slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

marsbahis

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

pusulabet

sekabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betasus

pusulabet giriş

matbet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

holiganbet

marsbahis

artemisbet giriş

imajbet giriş

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

gobahis, gobahis giriş

noktabet, noktabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betorbet, betorbet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

holiganbet giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

capitolbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

lunabet

artemisbet

kavbet

kavbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

cratosroyalbet

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

perabet

imajbet

artemisbet

kavbet giriş

imajbet

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

madridbet

holiganbet giriş

jojobet giriş

trust score weak 3

celtabet

bets10 giriş

deneme bonusu

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

deneme bonusu 2026

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

kulisbet, kulisbet giriş

matbet, matbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

meritking

royalbet

Goldenbahis

deneme bonusu veren siteler

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

holiganbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler 2026

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

deneme bonusu

sekabet

pusulabet

holiganbet

vdcasino

imajbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet güncel giriş

Featured Kitaifa

NAIBU WAZIRI KAPINGA ATETA  NA WATENDAJI WA KAMPUNI YA MUFINDI PAPER MILL

Written by mzalendo

Wataalamu kutoka Wizara ya Nishati, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Ujumbe kutoka Kampuni ya Mufindi Paper Mill inayotarajia kuzalisha Umeme wa Megawati 24 kwa kutumia mabaki ya Miwa katika Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma,wakimsikiliza Naibu Waziri wa Nishati, Judith wakati wa Kikao na Ujumbe huo,  Jijini Dodoma.

…..

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amekutana na kufanya mazungumzo na watendaji wa Kampuni ya Mufindi Paper Mill inayomiliki mashamba ya miwa wilayani Kasulu mkoani Kigoma ambao wamweleza Naibu Waziri wa Nishati, kuhusu nia yao ya kuzalisha umeme kwa kutumia mabaki ya miwa ifikapo mwaka 2026.

Kikao hicho kimefanyika Jijini Dodoma tarehe 6 Novemba, 2023 na kuhudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, Kanali Isaac Mwakisu, Watendaji kutoka Wizara ya Nishati na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO).

Mtendaji Mkuu wa kampuni hiyo, Anoop Singh amemweleza Naibu Waziri kuwa, kampuni hiyo ambayo ina hekta za 30,000 za mashamba ya miwa wilayani Kasulu mkoani Kigoma mwaka 2026 inatarajia kuzalisha umeme wa kiasi cha Megawati 24 na ifikapo mwaka 2028 wataongeza uzalishaji na kufikia Megawati 60.

Amesema kuwa, umeme utakaozalishwa na kampuni hiyo utatumika kuendeshea mitambo katika kampuni hiyo na mwingine wanatarajia kuingizwa katika gridi ya Taifa baada ya majadiliano na TANESCO.

Ili kuweza kufanikisha nia hiyo ya kuzalisha umeme, Sigh alimweleza Naibu Waziri kuhusu maombi mbalimbali ikiwemo ya kujengewa miundombinu ya kusafirisha umeme ya kV 132 au 400 kV kutoka kwenye kiwanda ili kuingiza umeme kwenye gridi ya Taifa na kujengewa kituo cha umeme cha kV 11/132 kV au kituo cha 11kV/400kV.

Naibu Waziri wa Nishati, ameipongeza kampuni hiyo kwa uwekezaji huo na kueleza kuwa Serikali itaendelea kuwapa ushirikiano kadri itakavyowezekana kwani nia ya Serikali ni kufanya kazi pamoja na Sekta Binafsi katika nyanja mbalimbali ikiwemo umeme.

Kuhusu maombi mbalimbali yaliyowasilishwa na kampuni hiyo, Naibu Waziri ameelekeza wataalam kutoka TANESCO kushirikiana na Wataalam kutoka kampuni hiyo ili kuona namna bora ambayo Serikali kupitia TANESCO inaweza kutekeleza maombi hayo.

Katika hatua nyingine, Naibu Waziri wa Nishati amefanya mazungumzo na watendaji kutoka Kampuni ya Songas wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo, Anael Samuel ambaye alieleza nia yao ya kujitambulisha kwa Naibu Waziri pamoja na kumweleza taarifa za sasa kuhusu uendeshaji wa kampuni hiyo inayozalisha umeme wa Megawati 190 na kuingiza katika gridi ya Taifa.

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga akizungumza na Ujumbe wa Kampuni ya Mufindi Paper Mill inayotarajia kuzalisha Umeme wa Megawati 24 kwa kutumia mabaki ya Miwa katika Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma, (hawapo pichani) waliofika kujitambulisha kwa Naibu Waziri huyo na kumueleza mipango ya uwekezaji wa kampuni hiyo, Jijini Dodoma.  

Wataalamu kutoka Wizara ya Nishati, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Ujumbe kutoka Kampuni ya Mufindi Paper Mill inayotarajia kuzalisha Umeme wa Megawati 24 kwa kutumia mabaki ya Miwa katika Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma,wakimsikiliza Naibu Waziri wa Nishati, Judith wakati wa Kikao na Ujumbe huo,  Jijini Dodoma.

Kaimu Kamishna wa Umeme na Nishati Mbadala, Mhandisi Yusuph Msembele akizungumza wakati wa kikao cha Naibu Waziri wa Nishati (hayupo pichani) na Ujumbe wa Kampuni ya Mufindi ya Mufindi Paper Mill inayotarajia kuzalisha Umeme wa Megawati 24 kwa kutumia mabaki ya Miwa katika Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma,  Jijini Dodoma.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania, TANESCO), Mhandisi Athanasius Nangali akizungumza wakati wa kikao cha Naibu Waziri wa Nishati (hayupo pichani) na Ujumbe wa Kampuni ya Mufindi ya Mufindi Paper Mill inayotarajia kuzalisha Umeme wa Megawati 24 kwa kutumia mabaki ya Miwa katika Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma Jijini Dodoma.

Ujumbe wa Kampuni ya Mufindi Paper Mill inayotarajia kuzalisha Umeme wa Megawati 24 kwa kutumia mabaki ya Miwa katika Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma, wakimsikiliza Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga (hayupo pichani) walipofika kujitambulisha kwa Naibu Waziri huyo na kumueleza mipango ya uwekezaji ya Kampuni yao, Jijini Dodoma. 

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga (Kushoto) akizungumza na Mkurugenzi wa Kampuni ya Songas, Anael Samuel waliofika ya kujitambulisha kwa Naibu Waziri huyo pamoja na kumweleza taarifa za sasa kuhusu uendeshaji wa kampuni hiyo inayozalisha umeme wa Megawati 190 na kuingiza katika gridi ya Taifa,  Jijini Dodoma.

 

About the author

mzalendo