marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

izmit escort

izmit escort

izmit escort

pusulabet

matbet

meritking giriş

kavbet

bets10 giriş

ultrabet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

1win

marsbahis

ngsbahis

betlike

teosbet

batumslot

mislibet

meritbet giriş

artemisbet

meritbet

jojobet

kulisbet giriş

meritking

kulisbet, kulisbet giriş

vdcasino, vdcasino giriş

vdcasino, vdcasino giriş

kralbet

jojobet

restbet

jojobet

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

betcio

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet giriş

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

enjoybet giriş

betebet

betgar, betgar giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet

tümbet giriş

tümbet

tümbet giriş

Featured Kitaifa

CHAMA CHA WANAUME WAZEE TANZANIA CHAZINDULIWA

Written by mzalendo

Na WMJJWM, Dodoma

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amevitaka Vyama vinavyoshughulika na masuala ya Wazee nchini kufanya kazi kwa karibu na Mabaraza ya kisera ya Wazee kupitia mwongozo wa Kitaifa uliozinduliwa tarehe 6 Oktoba 2023 kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wazee kitaifa mkoani Geita.

Akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa Chama cha Wazee Wanaume Tanzania iliyofanyika jijini Dodoma Oktoba 27, 2023, Waziri Dkt. Gwajima pia amesisitiza Asasi na Vyama vyote vya Wazee nchini kutekeleza majukumu yao kwa mujibu wa Sera, Sheria, Miongozo na Mipango ya Serikali huku wakizingatia Katiba zao bila kuingilia majukumu ya mamlaka nyingine au vyama vingine pamoja na kuwa na mikakati ya kutafuta rasilimali fedha kwa ajili ya kutekeleza shughuli zao kikamilifu.

Kuhusu kudhibiti mmomonyoko wa maadili Waziri Dkt Gwajima amesema, Chama hicho pia kina wajibu wa kuchochea Malezi chanya ya Watoto na Vijana, huku wajumbe wa Chama hicho wakiwa mfano kwenye kuwajibika kukemea mmomonyoko wa maadili katika jamii unaosababishwa na kukosa malezi stahiki.

Ameziahidi Asasi na vyama vyote vya Wazee kuwa, Serikali itaendelea kuwapa ushirikiano ambapo amezitaja baadhi ya juhudi zinazofanywa na Serikali kuwa ni pamoja na Kuunda mabaraza ya ushauri wa masuala ya wazee ambayo ni kiungo cha kisera kati ya jamii ya wazee wa makundi mbalimbali na Serikali.

Aidha, kwa kushirikiana na majukwaa ya wazee serikali imeweza kufanya mapitio ya Sera ya wazee ya mwaka 2003 na kuja na rasimu ya sera mpya ya wazee ya mwaka 2023 ambayo iko kwenye hatua za mwisho.

Akitoa salaam za Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mkuu wa Wilaya ya Chemba Mhe. Gerard Mongela amewataka wazee kuwa sehemu ya kusaidia maendeleo ya nchi kwa kuendelea kuwa washauri wazuri na kuwafungulia mlango vijana wanaotumikia taifa.

“Viongozi vijana wanahitaji sana hekima ya wazee, chini ya Uongozi wa Rais Samia mkawe kielelezo, muendelee kutoa ushauri bila kuchoka. Kupitia Chombo chenu, mtumie taaluma zenu muweke kwenye maandishi ili iwe kumbukumbu” amesema Mhe. Mongela

Akizungumza katika hafla hiyo Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Wazee Wanaume Joseph Laizer amebainisha kwamba Chama hicho kimetokana na kuwa na malalamiko mengi ya kusahaulika kwa wazee hasa katika huduma za afya na maadili.

“Tumeamua kurudi kule tulipotoka, tujaribu kurudisha maadili vijijini, watoto wetu wanaposoma wanabadilika na kusahau jadi yao” amesema Laizer

Kwa upande wake Katibu Mwenenzi wa Chama cha Wazee Wanaume John Sagata akiwasilisha risala ya chama hicho amesema lengo la chama hicho ni kuungana wanaume wazee katika kujadili masuala yanayowahusu ambapo hadi sasa kina jumla ya wanachama 23146 katika mikoa 22 nchini.

Naye Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Mkoa wa Dodoma Mchungaji Paulo Mpolo amebainisha kuwa, Baraza la Wazee ndio linabeba wazee wote wa kike na wa kiume hivyo amekiomba chama cha Wazee na vyama vingine vyote kushirikiana katika kuwatetea wazee.

“Kazi ya kutengeneza malezi na maadili yoyote ni kazi ya wazee, tulijisahau tukaacha kuwasaidia watoto wetu juu ya maadili yetu ya Kiafrika. Tuamke sasa na tukatae kuitwa tumepitwa na wakati, tusaidie kizazi chetu.” amesema Mzee Mpolo.

About the author

mzalendo