Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

grandpashabet

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

jojobet güncel giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

Featured Kitaifa

NAIBU WAZIRI KAPINGA AIPONGEZA REA USAMBAZAJI NISHATI VIJIJINI

Written by mzalendo

Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Hassan Saidy (kulia) akimkaribisha Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga katika Ofisi za Wakala hiyo jijini Dodoma, alipofika kuwatembelea na kuzungumza na Menejimenti, Novemba 7, 2023.

Veronica Simba na Lilian Lundo – Dodoma

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ametoa pongezi kwa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kazi nzuri ya kuendelea kusambaza umeme pamoja na aina nyingine za nishati vijijini ili kuhakikisha wananchi wote waishio vijijini wanafikiwa na huduma hiyo hivyo kuboresha maisha yao.

Kapinga ametoa pongezi hizo Novemba 7, 2023 wakati akizungumza na Menejimenti ya REA, ikiwa ni kikao chake cha kwanza na Uongozi wa Wakala hiyo tangu alipoteuliwa kushika wadhifa huo.

“Kazi ya REA inafanyika vizuri sana kwakweli. Mimi nimepita huko, kabla hata sijaja ofisini. Miradi mingi inafanyika vizuri sana kwakweli. Kwahiyo niwapongeze, mnafanya kazi nzuri ya kusimamia na hata kubuni miradi. Mambo ni mazuri,” amesema Mhe. Kapinga.

Pamoja na pongezi hizo, Naibu Waziri ameishauri REA kuendelea kuwajengea uwezo wasimamizi wa miradi, ili waweze kuifahamu na hivyo kuisimamia vizuri katika hatua zote tangu inavyoanza hadi inapokamilika kwa maslahi mapana ya wananchi na Taifa kwa ujumla. 

“Nafahamu wengi ni wapya na wako baadhi ni wazuri na wengine siyo wazuri kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kutoijua vizuri miradi, kutokuifuatilia vizuri au uzembe tu, Hivyo nashauri muwajengee uwezo na kuhakikisha wanasimamia miradi kuanzia mwanzo, kwani ndiyo muda sahihi na unaofaa,” amefafanua.

Akieleza zaidi, Mhe. Kapinga amesema aina ya ufuatiliaji unaotakiwa katika miradi ni pamoja na kuhakikisha pesa zinazotolewa kwa Wakandarasi zinatumika kwa matumizi stahiki pamoja na kuhakikisha kazi inatekelezwa kwa wakati.

Aidha, ameishauri REA kuhakikisha kuwa inajenga mazuri ya miradi inayotekelezwa ili inufaishe jamii kwa kipindi kirefu yaani vizazi na vizazi.

Akizungumzia suala la uunganishaji wateja katika maeneo ambayo miradi mbalimbali ya umeme imekamilika, Naibu Waziri amesema ni vyema nguvu ya kutosha ikaelekezwa katika kuhakikisha wananchi wanaelimishwa na kuhamasishwa kuunganisha umeme ili miradi hiyo iwe na tija kwakuwa Serikali inatumia fedha nyingi sana kutekeleza miradi hiyo.

“Suala la kuunganisha wateja tulichukulie kwa uzito kama ambavyo tunaweka uzito mwingi katika utekelezaji wa miradi,” amesisitiza.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mhandisi Hassan Saidy amesema kuwa Wakala unaahidi kuendelea kujituma pamoja na kuleta ubunifu katika kuharakisha upatikanaji wa nishati bora maeneo ya vijijini.

Aidha, ameongeza kusema kuwa Wakala utaendelea kupokea maelekezo na miongozo kutoka kwa viongozi wa Wizara ya Nishati na Mamlaka nyingine za Serikali katika kutimiza wajibu wake na kufanikisha malengo na azma ya Serikali katika kuboresha maisha ya wananchi waishio vijijini kupitia upatikanaji wa nishati bora katika maeneo yao.

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga (aliyekaa) akiwa katika picha ya pamoja na Menejimenti ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA), baada ya kikao baina yao alipotembelea Ofisi za Wakala Novemba 7, 2023. Kulia kwake ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati Athumani Mbuttuka na kushoto kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa REA Mhandisi Hassan Saidy.

Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Hassan Saidy (kulia) akimkaribisha Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga katika Ofisi za Wakala hiyo jijini Dodoma, alipofika kuwatembelea na kuzungumza na Menejimenti, Novemba 7, 2023.

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga akizungumza na Menejimenti ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Makao Makuu ya Wakala hiyo, Novemba 7, 2023 ikiwa ni kikao chake cha kwanza pamoja nao tangu aliposhika wadhifa huo.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Athumani Mbuttuka akizungumza wakati wa kikao cha Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga na Menejimenti ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA), kilichofanyika Makao Makuu ya Wakala hiyo jijini Dodoma, Novemba 7, 2023. Kushoto ni Kamishna Msaidizi wa Nishati Jadidifu, Mhandisi Styden Rwebangila.

Kaimu Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu kutoka Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Adrophina Tutuba (kushoto), akimkabidhi Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga, Mfuko wenye baadhi ya zawadi zilizotolewa na Wafanyakazi wanawake wa Wakala hiyo kama pongezi kwake akiwa ni mwanamke mwenzao kwa kuteuliwa kushika nafasi hiyo nyeti. Naibu Waziri alitembelea Makao Makuu ya REA jijini Dodoma, Novemba 7, 2023 na kuzungumza na Menejimenti ikiwa ni mara yake ya kwanza tangu aliposhika wadhifa huo.

Mkurugenzi wa Teknolojia za Nishati Jadidifu na Mbadala kutoka Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Advera Mwijage (kushoto), akimkabidhi Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga, baadhi ya zawadi zilizotolewa na Wafanyakazi wanawake wa Wakala hiyo kama pongezi kwake akiwa ni mwanamke mwenzao kwa kuteuliwa kushika nafasi hiyo nyeti. Naibu Waziri alitembelea Makao Makuu ya REA jijini Dodoma, Novemba 7, 2023 na kuzungumza na Menejimenti ikiwa ni mara yake ya kwanza tangu aliposhika wadhifa huo.

Sehemu ya Wajumbe wa Menejimenti ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA), wakimsikiliza Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga (hayupo pichani), alipokuwa akizungumza nao, Novemba 7, 2023. Naibu Waziri alitembelea Makao Makuu ya Wakala hiyo jijini Dodoma ikiwa ni mara yake ya kwanza tangu alipoteuliwa kushika wadhifa huo.

About the author

mzalendo