marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

lordbahis

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

pusulabet

imajbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

pusulabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

sonbahis

sonbahis

marsbahis

imajbet giriş

imajbet

ngsbahis

piabellacasino

mislibet

ngsbahis

goldenbahis

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

betcio, betcio giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

madridbet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

sahabet

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

casibom

marsbahis

jojobet giriş

jojobet

alobet

alobet giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

istanbulbahis

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

jojobet

imajbet

imajbet giriş

imajbet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

bets10 giriş

imajbet giriş

goldenbahis

imajbet

perabet giriş

perabet

ngsbahis

kralbet giriş

bahsegel

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

casino siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey giriş

betturkey

betsat

betsat giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

gonebet, gonebet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

superbetin

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

romabet

betsilin

güvenli casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

robinbet

meritking

meritking

grandpashabet

Featured Kitaifa

WATANZANIA WATAKIWA KUWEKA KIPAUMBELE CHA LISHE BORA KWA VIJANA BALEHE ILI KUIMARISHA AFYA YA AKILI NA UZAZI.

Written by mzalendo

Na.Elimu ya Afya kwa Umma, Mkuranga Pwani.

Watanzania wametakiwa kuweka kipaumbele cha lishe bora kwa vijana balehe ili kuimarisha afya ya akili pamoja na afya ya uzazi katika makuzi yao.

Wito huo umetolewa leo Oktoba 30, 2023 Wilayani Mkuranga Mkoani Pwani na Mkuu wa Wilaya ya Rufiji Mkoani Pwani Mhe.Meja Edward Gowele wakati akimwakilisha Waziri wa Afya Mhe.Ummy Mwalimu katika maadhimisho ya Siku ya Lishe Kitaifa yaliyofanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Kiguza.

“Sote tunajua kwamba, kijana balehe ni kijana mwenye umri wa kati ya miaka 10 hadi 19 ambapo mwanadamu anakua kwenye hatua ya ukuaji kutoka utotoni kuelekea utu uzima. Kipindi hiki ni fursa adhimu kwa ukuaji na maendeleo ya binadamu baada ya siku 1,000 za mwanzo wa maisha ya binadamu. Ni kipindi cha mpito katika makuzi ya kimwili, kiakili, kisaikolojia na maendeleo kwa ujumla hivyo ni muhimu kuweka kipaumbele cha lishe bora”amesema.

Mhe. Gowele amesema upungufu wa virutubishi katika kipindi cha rika balehe kwa vijana una athari kubwa kwao hali ambayo huchangiwa na mabadiliko katika miili yao kama ukuaji wa haraka, kupoteza damu wakati wa hedhi kwa wasichana na ulaji duni ambao husababisha upungufu wa virutubishi hasa madini chuma na vitamini B9 ijulikanayo kama asidi ya foliki.

Hali kadhalika Mhe.Gowele amesema kundi la vijana linakabiliwa na changamoto nyingi ikiwemo changamoto ya utapiamlo wa lishe pungufu, upungufu wa madini na vitamini pamoja na utapiamlo wa lishe ya kuzidi.

“Kulingana na utafiti mwaka 2019 wa ugonjwa wa malaria na hali ya lishe uliofanyika Nchi nzima kwa kundi la wanafunzi wa umri wa miaka 5 – 19 ulionesha kuwa; asilimia 5.1 ya wanafunzi wana unene uliozidi na kundi la wanafunzi wa miaka kati ya 5 na 9 ndio walioongoza kwa asilimia 6.6, asilimia 11.2 wana ukondefu na asilimia 34.2 walikuwa na upungufu wa wekundu wa damu, kundi la wanafunzi wa kati ya umri wa miaka 15 na 19 ndio liliongoza. Pia utafiti huo ulibainisha kuwa asilimia 42 ya wanafunzi wana kiwango cha chini cha kushughulisha mwili au kutofanya mazoezi (yaani tabia bwete)”amesema.

Kwa upande wake Mkurugenzi Msaidizi Huduma za Lishe kutoka Wizara ya Afya Neema Joshua amesema mtoto akiwa ana lishe duni hata uwezo wa kutulia darasani unakuwa mdogo.

“kundi kubwa vijana balele ni lile la shuleni hivyo anapokuwa analishe duni uwezo wa kushika masomo darasani unakuwa mdogo na yule wa changamoto ya damu kutokana na lishe duni anakuwa anachoka mapema na lishe si kwa afya tu lishe ni kwa ajili ya usalama wa taifa pia maana ukiwa na vijana wenye lishe bora panakuwa na ufanisi”amesema.

Nao baadhi ya Wanafunzi waliohudhuria katika maadhimisho ya Siku ya Lishe Kitaifa akiwemo Samia Hassan pamoja na Angela Daniel wamesema kupitia Maadhimisho hayo wamejifunza mambo mbalimbali kuhusu lishe ikiwemo kuimarisha afya ya akili pamoja na kuimarisha afya ya uzazi kwa vijana balehe.

Ikumbukwe kuwa Maadhimisho ya siku ya lishe kitaifa yamekwenda sambamba na kaulimbiu isemayo” “Lishe Bora kwa Vijana Balehe, Chachu ya Mafanikio Yao”ambapo msisitizo umetolewa kwa Viongozi wote katika sekta zote kwa kushirikiana na wadau pamoja na jamii kwa ujumla kuhakikisha wanaboresha Lishe ya Vijana balehe kwa kutenga bajeti ya kutekelezaji afua za lishe zinazolenga kuimarisha hali ya lishe kwa vijana balehe mashuleni na wale walio nje ya shule nchini Tanzania ikiwemo;Ulaji wa chakula kilichoongezwa virutubishi shuleni,Kilimo cha mbogamboga, matunda na ufugaji wa wanyama wadogo wadogo,Usindikaji na uhifadhi salama wa chakula,Utaoji wa elimu ya lishe kwa vijana balehe,Kufanya tathmini ya hali ya lishe na Unasihi kwa vijana balehe na Usimamizi wa mwongozo wa utoaji wa huduma ya chakula shuleni.

About the author

mzalendo