Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Grandpashabet kimin

deneme bonusu

İkimisli

onwin

grandpashabet

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

jojobet

nitrobahis

cratosroyalbet giriş

cratosroyalbet giriş

mavibet

cratosroyalbet

piabellacasino

mavibet

cratosroyalbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

Grandpashabet Güncel Giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

bets10

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

dinimi sitiliri

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

piabellacasino

nerobet

cratosroyalbet

nitrobahis

cratosroyalbet giriş

mavibet

Meritking

meritking

สล็อตเว็บตรง

bets10

tarafbet

jojobet

holiganbet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

Holiganbet Giriş

tipobet

cratosroyalbet

mavibet

jojobet giriş

jojobet adres

jojobet giriş

jojobet telegram

marsbahis giriş

jojobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

hackhaber

grandpashabet

film izle

casibom

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

caddebet, caddebet giriş

betgar

betsat

grandpashabet

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

lunabet

jojobet

casibom

bets10 güncel giriş adresi

bets10

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

sweet bonanza siteleri

Ankara escort

kingroyal

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

piabet

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

Google

casinoroyal

primebahis

marsbahis

turkey dental implants cost

Doctors | Akdeniz University Hospital Login

deneme bonusu veren siteler

casino siteleri

casibom

casibom giriş

dental implants turkey clinics

casibom güncel giriş

betflix giriş

turkey dental implants

deneme bonusu

wbahis

imajbet

grandpashabet

jojobet

casinowon

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

mavibet

marsbahis

marsbahis

meritking giriş

meritking

meritking giriş

marsbahis

meritking

jojobet

jojobet güncel

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet telegram

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

marsbahis

Hacklink panel

zirvebet

holiganbet

Google

meritking

jojobet

jojobet adres

jojobet giris

jojobet giris

jojobet para çekme

jojobet güncel

jojobet giris

jojobet giris

jojobet

matbet

otobet

otobet giriş

betturkey

betturkey giriş

sahabet

meritking

marsbahis giriş

truvabet

mavibet

mavibet

mavibet

Bet365 Giriş

betturkey

betturkey giriş

betflix

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

cratosroyalbet

piabellacasino

robinbet

tipobet

holiganbet

porno izle

bets10

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

aresbet, aresbet giriş

betebet

jojobet

jojobet erişim

jojobet adres

jojobet para yatırma

jojobet giris

casibom güncel giriş

jojobet adres

jojobet oyunlar

jojobet güncel

jojobet giriş

jojobet son giriş

jojobet canlı bahis

jojobet aninda

jojobet bonuslar

jojobet bahis

jojobet casino

jojobet adres

jojobet telegram

giriş jojobet

marsbahis

jojobet giris

marsbahis

jojobet vip giriş

jojobet tik giriş

jojobet adres

jojobet gir

jojobet giris

güncel giriş burada jojobet

jojobet telegram

jojobet heyecan

jojobet telegram

jojobet güncel giriş

jojobet güncel

jojobet güncel

goldenbahis

coinbar

betcio, betcio giriş

galabet, galabet giriş

deneme bonusu

jojobet giriş

grandpashabet

gorabet

jojobet

https://sjconsultors.com/

mavibet giriş

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

starzbet

pusulabet

betbox

casibom

marsbahis

marsbahis giriş

dedektör

vdcasino

Featured Kitaifa

WAKULIMA WA KASKAZINI KUNUFAIKA NA MIKOPO YA BENKI YA TADB

Written by mzalendo

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) akitoa rai kwa wakulima Kanda ya Kaskazini kutumia fursa ya uwepo wa Ofisi ya Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) Kanda ya Kaskazini mkoani Arusha, kukopa ili kuweza kupata pembejeo bora za kilimo.

Na. Peter Haule, WF, Arusha

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) ameiagiza Menejimenti ya Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) iweke masharti nafuu ya mikopo ili kuwezesha wakulima, wavuvi na wafugaji kupata mikopo hiyo kwa wakati na kwa gharama nafuu.

