slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

new unblocked games

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

sapanca escort

hardcore porn

escort sapanca

pusulabet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

galabet

betasus

palacebet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

Kingroyal

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

rinabet, rinabet giriş

aresbet, aresbet giriş

alobet, alobet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

jojobet

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

betmoney

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

jojobet

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet güncel giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

betpark giriş

trendbet

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

casibom

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

mislibet giriş

artemisbet

kavbet

kavbet

artemisbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

casibom giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

betmoney giriş

jojobet

bets10

bets10

trust score weak 3

jojobet

ikimisli giriş

kumar siteleri

mislibet

kavbet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

mobilbahis

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

otobet

Hacking forum

trend hack methods

grandpashabet

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

casibom

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

superbetin

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

betmoney

tarafbet

güvenilir kumar siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

lunabet

betgar, betgar giriş

grandpashabet

lunabet

lunabet

palacebet

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet giriş

holiganbet

deneme bonusu

betplay

cashwin

cratosroyalbet

casinomilyon

casinowon

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

meritking

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casinoroyal

Hacklink panel

jojobet yeni adres

holiganbet

grandpashabet

holiganbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

perabet

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

tipobet

meritking

meritking giriş

Featured Michezo

MASHINDANO YA MBIO ZA BAISKELI ZA CRDB YAONGEZA SHANGWE KUMBUKUMBU YA BABA WA TAIFA, ZAWADI NONO ZATOLEWA

Written by Alex Sonna
Mbio za baiskeli zikiendelea katika uwanja wa CCM Kambarage
 
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 
Tamasha la Mbio za Baiskeli Shinyanga lililoandaliwa na Benki ya CRDB ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Kumbukumbu ya Siku ya Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere limehitimishwa kwa kishindo mkoani Shinyanga ambapo washindi wa mbio hizo wameondoka na zawadi nono ya Shilingi Milioni 7.2 huku unit zaidi ya 500 za damu salama zikipatikana.

 
Tamasha hilo limefanyika leo Jumamosi Oktoba 14,2023 katika Uwanja wa CCM Kambarage  Mjini Shinyanga likihusisha uchangiaji damu salama pamoja na burudani pendwa ya mbio za baiskeli kwa makundi ya wanaume na wanawake.
 
Akizungumza kwenye kilele cha Mbio za Baiskeli za CRDB Shinyanga (Shinyanga CRDB Cycling Rally) , Mgeni rasmi Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga, Prof. Siza Tumbo akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme, ameipongeza Benki ya CRDB kwa kuandaa tamasha hilo kwa ajili ya kumuenzi Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akisema zimesaidia kuutangaza mkoa huo na kufungua zaidi fursa za kiuchumi na uwekezaji.
 
 
“Maadhimisho ya Sisi Shinyanga tunaadhimisha Kumbukumbu ya Siku ya Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa kuunga mkono jitihada za serikali katika kumuenzi Baba wa Taifa ikiwa ni pamoja na hitimisho la mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2023. Wananchi changamkieni fursa zinazotolewa katika Benki ya CRDB”,amesema.
Mgeni rasmi Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga, Prof. Siza Tumbo akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme.
 
“Mbio hizi sio tu zinatoa fursa kwa wananchi wanaoshiriki kuimarisha na kulinda afya zao, bali washindi wanapata zawadi zinazowahamasisha wao na wengine kuendelea kushiriki mbio hizi. Baada ya mbio hizi ambazo zimepata umaarufu mwaka hadi mwaka zikifanyika kwa mafanikio kwa miaka minne sasa, tunaamini kabisa kwamba iwapo utafiti utafanyika leo hii, hatutashangaa kusikia Mkoa wa Shinyanga unaongoza kwa idadi kubwa ya baiskeli jambo ambalo litakuwa limechangiwa na Benki ya CRDB”,amesema Prof. Tumbo.
 
