Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz giriş

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

holiganbet

ultrabet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

imajbet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

casibom

casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10 giriş

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

jojobet

ultrabet

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

starzbet

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

Featured Kitaifa

MBUNGE MTATURU AHAKIKISHIWA MAJI YA UHAKIKA.

Written by mzalendo

 

SERIKALI imemuhakikishia Mbunge wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu kuwa katika mwaka ujao wa fedha wa 2024/2025,watasambaza maji katika visima vyote vilivyochimbwa kwenye Jimbo hilo ili kuwaweza wananchi kupata majisafi na salama.

Aidha, imesema imeandaa Mpango Mkakati wa miaka mitano wa kuanzia 2022/2023 hadi 2025/2026 wa kujenga mabwawa ya kuvuna maji ya mvua ili yatumike wakati wa kiangazi sambamba na kudhibiti mafuriko.

Mpango huo utasaidia kuhakikisha huduma ya majisafi na usafi wa mazingira zinatosheleza katika Wilaya ya Ikungi Ikiwemo kata za Kikio, Misughaa, Lighwa, Mungaa, Siuyu, Issuna na Mkiwa.

Naibu Waziri wa Maji Mhandisi Marryprisca Mahundi amesema hay oleo Bungeni Jijini Dodoma wakati akijibu swali la Mbunge wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu.

Katika swali lake Mbunge huyo ametaka kujua ni lini serikali itachimba Mabwawa ya maji Kata za Kikio, Misughaa, Lighwa, Mungaa, Siuyu, Issuna na Mkiwa ili kumaliza changamoto ya uhaba wa maji.

Akijibu swali hilo Marryprisca amesema katika mwaka 2024/2025 ,itafanya usanifu wa kina wa kubaini maeneo yanayofaa kwa ajili ya ujenzi wa mabwawa katika kata hizo.

Amesema Wilaya ya Ikungi ina jumla ya Kata 28 zikiwemo kata za Kikio, Misughaa, Lighwa, Mungaa, Siuyu, Issuna na Mkiwa ambapo vyanzo vikuu vya maji katika Kata hizo ni maji chini ya ardhi kupitia visima vilivyochimbwa na kuwekewa miundombinu ya kutolea maji.

Aidha,amesema vijiji vyote vya Kata za Mungaa, Siuyu, Issuna na Mkiwa vinapata huduma ya maji kwa kutumia visima vilivyochimbwa kwenye vijiji hivyo.

Amefafanua kuwa baadhi ya vijiji katika Kata za Kikio, Misughaa na Lighwa bado havijapatiwa huduma ya maji ya kutosheleza.

Katika swali la nyongeza, Mbunge huyo ametaka kujua mpaka sasa upatikanaji wa maji katika wilaya ya Ikungi ni asilimia 53 ambayo iko chini sana na kuna maeneo ambayo yana changamoto kubwa .

“Mh Spika nataka nijue ni nini mpango wa serikali wa muda mfupi kuwapatia maji wananchi wa wilaya ya Ikungi kwa maana ya Kata za Kikiyo katika kijiji cha Nkundi, Isuna katika kijiji cha Isuna A kitongoji cha Manjaru,

“Pia nataka kujua ni lini serikali itatenga fedha kujenga miundombinu ya maji katika vijiji vya Msule , Munkinya , Mang’onyi, Mbwanjiki pamoja na Ujaire ili kuondoa adha ya maji katika maeneo niliyotaja,”amehoji Mtaturu.

Akijibu maswali hayo Marryprisca amesema mpango wa muda mfupi ni kwamba wataendelea kufanya jitihada za kuhakikisha visima vinachimbwa.

“Naomba nitumie Bunge lako Tukufu kumwagiza Meneja wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini(RUWASA),Mkoa wa Singida ahakikishe anakwenda kwenye hizi Kata wafanye usanifu ili kuona wapi tunaweza kupata maji chini ya ardhi ili waweze kupelekewa gari wachimbe visima na wananchi wapate huduma ya majisafi na salama,”amesema Marryprisca.

Aidha,amesema kwa utaratibu wa wizara visima vikishachimbwa kazi inayofuata ni usambazaji wa maji,“Nina uhakika kama mwaka huu wa fedha kwa maana ya kuanzia leo mpaka June wizara tukawa tumepata fedha ambazo hazitoshelezi kuwafikieni basi mwaka ujao wa fedha lazima maeneo haya yote tuje tusambaze maji katika visima ambavyo tumechimba,”amemuhakikishia Mtaturu.

About the author

mzalendo