Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

dedektör

vdcasino giriş

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

grandpashabet

ultrabet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

jojobet giriş

betebet

gonebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

doeda

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

grandpashabet giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

portobet

dinamobet giriş

casibom

casibom

casibom

casibom

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

starzbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

Featured Kitaifa

GGML YATAJA MBINU KUIMARISHA MIRADI YA UJENZI, BASHUNGWA ATOA MAAGIZO

Written by mzalendo
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa (kulia) akimpatia cheti Mhandisi anayedhibiti ubora na viwango kutoka GGML, Maftah Seif kwa kutambua mchango wa kampuni hiyo katika ushiriki wa Kongamano la 32 la Taasisi ya Wahandisi Tanzania lililofanyika mwisho mwa wiki jijini Arusha. GGML ambayo ilikuwa moja ya wadhamini wa kongamano hilo, wahandisi wake 16 pia walishiriki.

NA MWANDISHI WETU

KATIKA kuunga mkono jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan kuimarisha shughuli za kihandisi nchini, Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa wito kwa sekta ya umma kuweka mpango madhubuti wa usimamizi wa miradi ya ujenzi kuanza hatua za awali za usanifu, ujenzi, kukamilika hadi kutumika kwake ili miradi hiyo iweze kudumu kwa muda mrefu.

Pia imetoa ushauri kwamba kuwepo na uwajibikaji kwa wahandisi pindi wanaposhindwa kusimamia misingi ya taaluma yao katika masuala hayo ya ujenzi ili kuimarisha shughuli za kihandisi kwa upande wa sekta ya umma.

Wito huo umetolewa juzi na Mhandisi wa GGML anayedhibiti ubora na viwango vya miradi, Maftah Seif wakati akichangia mada katika Kongamano la Kitaifa la 32 la Taasisi ya Wahandisi Tanzania lililofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere Arusha (AICC).

Seif alikuwa anachangia mada kuhusu sababu za kitengo cha matengenezo kwenye miradi inayohusu ujenzi wa mitambo na majengo katika sekta ya umma kudorora ilihali kwenye sekta binafsi inadumu kwa muda mrefu.

“Tunashauri kwanza kuwe na mpango mzuri kuanzia mradi unapoandaliwa, unapojengwa, unapomalizika na kwenda kwenye hatua za operesheni (matumizi) kwamba kuwe na namna kuusimamia.

“Kwa mfano mradi unapojengwa ukikamilika lazima kuwe na gharama za kuuendesha kwa sababu mradi unaishi hivyo lazima kuwe na gharama za matengenezo.

“GGML tunaamini mradi hauwezi kufa bila kujua ndio maana pia tunatoa ushauri kwenye maeneo makubwa mawili kwani dunia imehama kutoka utamaduni wa kawaida na kuwa na wabobezi wanaojua kutumia teknolojia mbalimbali,” amesema.

Aidha, Seif ambaye alikuwa mmoja wa wahandisi 16 walioshiriki kongamano hilo kutoka GGML, alisema ili kufanikisha mabadiliko hayo kwa upande wa sekta ya umma, lazima kuwe na rasilimali watu.

“Lakini pia kuwe na uwajibikaji hasa kwetu wahandisi, tuondoke kwenye utamaduni wa kufanya kazi kwa mazoea, kuwe na idara inayompima na kumbana mhandisi husika anapokiuka vigezo vya mradi badala ya kuubana uongozi wa juu ambao hauhusiki moja kwa moja,” alisema.

Awali akizungumza katika kongamano hilo, Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa aliiagiza Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) kushirikiana na Taasisi ya Wahandisi Tanzania (IET) kuweka utaratibu endelevu wa kuwajengea uwezo wahandisi ili waweze kuendana na mabadiliko ya teknolojia. 

Akifungua kongamano hilo kwa niaba ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Bashungwa alisema mhandisi ni mwanafunzi maisha yake yote hivyo aliwaagiza ERB wakiungwa mkono na IET kuweka mpango maalumu wa kuwapatia ujuzi wahandisi walioko kazini kwa kutumia miradi iliyopo.

Bashungwa pia aliitaka Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) kupitia upya vigezo vya usajili wa wahandisi kwa kufungua milango na kuondoa vikwazo visivyo vya lazima katika usajili.

“Idadi ya wahandisi mahiri inatakiwa kuwa muhandisi mmoja kati ya wananchi 5,000, kwa hesabu za haraka, tunatakiwa kuwa na wahandisi mahiri zaidi ya 12,000 lakini nimeambiwa wahandisi washauri waelekezi ni chini ya 500,” alisema.

Aidha, Bashungwa alisema azma ya Serikali ni kujenga uchumi ulio imara ndio maana imejieelekeza kwa kiwango kikubwa kujenga uwezo, juhudi, maarifa, weledi, nidhamu, umakini na ufanisi kwa wataalam hao.

Pamoja na mambo mengine Bashungwa aliipongeza GGML na kuipatia zawadi ya cheti kwa kutambua mchango wa kampuni hiyo katika kuwezesha kongamano hilo pamoja na ushiriki wake.

About the author

mzalendo