“Mbio hizi zimetoa fursa ya kuutangaza mkoa wetu pamoja na kufungua fursa za kiuchumi kwa wananchi na wafanyabiashara. Kadri miaka inavyozidi Kwenda, umaarufu wa mbio hizi unazidi kuongezeka hivyo basi, wakati Benki ya CRDB ikifungua njia, naziomba kampuni nyingine nazo kuangalia namna ya kufungua fursa za mkoa wetu huu jambo litakalosaidia kuboresha maisha ya wananchi,” ameongeza.
 
Endapo mbio hizo zitaendelezwa na kuwakaribisha washiriki kutoka kote nchini hata nje ya mipaka ya Tanzania, amesema anaamini zitaitangaza vyema Shinyanga na kutoa fursa kwa vijana kushiriki mashindano ya aina hiyo kimataifa jambo litakaloimarisha kipato chao.
 
Kabla ya kuhitimishwa kwa mbio hizo, zilitanguliwa na shughuli za kijamii ikiwamo kuchangia damu ambapo zaidi ya chupa 500 za damu salama zimekusanywa kwa ajili ya wagonjwa wenye uhitaji wanaotibiwa katika hospitali na vituo vya afya mkoani humo na nchini kote kwa ujumla.
 
Katika hotuba ya Meneja wa Benki ya CRDB kanda ya Magharibi, Jumanne Wagana iliyosomwa na Meneja wa Benki ya CRDB tawi la Shinyanga ,amesema mbio hizo hufanyika kila mwaka siku ya kumbukumbu ya baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, ambaye alipenda kila mwananchi kuwa huru kiuchumi kwa kujituma kufanya kazi kulingana na fursa zilizopo kwenye eneo alilopo.
 
Amesema Benki ya CRDB ni mdau mkubwa wa michezo nchini kutokana na imani kubwa kwamba inajenga ushirikiano, mshikamano, na kuwaleta watu pamoja hivyo kuwa rahisi kuleta maendeleo katika jamii.
Wanawake waendesha baiskeli wakizunguka uwanja wa CCM Kambarage mara 30 ambapo mshindi wa kwanza ni Kipepeo Futi Mbili
 
“Baada ya kuimarisha afya kitu muhimu ni kuwa na uchumi imara. Benki ya CRDB inayo zaidi ya matawi 260 nchini kote ambako wananchi wanaweza kuyatumia kuzichangamkia fursa walizonazo. Mtu mwenye afya njema tayari anao mtaji wa kuanzia kufanikisha mlengo yake. Naomba tuendelee kujitokeza kwenye michezo mbalimbali inayofanyika kwenye maeneo yetu kwani iasaidia kwa kiasi kikubwa kuimarisha afya,” ameongeza.
 
Licha ya mbio hizo za baiskeli, Benki ya CRDB pia huandaa na kusimamia mbio za kimataifa zijulikanazo kama CRDB Bank Marathon huku ikidhamini mingine kadhaa zikiwamo jezi za Zanzibar Heroes, Simba Day na Wiki ya Mwananchi, na ni mfadhili timu ya Namungo inayoshiriki Ligi Kuu Bara na inadhamini Mashindano ya CRDB Bank Ngalawa Race yanayofanyika Kizimkazi visiwani Zanzibar. 
 
Amefafanua kuwa , Katika kuwezesha shughuli za kiuchumi, kuanzia Aprili mwaka jana mpaka sasa hivi, Benki ya CRDB imekopesha zaidi ya shilingi bilioni 6 kwa wachimbaji wadogo wa madini mkoani Shinyanga huku shilingi bilioni 65.3 zikielekezwa kwenye kilimo hasa cha mpunga na pamba hivyo kuwesha ununuzi wa zana za kilimo, pembejeo pamoja na kuimarisha masoko ya mazao yanayovunwa kila mwaka. Vilevile, kupitia mradi wa Keti Jifunze inaoutekeleza nchini kote, imetoa madawati 250 katika shule mbili za msingi na sekondari moja ili kuboresha mazingira ya kujifunzia. 
 
