom

Hacklink panel

betturkey

betzula

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu veren siteler

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet güncel giriş

casibom

royalbet

casibom

kafacasino

betface

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

pusulabet

betsat

betsat

vdcasino

jojobet

casibom

matbet

Jojobet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

starzbet

giftcardmall/mygift

royalbet

artemisbet

artemisbet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

betwild

Featured Kitaifa

e-GA YAFANIKIWA KUJENGA MFUMO WA GovESB

Written by mzalendo

MKURUGENZI  Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Mhandisi Benedict Ndomba,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati akitoa taarifa kuhusu mifumo ya TEHAMA ya taasisi za umma kubadilishana taarifa kidigitali leo Desemba 22,2023 jijini Dodoma.

MKURUGENZI  Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Mhandisi Benedict Ndomba,akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mifumo ya TEHAMA ya taasisi za umma kubadilishana taarifa kidigitali leo Desemba 22,2023 jijini Dodoma.

SEHEMU ya Waandishi wa habari wakimsikiliza Mkurugenzi   Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Mhandisi Benedict Ndomba,wakati  akitoa taarifa kuhusu mifumo ya TEHAMA ya taasisi za umma kubadilishana taarifa kidigitali leo Desemba 22,2023 jijini Dodoma.

Na.Alex Sonna-DODOMA

 

MAMLAKA ya Serikali Mtandao(e-GA) imefanikiwa kujenga Mfumo unaowezesha mifumo  ya serikali kuwasiliana na kubadilishana taarifa wa (GovESB) ambao utasaidia kuongeza usalama wa taarifa.

Hayo yamesemwa leo Desemba 22,2023 jijini Dodoma na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Mhandisi Benedict Ndomba,wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mifumo ya TEHAMA ya taasisi za umma kubadilishana taarifa kidigitali.

“Mfumo huu umetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao kwa kuzingatia kifungu cha 48 (2) cha sheria ya serikali mtandao Na. 10  ya mwaka 2019 kinachoitaka Mamlaka ya Serikali Mtandao kuanzisha na kuendesha mfumo unaowezesha mifumo ya TEHAMA serikali kuwasiliana na kubadilishana taarifa”amesema Mhandisi Ndomba

Mhandisi Ndomba amesema kuwa , sambamba na kutekeleza matakwa hayo ya kisheria pia ujenzi wa mfumo wa GoVESB, ni utekelezaji wa agizo la Rais Samia Suluhu Hassan, la kuhakikisha mifumo ya TEHAMA katika taasisi za umma inaunganishwa na kubadilishana taarifa.

“Mfumo wa ubadilishanaji taarifa serikalini ni mfumo wa kielektroniki unaounganisha mifumo ya TEHAMA ya taasisi za umma iweze kusomana na kubadilishana taarifa kila inapohitajika”amesema 

Hata hivyo amesema kuwa  lengo la mfumo huo ni kuziwezesha taasisi za umma kubadilishana taarifa kidijitali kwa usalama, kupunguza udurufu wa mifumo, kuongeza ufanisi wa utendaji kazi, kupunguza gharama za uendeshaji pamoja na kuokoa muda kwakuwa taarifa hupatikana kwa wakati.

Aidha, amesema  kabla ya kuanza kutumika kwa mfumo wa GovESB, kulikuwa na changamoto mbalimbali za ubadilishanaji wa taarifa za umma, zikiwemo kutumia muda mrefu kupata taarifa kwakuwa taasisi zililazimika kuwasilisha maombi ya kupata taarifa kwa njia ya barua.

“Utaratibu huu wa barua ulichukua muda mrefu kupata taarifa hizo jambo lililochangia kupunguza ufanisi katika utendaji kazi na utoaji wa huduma kwa wananchi”amesema

Mhandisi Ndombo amesema kupitia GovESB changamoto hizo zimetatuliwa na sasa taasisi zote zinabadilishana taarifa kupitia mfumo huo kwa wakati na kwa usalama zaidi.

”Mfumo huo umesaidia kuokoa muda wa kuwahudumia wananchi, pia kupunguza gharama za kutengeneza mifuo midogo ya TEHAMA inayounganisha na mifumo ya taasisi nyingine.”amesema 

Hata hivyo, amesema hadi sasa jumla ya taasisi 109 zimeunganishwa katika mfumo huo na mifumo 117 imesajiliwa.

“Miongoni mwa taasisi hizo ni Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA),Wakala wa leseni za Biashara (BRELLA) na Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA)”amesema

About the author

mzalendo