Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

mavibet

setrabet

betebet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

betsat

dinamobet giriş

casibom

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

ultrabet

fixbet

fixbet

casibom

fixbet

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet güncel giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

pokerklas

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

betsat güncel giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Featured Kitaifa

WAZIRI BASHUNGWA AWAFUNDA MAMENEJA TANROADS, ASISITIZA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA

Written by mzalendo

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, akizungumza na Mameneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS), wa mikoa yote nchini katika kikao kazi kilichofanyika jijini Dodoma.

Naibu Waziri wa Ujenzi, Eng. Godfrey Kasekenya, akisisitiza jambo kwa Mameneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS), wa mikoa yote nchini (hawapo pichani), katika kikao kazi kilichofanyika jijini Dodoma.

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa (kulia), akijadiliana jambo na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Balozi Eng. Aisha Amour (kushoto), wakati wa kikao cha Mameneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS), wa mikoa yote nchini kilichofanyika jijini Dodoma.

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara (TANROADS), Eng. Mohamed Besta, akitoa taarifa ya utekelezaji wa Wakala huo katika kikao kazi kilichowakutanisha Viongozi wakuu wa Wizara na Mameneja wa Wakala huo kutoka mikoa yote nchini, jijini Dodoma.

Sehemu ya wajumbe wa Mameneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS) wakiwa katika kikao kazi ilichowakutanisha Viongozi wakuu wa Wizara ya Ujenzi na Mameneja hao kutoka mikoa yote nchini, jijini Dodoma.

PICHA NA W-Ujenzi

……………………..

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, amewataka Mameneja wa Mikoa wa Wakala wa Barabara nchini (TANROADS), kuhakikisha wanaendelea na mapambano na dhidi ya rushwa katika maeneo yao ya kazi na nje ya kazi ili kujenga taswira nzuri kwa Wakala huo na Taifa kwa ujumla.

Akizungumza katika kikao kazi kilichowakutanisha Mamemeja hao, tarehe 17 Novemba, jijini Dodoma, Waziri Bashungwa amesisitiza Mameneja hao kuendelea na Mapambano dhidi ya rushwa ni bila kuchoka kwenye sekta ya ujenzi kuanzia manunuzi na usimamizi wa miradi ya ujenzi.

Bashungwa amewata kuhakikisha kuwa wanaripoti  kwake au katika mamlaka husika endapo watahisi kuna viashiria vyovyote vya rushwa mapema ili hatua stahiki kuchukuliwa kwa wakati.

“Ninyi ni sehemu ya ulinzi wa kusaidia kupambana na rushwa, msisite kuendelea kupambana na suala hili kwa pamoja kuanzia katika hatua za manunuzi hadi kwenye utekelezaji wa mikataba, Mheshimiwa Rais anataka kuona mnafanya weledi mkubwa katika utekelezaji wa miradi, kufanya hivi mtasaidia  kulinda rasilimali za serikali zinazopotea kutokana na kukosa uzalendo kwa baadhi ya watu”, amesema Bashungwa.

Aidha, Bashungwa amewataka Mamemeneja hao kuhakikisha hatua kwa mujibu wa sheria kwa yeyote aliyevamia maeneo ya hifadhi ya barabara na kuendelea kusimamia kwenye maeneo yao kuhakikisha kuwa sheria hiyo haivunjwi.

Bashungwa amewataka Mameneja hao kuwa na tamaduni ya kuwajengea uwezo watumishi wao ili kuongeza ufanisi na tija kwa Taasisi hiyo  pamoja na Taifa kwa ujumla samambamba na urithishaji wa ujuzi kwa watumishi walio chini yao kwa lengo la kuwekeza katika vizazi vya sasa na vijavyo  .

Kwa upande wake, Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya,  amewapongeza Mameneja hao kwa kazi kubwa wanazofanya katika utekelezaji wa miradi mbalimbali nchini  na kusisitiza kuendelea kutoa ushirikiano wa karibu kwa viongozi wa serikali waliopo katika maeneo yao.

 

“Niwapongeze kwa ushirikiano mnaoutoa kwa viongozi mbalimbali wanapowaita katika mikutano ya kiutendaji au kuwatembelea katika miradi yenu kujua hatua mbalimbali za utekelezaji wa miradi, utaratibu huu ni mzuri nawasihi muendelee nao,  hii inaonyesha ni jinsi gani mnaungana nao katika kuhakikisha taarifa za utekelezaji wa miradi zinafahamika kwa wote”, amesema Kasekenya.

Kasekenya amewataka TANROADS kuandaa mkakati wa kuboresha maeneo korofi ambayo yatapewa kipaumbele ili utekelezaji wake uweze kufanyika haraka na kuweza kurahisisha huduma za usafiri na usafirishaji katika maeneo mbalimbali nchini.

Naye, Katibu wa Wizara hiyo, Balozi, Mhandisi Aisha Amour, ameishukuru Wizara ya fedha kwa kuendelea kutoa kiasi cha shilingi Bilioni 70 kila mwezi kwa ajili ya kulipa madeni ya wakandarasi ambapo kati ya fedha hizo Bil. 20 ni kwa ajili ya wakandarasi wa nje  na Bil.50 ni kwa ajili ya wakandarasi wa ndani.

“Tunaishukuru serikali kwa kuendelea kutugawia  kiasi hiki cha fedha ili kupunguza mzigo wa madeni, tunaamini hali hii ikiendelea madeni ya makandarasi yatakuwa sio changamoto tena”, amesema Balozi Amour.

Awali akitoa taarifa ya utekelezaji wa Wakala huo, Mtendaji Mkuu wa TANOROADS, Mhandisi Mohamed Besta, amesema kuwa Wakala utahakikisha unayafanyia kazi maagizo yote yaliyotolewa na Waziri huyo ikiwemo kuandaa  mpango maalum wa pamoja wa uwekaji wa taa za barabarani katika mikoa yote nchini.

Kikao kazi hicho chenye lengo la kuimarisha ushirikiano na kuboresha utendaji kwa Wakala huo kimeshirikisha viongozi wakuu wa Wizara na Mameneja wa Wakala huo kutoka mikoa yote nchini. 

About the author

mzalendo