Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Paul Makonda Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma leo tarehe 2 Novemba, 2023.

Pamoja na Mambo mengine, Makonda amempongeza Dkt. Tulia kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa IPU ambapo amesema kuwa CCM itahakikisha inamuunga mkono katika majukumu yake ili azidi kuitangaza Tanzania kimataifa.

Previous articleWAZIRI HAROUN ALI SULEIMAN MGENI RASMI MKUTANO WA ACFET
Next articleMKURUGENZI MKUU REA AWATAKA WAKANDARASI KUTEKELEZA MIRADI BILA KUICHAFUA SERIKALI

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here