Dkt. Nchemba alitoa rai hiyo jijini Arusha wakati akizinduzi Ofisi ya Kanda ya Kaskazini ya Benki ya hiyo itakayohudumia mikoa ya ya Kanda ya Kaskazini ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Tanga.

” Aidha Maafisa Biashara wa Benki wekeni utaratibu wa kuwatembelea wakulima na kuona maendeleo ya miradi yao mara kwa mara, kwa kufanya hivyo mtasimamia vizuri fedha zitakazotolewa na kuweza kuleta marejesho na faida kwa Benki”, alieleza Dkt. Nchemba.

Vilevile ameiagiza Menejimenti ya Benki hiyo kuweka utaratibu wa kujitangaza na kutangaza fursa za mikopo wanayoitoa kwa wakulima na wafugaji ili waweze kuzitumia kwa wakati na kwa tija, pia kutoa elimu kuhusu usimamizi ya mipoko kwa wakulima watakaokopeshwa.

Mhe. Dkt. Nchemba alitoa wito kwa wakazi wa mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Tanga kuchangamkia fursa ya uwepo wa Ofisi ya Kanda ya Kaskazini ya Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) Arusha, kupata uelewa  zaidi wa utaratibu wa kupata mikopo ya pembejeo bora, zana za kisasa za kilimo ili wapate tija kupitia kilimo.

Mhe. Dkt. Nchemba aliwataka wanufaika wote wa mikopo kutoka TADB katika Kanda hiyo, wafanye matumizi sahihi ya fedha watakazokopeshwa ili kuendeleza miradi ambayo imeombewa fedha hizo katika mchanganuo wa maombi ya mikopo hiyo.

Akizungumzia kuhusu jitihada za Serikali katika kukuza sekta za kilimo, mifugo na uvuvi, Dkt. Nchemba, alisema kuwa imeongeza bajeti Wizara ya Kilimo, na Wizara ya Mifugo na Uvuvi, ambapo katika bajeti ya mwaka 2023/2024, kupitia Wizara ya Kilimo, Serikali imetenga jumla ya shilingi bilioni 970.8 ikiwa ni ongezeko la asilimia 29.2 ikilinganishwa na bajeti ya mwaka 2022/2023.

Alisema kuwa Kwa upande wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Serikali imetenga jumla ya shilingi bilioni 292.5 kwa mwaka wa fedha 2023/2024, ambapo sekta ya Mifugo imetengewa shilingi bilioni 112.1 na Sekta ya Uvuvi imepangiwa kutumia shilingi bilioni 180.5. 

“Matarajio ya Serikali ni kwamba jumla ya shilingi trilioni 1.2, ambazo tuliziidhinisha katika Wizara hizo mbili zitakwenda kuchochea kilimo, uvuvi na ufugaji wa kisasa, pamoja na kuongeza fursa za ajira na kipato kwenye mnyororo wa thamani wa sekta hizo tatu na kuongeza mchango wao kwenye Pato la Taifa’’, alisema Dkt. Nchemba

Alisema kuwa kwa mujibu wa takwimu zilizopo, sekta ya kilimo inatoa ajira kwa wastani wa asilimia 75 ya Watanzania wote, inachangia asilimia 100 ya chakula kinachozalishwa nchini na zaidi ya asilimia 65 ya malighafi viwandani na inachangia robo ya Pato la Taifa na robo tatu ya bidhaa zinazouzwa nje ya nchi.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi TADB, Bw. Ishmael Kasekwa, alisema kuwa ili kuweza kuleta matokeo chanya, Bodi ya Wakurugenzi wa TADB imeisimamia kwa weledi na uzalendo Benki ya TADB ili kuhakikisha malengo kusudiwa kwa Serikali na wakulima yanafikiwa.

