Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

deneme bonusu

casinomilyon

grandpashabet

holiganbet

betsalvador

cratosroyalbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

lordcasino

marsbahis

luxbet

gobahis

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

vipslot

millibahis

realbahis

marsbahis

marsbahis

marsbahis giriş

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

marsbahis güncel giriş

meritking giriş

realbahis

vipslot giriş

norabahis

luxbet

betnis

betnis

parmabet

radissonbet

Hacklink panel

betsmove

jojobet

Google

holiganbet

jojobet

rekorbet giriş

mislibet giriş

kareasbet giriş

vipslot

netbahis

meybet giriş

netbahis

betra

primebahis

tümbet

tümbet giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet giriş

timebet

betpark

casibom giriş

holiganbet

bets10

uyuşturucu satın al

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

marsbahis, marsbahis giriş

gameofbet

jojobet

netbahis giriş

prensbet

lordcasino giriş

ganobet

gobahis giriş

orisbet giriş

kareasbet

orisbet

millibahis

betnis giriş

orisbet giriş

parmabet giriş

kareasbet

maritbet

kareasbet giriş

gobahis giriş

prensbet giriş

aresbet giriş

vaycasino

prensbet

orisbet

luxbet giriş

meybet

meybet

millibahis giriş

marsbahis giriş

norabahis giriş

ganobet

perabet giriş

mislibet giriş

vipslot giriş

meybet giriş

rekorbet

goldenbahis

goldenbahis

perabet, perabet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

meritking

starzbet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

cratosroyalbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

pusulabet

pusulabet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

marsbahis

jojobet

Grandpashabet

holiganbet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

betsat güncel giriş

jojobet

jojobet

casibom

mavibet

jojobet giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

ibizabet

jojobet giriş

goldenbahis

meritking

meritking giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

mislibet giriş

betnis

norabahis

elitbahis

mavibet güncel giriş

mavibet giriş

jojobet

mavibet giriş

cratosroyalbet giriş

cratosroyalbet

cratosroyalbet güncel giriş

mavibet

jojobet güncel giriş

mavibet

cratosroyalbet giriş

cratosroyalbet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

romabet

meritking

deneme bonusu veren siteler

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet

jojobet

casibom güncel giriş

jojobet

casibom

betsat

monobahis

deneme bonusu

deneme bonusu

tipobet

bets10

sekabet güncel giriş

casibom

grandpashabet

casibom

jojobet

grandpashabet

jojobet

jojobet

nerobet

goldenbahis

jojobet

Hacklink panel

tümbet

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

test

jojobet

jojobet

Featured Kitaifa

ULIPAJI FIDIA MRADI MADINI TEMBO KIGAMBONI WAFIKIA ASILIMIA 92

Written by Alex Sonna

Imeelezwa kuwa, zoezi la kuwalipa fidia wananchi waliopisha mradi wa Uchimbaji Madini Tembo (heavy mineral sands) utakaotekelezwa eneo la Fungoni Kigamboni Mkoani Dar es Salaam limefikia asilimia 92 huku kiasi cha shilingi bilioni 18 kikiwa tayari kimekwishakulipwa.

Hayo yamebainika wakati wa ziara ya Katibu Mkuu Wizara ya Madini Kheri Mahimbali alipotembelea eneo hilo mwishoni mwa wiki kwa lengo la kuangalia hatua za uendeleaji wa mradi huo ikiwemo kujua changamoto zinazokabili utekelezaji wake ambapo alihimiza zoezi la ulipaji fidia kukamilishwa haraka ili mradi uanze kama ulivyokusudiwa.

Mradi huo unamilikiwa na kampuni ya Nyati Mineral Sand Limited ambayo ni kampuni ya ubia kati ya Serikali inayomiliki asilimia 16 ya hisa na kampuni ya Strandline Resources Limited inayomiliki asilimia 84 ya hisa unatarajia kuanza shughuli za uchimbaji madini hayo mara zoezi la kulipa fidia wananchi wanaotakiwa kupisha mradi huo utakapokamilika.