“Benki yetu pia inayo programu ya Imbeju inayotoa mtaji wezeshi kwa vijana na wanawake. Fursa hii ni kwa ajili ya watu wote tukiwamo wakazi wa Shinyanga na vitongoji vyake. Nawakaribisha vijana wenye mawazo na miradi yenye ubunifudani yake pamoja na wanawake mliopo kwenye vikundi vinavyojihusisha na masuala ya ujasiriamali, tunazo fursa kwa ajili yenu,” amesisitiza . 
 
 
Katika Mashindano hayo, jumla ya shilingi Milioni 7.2 zimetolewa na Benki ya CRDB kama zawadi washindi wa mbio za baiskeli wa kwanza hadi wa 10 katika makundi ya wanaume na wanawake ambapo kwa upande wa Wapanda Baiskeli Wabobezi waliokimbia Km 150 kutoka Kambage Shinyanga Mjini hadi Isaka Kahama na kurudi mshindi wa kwanza ni Kulwa Gelard aliyeondoka na kitita cha shilingi Milioni 1.5.

 

Mshindi wa Kwanza , Makirikiri Joseph akimaliza kwa kupiga saluti mbio za kundi la Wanawake waendesha baiskeli wakiwa na ndoo kichwani waliozunguka uwanja wa CCM Kambarage mara 10
 

 

Nao wapanda Baiskeli wanaochipukia waliokimbia Km 100 mshindi wa kwanza ameibuka na kitita cha shilingi 700,000 na wapanda baiskeli wakongwe mshindi wa kwanza ameondoka na zawadi ya shilingi 150,000/=, wanawake wanaokimbia na ndoo za maji kichwani waliozunguka uwanja wa CCM Kambarage mara 10 mshindi wa kwanza Makirikiri Joseph akiondoka na zawadi ya shilingi 30,000/= na wanawake waliozunguka uwanja wa CCM Kambarage mara 30 mshindi wa kwanza Kipepeo Futi mbili aliyeondoka na kitita cha shilingi 500,000/=.
 
TAZAMA PICHA HAPA CHINI
Mgeni rasmi Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga, Prof. Siza Tumbo akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme kwenye kilele cha Mbio za Baiskeli za CRDB Shinyanga (Shinyanga CRDB Cycling Rally) leo Jumamosi Oktoba 14,2023 – Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Meneja wa Benki ya CRDB Tawi la Shinyanga, Luther Mneney akizungumza kwa niaba ya Meneja wa Benki ya CRDB Kanda ya Magharibi, Jumanne Wagana kwenye kilele cha Mbio za Baiskeli za CRDB Shinyanga (Shinyanga CRDB Cycling Rally) leo Jumamosi Oktoba 14,2023
Meneja  Mahusiano Benki ya CRDB Kanda ya Magharibi , Deogratius Mambo akizungumza kwenye kilele cha Mbio za Baiskeli za CRDB Shinyanga (Shinyanga CRDB Cycling Rally) 

Mwneyekiti wa Cha Baiskeli Mkoa wa Mwanza, Elizabeth     Sospeter Sayayi akizungumza kwa niaba ya Mwenyekiti wa Chama Cha Baiskeli Taifa kwenye kilele cha Mbio za Baiskeli za CRDB Shinyanga (Shinyanga CRDB Cycling Rally)
Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga, Prof. Siza Tumbo ( wa kwanza kushoto) akifuatilia Mbio za Baiskeli za CRDB Shinyanga (Shinyanga CRDB Cycling Rally)
Wadau wakifuatilia Mbio za Baiskeli za CRDB Shinyanga (Shinyanga CRDB Cycling Rally)
Waendesha baiskeli Chipukizi wakimaliza Mbio za Baiskeli Km 100
Mshindi wa kwanza mbio za Baiskeli kundi la Wabobezi Kulwa Gelard akimaliza mbio za Km 150
Wanawake waendesha baiskeli wakizunguka uwanja wa CCM Kambarage mara 30 ambapo mshindi wa kwanza ni Kipepeo Futi Mbili
Mbio za baiskeli zikiendelea katika uwanja wa CCM Kambarage
Mbio za baiskeli zikiendelea katika uwanja wa CCM Kambarage

 

Wanawake waendesha baiskeli wakiwa na ndoo za maji kichwani wakizunguka uwanja wa CCM Kambarage mara 10.