Alisema kuwa licha ya kuwa TADB ni changa katika soko la biashara ya mabenki, kwa muda mfupi imeanza kuona ukuaji endelevu na faida ambapo katika mwaka 2021, ilipata faida ghafi ya shilingi bilioni 16 na mwaka 2022 ilipata faida ya shilingi bilioni 15.6

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa TADB, Bw. Frank Nyabundege, alisema kuwa TADB ina Ofisi saba ambazo zipo Kanda ya Ziwa mkoani Mwanza, Kanda ya Nyanda za Juu Kusini mkoani Mbeya, Kanda ya Mashariki mkoani Dar es salaam, Kanda ya Magharibi mkoani Tabora, Kanda ya Kati mkoani Dodoma, Kanda ya Kusini mkoani Mtwara na sasa Kanda ya Kaskazini yenye ofisi Jijini Arusha.

Alisema Serikali iliamua kuanzisha Benki ya Maendeleo ya Kilimo mwaka 2015 kwa lengo la kuchangia utoshelevu wa chakula na kuchagiza mapinduzi ya kilimo kutoka kilimo cha kujikimu kwenda kilimo cha kibiashara.

Bw. Nyabundege alisema katika kutekeleza suala hilo, Serikali iliielekeza Benki hiyo kutoa mikopo kwa wakuliwa wadogo, wa kati na wakubwa katika mnyororo mzima wa thamani hivyo kuwezesha upatikanaji wa mitaji na kuleta mapinduzi katika sekta ya kilimo.

Akizungumza kuhusu Mtaji wa Benki hiyo, Bw. Nyabundege alisema, Serikali ya Awamu ya Sita ilipoingia madarakani TADB ilikuwa na mtaji wa shilingi bilioni 60, lakini Serikali iliongeza mtaji wa shilingi bilioni 208, mwaka 2021 na hivi karibuni Serikali imetafuta mtaji mwingine wa takribani shilingi bilioni 165 sawa na dola milioni 66 kutoka Benki ya Maendelo ya Africa (AfDB).

Alisema kuwa hadi kufikia Novemba, 2023, katika Kanda ya Kaskazini, TADB imewezesha wakulima na wafugaji kwa kutoa mikopo wa shilingi bilioni 18.3 kwa Mkoa wa Tanga, shilingi bilioni 7.9 Mkoa wa Arusha, shilingi bilioni 3.2 Mkoa wa Kilimanjaro na shilingi bilioni 3.1 kwa mkoa wa Manyara.

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) akikata utepe wakati wa uzinduzi wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) Kanda ya Kaskazini mkoani Arusha. Wa tatu kulia ni Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega (Mb), wa pili kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi TADB, Bw. Ishmael Kasekwa na wa nne kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa TADB, Bw. Frank Nyabundege.

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) (wa pili kushoto) akifungua rasmi Ofisi ya Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania(TADB) Kanda ya Kaskazini mkoani Arusha. Wa pili kulia ni Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega (Mb), wa pili kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi TADB, Bw. Ishmael Kasekwa na wa pili kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa TADB, Bw. Frank Nyabundege.

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) akitoa rai kwa wakulima Kanda ya Kaskazini kutumia fursa ya uwepo wa Ofisi ya Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) Kanda ya Kaskazini mkoani Arusha, kukopa ili kuweza kupata pembejeo bora za kilimo.

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega (Mb), akieleza umuhimu wa Ofisi ya Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) Kanda ya Kaskazini mkoani Arusha, katika kuendeleza Sekta ya Kilimo na Uvuvi.

Viongozi na wadau mbalimbali wakiwa katika hafla ya uzinduzi wa Ofisi ya Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) Kanda ya Kaskazini, mkoani Arusha.

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) (katikati), Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa TADB, Bw. Ishmael Kasekwa (wa tatu kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa TADB, Bw. Frank Nyabundege, wakiwa katika picha ya pamoja na wadau wa Benki hiyo na watumishi baada ya kuzinduliwa kwa Ofisi ya Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) Kanda ya Kaskazini mkoani Arusha.

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Arusha)

About the author

mzalendo