marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

lordbahis

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

pusulabet

imajbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

pusulabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

sonbahis

jojobet

marsbahis

imajbet giriş

imajbet

ngsbahis

piabellacasino

mislibet

ngsbahis

goldenbahis

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

betcio, betcio giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

madridbet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

sahabet

Madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

alobet

alobet giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

istanbulbahis

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

jojobet

imajbet

imajbet giriş

imajbet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

bets10 giriş

imajbet giriş

goldenbahis

imajbet

perabet giriş

perabet

ngsbahis

kralbet giriş

bahsegel

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

casino siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey giriş

betturkey

betsat

betsat giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

gonebet, gonebet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

superbetin

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

romabet

jojobet

güvenli casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

robinbet

grandpashabet

meritking

Featured Kitaifa

 MRADI WA UMEME WA IJANGALA WA 360 kW KUWA CHACHU SHUGHULI ZA KIUCHUMI NJOMBE 

Written by mzalendo

 

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango (katikati) akikata utepe wakati wa uzinduzi wa Mradi wa kufua Umeme Ijangala Kijiji cha Masisiwe, Wilayani Makete, mkoani Njombe.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiteta jambo na Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mradi wa Umeme Ijangala, Kijiji cha Masisiwe, Wilayani Makete, mkoani Njombe.

Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga akizungumza na Wananchi wa Kijiji cha Tandala Dayosisi ya Kusini kati, Wilayani Makete, Mkoani Njombe baada ya uzinduzi wa Mradi wa kufua  Umeme Ijangala.


Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga akisalimiana na Mke wa Makamu wa Rais Mama Jenisia Mpango, wakati wa Hafla ya uzinduzi.wa Mradi wa kufua  Umeme Ijangala  wakati walipokutana na Wananchi wa Kijiji cha Tandala Dayosisi ya Kusini kati, Wilayani Makete, Mkoani Njombe

……………………….

Makamu wa Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mhe. Dkt. Philip Mpango tarehe 27, Oktoba 2023 amezindua rasmi Mradi wa  Kufua Umeme wa Maji Ijangala wa Kilowati 360 ,unaomilikiwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Dayosisi ya Kusini Kati katika kijiji cha Masisiwe Wilaya ya Makete Mkoani Njombe.

Akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa mradi huo, Dkt. Mpango ameelezea  kufurahishwa kwake na uwepo wa Mradi, na kuwataka Wadau wengine kujitokeza kuwekeza kwenye miradi ya namna hiyo katika kuhakikisha Tanzania inakuwa na umeme wa kutosha, wa uhakika na wa bei nafuu.

 “Mradi huu umegharimu takribani shilingi bilioni 3 milioni 841. Kiasi cha pesa hizo,  milioni 997 zimefadhiliwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA), pamoja na Benki ya Maendeleo (TIB) kutoa Dola za
Kimarekani 850 kwa mkopo wenye riba nafuu.” Alisema Dkt. Mpango.

Dkt. Mpango amesema, umeme ni kichocheo cha maendeleo ya watu kwa kuwa bidhaa za mazao ya misitu, kilimo, ufugaji na uvuvi lazima zisindikwe kwa kutumia nishati ya uhakika na ya bei nafuu.

“Sasa ili tufike hapo, tunahitaji uwekezaji imara na katika uzalishaji, usafirishaji na nishati ya umeme katika maeneo ya uzalishaji na usindikaji wa bidhaa”. Amesema Mhe. Makamu wa Rais.

Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango ameiagiza Wizara ya Nishati kusimamia kwa ukaribu utekelezaji wa Mradi wa Rumakali ili kuongeza upatikanaji wa Umeme Wilayani Makete.

Akizungumza wakati wa Hafla hiyo. Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga, amemhakikishia Makamu wa Rais kuwa,  Wizara ya Nishati inaendelea kufanya kazi kwa bidii ili kuhakikisha vijiji vyote
vinafikiwa na Umeme kwa wakati na kuwa kwa Wilaya ya Makete wanakaribia kumaliza kupeleka umeme kwa vijiji vyote 98

“Tunategemea hadi kufika terehe 30/10/2023 tutakuwa tumepiga hatua Ili Megawati 80 zote za mradi wa Rusumo ziweze kuingia kwenye Gridi ya Taifa”

“Kupitia REA na TANESCO tunatekeleza miradi mbali mbali ya nishati ikiwemo miradi ya kuzalisha pamoja na kusafirisha umeme sio tu ndani ya nchi yetu lakini Kwa kuunganisha nchi nyingine zikiwemo Zambia, Kenya, Uganda, Burundi na Malawi.” Amesema Naibu Waziri Kapinga.

Awali, akizungumza katika hotuba yake kwa mgeni rasmi, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mkuu wa Dayosisi ya Kusini Kati, Askofu Wilson Sanga alieleza kuwa, Mradi ulianza rasmi kwa tafiti mbalimbali mwaka 2010, lakini ujenzi ulianza rasmi Machi 2021 kama shughuli ya kwanza ya Nishati Lutheran (DKK) Investment Limited, kampuni iliyoanzishwa na Dayosisi na kusajiliwa kwa mujibu wa sheria za nchi.

“Kwa sasa mradi unazalisha umeme wa kilowati 360 na umeunganishwa na Gridi ya Taifa (National Grid) kwa kufuata makubaliano ya kimkataba kati ya TANESCO na Nishati Lutheran (DKK) Investment Limited yaliyosainiwa Desemba 2020, kufuata fursa zilizopo kwenye chanzo ingawa kinaweza kutoa umeme wa hadi megawati 2, iwapo mitambo itaongezwa”. Amekaririwa Askofu Sanga.

Askofu Sanga amesema Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imetoa ruzuku na imeendelea kuchangia sehemu ya gharama za ujenzi ambapo jumla ya shilingi za kitanzania milioni 997.5 zimetolewa pamoja na mkopo nafuu kupitia Benki ya Maendeleo ya TIB (Dola za Marekani 400,000) sawa na
zaidi ya milioni 850 fedha za kitanzania.

Hafla hiyo imehudhuriwa na Viongozi mbali mbali wa Serikali na Viongozi wa Kidini na wakazi wa Makete.

About the author

mzalendo