Katika taarifa iliyotolewa wakati wa ziara ya Katibu Mkuu, ilielezwa kuwa kulingana na utafiti uliofanywa, mradi wa uchimbaji madini tembo una kiasi cha tani milioni 12 za mbale na uhai wa mradi ni miaka 6 kwa kuchakata tani milioni 2 za mbale kwa mwaka na kuelezwa kuwa, uchorongaji zaidi utafanyika katika maeneo hayo ili kuongeza kiasi cha mashapo na hivyo kuongeza uhai wa mgodi.

Katika hatua nyingine, Desemba 2, 2023, Katibu Mkuu Mahimbali alitembelea katika mradi mwingine wa uchimbaji madini tembo unaomilikiwa na kampuni hiyo katika eneo linalojulikana kama Tajiri Wilayani Pangani Mkoa wa Tanga ili kuangalia maendeleo ya mradi pamoja na kufahamu changamoto zilizopo katika utekelezaji wa mradi husika.

Kadhalika, mradi huo, Serikali inamiliki asilimia 16 ya hisa na Kampuni ya Stradline Resources Limited inamiliki hisa asilimia 84.

Katika ziara hiyo ilielezwa kuwa, kulingana na utafiti uliofanywa katika eneo hilo, kiasi cha mashapo yenye kiasi cha tani milioni 268 katika ubora wa asilimia 3.3 kimegunduliwa na uhai wa mradi huo unatarajia kuwa miaka takribani 23.

Aidha, kulingana na taarifa za Wizara ya Madini, kampuni ya Nyati Mineral Sand Limited imeomba leseni kubwa ya uchimbaji madini (Special Mining Licence) na mchakato wa kutolewa leseni hiyo unaendelea. Vilevile, imeelezwa kuwa, utaratibu wa kulipa fidia wananchi watakaoathirika na mradi katika eneo hilo la pangani utafanyika mara leseni ya uchimbaji madini itakapotolewa na mara baada ya zoezi la kulipa fidia kukamilika shughuli za uchimbaji madini tembo kwenye mradi huo zitaanza.

Kampuni ya Strandline ni miongoni mwa kampuni 4 za uchimbaji wa madini ambazo mnamo Desemba 13, 2021 Serikali na kampuni husika zilitia saini makubaliano ya mikataba ikiwa ni matokeo ya marekebisho ya Sheria ya Madini ambayo ilipelekea kuipa nguvu Serikali kumiliki rasilimali hizo kwa niaba ya wananchi kwa lengo la kuleta manufaa zaidi kwa watanzania.

Kampuni nyingine zilizoweka saini mikataba ya makubaliano kipindi husika ni pamoja Black Rock Mining Limited itakayochimba madini ya kinywe wilayani Mahenge mkoani Morogoro, Nyanzaga Mining Limited itakayochimba madini ya dhahabu wilayani Sengerema mkoani Mwanza na kampuni ya Petra Diamond Ltd inayochimba madini ya Almasi Mkoani Shinyanga ambapo katika makubaliano hayo Serikali iliongeza umiliki wa hisa katika mgodi huo kutoka asilimia 25 kufikia asilimia 37.

Hafla ya utiaji saini mikataba hiyo ilishuhudiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu ambaye katika hotuba yake alisisitiza kuhusu shughuli za uongezaji thamani madini hayo kufanyika nchini ili kuleta manufaa zaidi kwa taifa.

Miradi ya madini tembo inatarajia kuinufaisha nchi kiuchumi ikiwa ikiwa ni pamoja na Serikali kupata mapato yatokanayo na kodi, mrabaha, ada ya ukaguzi, ushuru wa huduma na malipo mengine yanayotakiwa kulipwa kwa mujibu wa sheria za nchi, ikiwemo fursa za ajira kwa watanzania wakiwemo wanaozunguka eneo la mradi pamoja na ajira kupitia shughuli za utoaji huduma mbalimbali katika migodi hiyo.

Madini tembo yatakayochimbwa katika miradi hiyo ni pamoja na rutile, ilmenite, zircon na monazite. Madini hayo yana matumizi mbalimbali ikiwa ni pamoja na kutengeneza vioo, rangi mbalimbali hususan za magari, kutengeneza ceramics (kauri) na pia hutumika katika kinu cha nyuklia.

About the author

Alex Sonna