 

Mshindi wa Kwanza , Makirikiri Joseph akimaliza kwa kupiga saluti mbio za kundi la Wanawake waendesha baiskeli wakiwa na ndoo kichwani waliozunguka uwanja wa CCM Kambarage mara 10
Mbio za baiskeli zikiendelea
Wadau wakifuatilia Mbio za baiskeli 
Wadau wakifuatilia Mbio za baiskeli 
Wadau wakifuatilia Mbio za baiskeli 
Wadau wakifuatilia Mbio za baiskeli 
Mgeni rasmi Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga, Prof. Siza Tumbo akimpatia cheti cha shukrani Mwenyekiti wa Chama cha Baiskeli Mkoa wa Shinyanga Salula Gacha kuwa mdau mkubwa katika mchezo wa baiskeli  wakati wa kilele cha Mbio za Baiskeli za CRDB Shinyanga (Shinyanga CRDB Cycling Rally) leo Jumamosi Oktoba 14,2023
Mgeni rasmi Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga, Prof. Siza Tumbo akikabidhi zawadi kwa mshindi wa kwanza wa mbio za baiskeli Kulwa Gelard kundi la wanaume waliokimbia mbio za Km 150. Kulwa Gelard ameondoka na kitita cha shilingi Milioni 1.5
Mgeni rasmi Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga, Prof. Siza Tumbo akimvalisha medali ya dhahabu na kukabidhi zawadi kwa mshindi wa kwanza wa mbio za baiskeli Kulwa Gelard kundi la wanaume waliokimbia mbio za Km 150. Kulwa Gelard ameondoka na kitita cha shilingi Milioni 1.5
Mgeni rasmi Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga, Prof. Siza Tumbo akikabidhi zawadi kwa washindi wa mbio za baiskeli kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme
Mgeni rasmi Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga, Prof. Siza Tumbo akikabidhi zawadi kwa washindi wa mbio za baiskeli kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme
Mgeni rasmi Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga, Prof. Siza Tumbo akikabidhi zawadi kwa washindi wa mbio za baiskeli kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme
Mgeni rasmi Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga, Prof. Siza Tumbo akikabidhi zawadi kwa washindi wa mbio za baiskeli kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme
Mgeni rasmi Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga, Prof. Siza Tumbo akikabidhi zawadi kwa washindi wa mbio za baiskeli kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme
Zoezi la uchangiaji damu slama likiendelea katika uwanja wa CCM Kambarage
Mratibu wa Damu Salama Mkoa wa Shinyanga Dkt. Joel Mbale (kushoto) akimwelezea  Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga, Prof. Siza Tumbo kuhusu zoezi la uchangiaji damu salama lilivyofanyika kupitia Benki ya CRDB
Zoezi la utoaji huduma za kufungua Akaunti za CRDB likiendelea katika uwanja wa CCM Kambarage
Zoezi la utoaji huduma za kufungua Akaunti za CRDB likiendelea katika uwanja wa CCM Kambarage
Zoezi la utoaji huduma za kufungua Akaunti za CRDB likiendelea katika uwanja wa CCM Kambarage
Maafisa kutoka Chama cha Msalaba Mwekundu (Red Cross) wakiwa katika uwanja wa CCM Kambarage
Picha za kumbukumbu zikipigwa kwenye kilele cha Mbio za Baiskeli za CRDB Shinyanga (Shinyanga CRDB Cycling Rally)
Picha za kumbukumbu zikipigwa kwenye kilele cha Mbio za Baiskeli za CRDB Shinyanga (Shinyanga CRDB Cycling Rally) leo Jumamosi Oktoba 14,2023 – Picha zote na Kadama Malunde – Malunde 1 blog

About the author

Alex Sonna