Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

betsat

pusulabet, pusulabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

Redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betsat güncel giriş

girne escort

magusa escort

Marmaris Tekne Turu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Featured Kitaifa

NAIBU WAZIRI KHAMISI ATAKA MAAFISA MAZINGIRA NCHINI KUONGEZA KASI UTOAJI ELIMU YA MAZINGIRA

Written by mzalendo

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis akizungumza na viongozi pamoja na watumishi wa Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma wakati wa ziara yake ya kikazi ya kufuatilia utekelezaji wa Mradi wa Hifadhi ya Ardhi ya Bonde la Ziwa Nyasa. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Filberto Sanga na Mwenyekiti wa Halmashauri ya hiyo Stewart Nombo.

…..

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis amewahimiza maafisa mazingira nchini kuongeza kasi ya utoaji elimu ya utunzaji wa mazingira kwa wananchi ili kuepusha athari za mabadiliko ya tabianchi.   

Ametoa wito huo wakati akizungumza na viongozi pamoja na watumishi wa Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma wakati wa ziara yake ya kikazi ya kufuatilia utekelezaji wa Mradi wa Hifadhi ya Ardhi ya Bonde la Ziwa Nyasa.

Naibu Waziri Khamis amewataka wataalamu hao kusimamia vyema sheria na taratibu za hifadhi ya mazigira ikiwemo utunzaji wa vyanzo vya maji na kusimamia maelekezo ya Serikali ya kupanda miti milioni 1.5 kwa kila halmashauri.

Aidha, amepongeza halmashauri hiyo kwa upandaji wa miti akihimiza lengo la idadi ya miti lililowekwa na Serikali pamoja na kujenga majiko banifu 60 yanayopunguza kasi ya ukataji wa miti kwa ajili ya kuni na mkaa.

Mhe. Khamis pia amewapongeza viongozi na wataalamu hao kwa kuusimamia vyema Mradi wa Hifadhi ya Ardhi ya Bonde la Ziwa Nyasa unaoratibiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais.

“Ninamini miradi hii imeashaanza kuwanufaisha wananchi na target  (lengo) ya Serikali iwafikie wananchi kwa wakati na kwa ubora, na hapa nimeona kwenye taarifa yenu imeanza kuwanufaisha wananchi, hongereni sana,“ amesema.

Awali akizungumza, Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Mhe. Filberto Sanga amesema anatambua kazi inayofanywa na Serikali hususan katika ujenzi wa miundombinu.

Amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuidhinisha fedha za miradi mbalimbali ikiwemo ya mazingira elimu, maji, afya, umeme, mawasiliano na utalii.

Akisoma taarifa ya utekelezaji wa mradi huo, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa Bw Khalid Khalif amesema utasaidia kupunguza uharibifu wa mazingira kwani wananchi watafanya shughuli za kujipatia kipato.

Ametaja faida ya kijamii inayopatikana ni pamoja na kuongeza usalama wa chakula na kipato kwa kaya kwa kupunguza uharibifu wa ardhi na uharibifu wa Bonde la Ziwa Nyasa.

Bw. Khalif ameongeza kuwa halmashauri imepanda miti 3,500 kwenye vyanzo vya maji katika Kijiji cha Lundo na vijiji jirani sanjari na kukarabati majiko banifu katika maeneo mbalimbali ambayo yatasaidia kupunguza matumizi ya kuni na mkaa.  

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis akizungumza na viongozi pamoja na watumishi wa Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma wakati wa ziara yake ya kikazi ya kufuatilia utekelezaji wa Mradi wa Hifadhi ya Ardhi ya Bonde la Ziwa Nyasa. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Filberto Sanga na Mwenyekiti wa Halmashauri ya hiyo Stewart Nombo.

Mratibu wa Mradi wa Hifadhi ya Ardhi ya Bonde la Ziwa Nyasa Dkt. Paul Deogratius akifafanua jambo wakati wa kikao cha Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis viongozi pamoja na watumishi wa Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma wakati wa ziara yake ya kikazi ya kufuatilia utekelezaji wa Mradi wa Hifadhi ya Ardhi ya Bonde la Ziwa Nyasa.

Wataalamu wa Mazingira wakiwa katika kikao na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis (hayupo pichani) viongozi pamoja na watumishi wa Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma wakati wa ziara yake ya kikazi ya kufuatilia utekelezaji wa Mradi wa Hifadhi ya Ardhi ya Bonde la Ziwa Nyasa.

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis akiagana na Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Filberto Sanga mara baada ya kikao pamoja na Wataalamu wa Mazingira wa Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma wakati wa ziara yake ya kikazi ya kufuatilia utekelezaji wa Mradi wa Hifadhi ya Ardhi ya Bonde la Ziwa Nyasa. 

(PICHA NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS)

About the author

mzalendo