marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

izmit escort

izmit escort

izmit escort

pusulabet

matbet

meritking giriş

kavbet

bets10 giriş

ultrabet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

1win

ngsbahis

betlike

parmabet

mislibet

mislibet

jojobet giriş

nitrobahis

jojobet

jojobet

kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

vdcasino, vdcasino giriş

vdcasino, vdcasino giriş

kralbet

jojobet

restbet

jojobet

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

betcio

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

enjoybet giriş

betebet

betgar, betgar giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

imajbet

vdcasino

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Featured Kitaifa

MBUNGE SANTIEL KIRUMBA AIOMBA SERIKALI IONGEZE LIKIZO KWA MAMA ALIYEJIFUNGUA MTOTO NJITI

Written by mzalendo

 

Na Mwandishi wetu – Malunde 1 blog
 
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Shinyanga Mhe. Santiel Kirumba ameongoza Maadhimisho ya Mtoto Njiti duniani katika Halmashauri ya Wilaya ya Msalala Mkoani Shinyanga huku akiiomba serikali iongeze likizo ya mama aliyejifungua na mtoto njiti.

 
Maadhimisho hayo ya siku ya Mtoto Njiti Duniani (premature day) yamefanyika katika kituo cha afya Bugarama kilichopo katika kata ya Bugarama Halmashauri ya Msalala ambapo siku ya kimataifa ya watoto njiti huadhimishwa tarehe 17 Novemba kila mwaka ulimwenguni kote kwa nia ya kuelimisha kuhusu kujifungua watoto njiti ambao hawajakomaa na kufikisha wiki 38 (miezi 9).
 
Maadhimisho hayo yameenda sanjari na kukutana na akina mama wajawazito na mama waliojifungua watoto njiti wanaonyonyesha kuwapa elimu ya kukaa na mtoto njiti sambamba na kugawa majiko ya gesi 50 kwa akina mama hao, watumishi wa afya katika kituo cha afya Bugarama na polisi Jamii.
 
“Tumegawa majiko ya gesi 50 kwa sekta ya afya inayohusika na mama na mtoto 15, wajawazito 15, akina mama wenye watoto njiti 15, majiko matano yalienda kwa askari polisi wanaohusika na masuala ya ukatili wa kijinsia kwa sababu mama akifanyiwa ukatili wa kijinsia anaweza kujifungua mtoto njiti. Kwa hiyo tumewapongeza polisi jamii kwa kuweza kutupazia sauti na kuchukua hatua haraka. Watumishi wa afya pia tumewapa majiko kuwashukuru kwa mchango wao kwa jinsi wanavyowapigania watoto njiti”, ameeleza Mhe. Santiel Kirumba.
 
 
Mhe. Santiel amesema kila mwaka watoto njiti 200,000 wanazaliwa na kutokana na changamoto ambazo watoto njiti wanapitia ni kundi ambalo limesahaulika kutunzwa hasa maeneo ya vijijini wazazi wamekuwa wakipoteza watoto wao kutokana na mazingira duni ya kushindwa kuwatunza.
 
“Serikali ikiwekeza kidogo tutaona matokeo makubwa, hawa watoto hasa maeneo ya vijijini wamekuwa wakifariki dunia kutokana na kwamba wazazi wao hawawezi kuwatunza, mtoto huyu anatakiwa akae kwenye kangaroo siku 90 tangu azaliwe. Kwa hiyo kwenye hilo unakuta mzazi anashindwa kumhudumia mtoto”,amesema Mhe. Santiel Kirumba.
 
 
“Serikali imeanza kufundisha kwenye shule kwamba watoto njiti walelewe, pia Serikali imeweka huduma yam toto njiti kwenye bima, zamani haikuwepo. Kilichobakia ni huduma ya likizo ya uzazi ya mama aliyejifungua mtoto njiti kwa sababu akijifungua ana miezi sita itamtaka akae siku 90 ili mtoto aweze kutimia, lakini tunahitaji huyu mama aongezewe likizo ya uzazi na pia huyu mama apewe benefit anapokuwa katika kulea mtoto njiti kwa sababu kulea mtoto njiti ni gharama na inaweza kumfanya mwanamke arudi nyuma kiuchumi kutokana na kwamba anatumia muda mwingi kumwangalia mtoto zaidi kuliko kufanya shughuli za kumwingizia kipato”,ameongeza Mbunge huyo.
 
Aidha ameishukuru Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi kubwa inazofanya kuboresha sekta ya afya ambapo imeleta shilingi 157 na vifaa tiba na kujenga jengo la mtoto njiti katika mkoa wa Shinyanga.
 
 
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) watoto Milioni 15 duniani huzaliwa kabla ya miezi 9 yaani njiti na hii imekuwa ikiongezeka siku hadi siku hali ambayo inatajwa kuchangia kwa wingi vifo vya watoto chini ya miaka mitano duniani. Kwa mujibu wa WHO kwa kila watoto 10 wanaozaliwa mmoja ni njiti.
 
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Shinyanga Mhe. Santiel Kirumba akizungumza wakati Maadhimisho ya Mtoto Njiti duniani katika Halmashauri ya Wilaya ya Msalala Mkoani Shinyanga Novemba 17,2023
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Shinyanga Mhe. Santiel Kirumba akimsalimia mmoja wa akina mama katika kituo cha afya Bugarama wakati Maadhimisho ya Mtoto Njiti duniani katika Halmashauri ya Wilaya ya Msalala Mkoani Shinyanga Novemba 17,2023
 
 

About the author

mzalendo