Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

casibom giriş

marsbahis

betsat

pusulabet, pusulabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

grandpashabet

bets10

dinamobet giriş

ultrabet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

jojobet

casibom

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

nerobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

nakitbahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

marsbahis

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

perabet

tipobet

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

Redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

Marmaris Tekne Turu

jojobet

tubidy

nakitbahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

casibom

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Hacking Forum

Featured Kitaifa

MTATURU ALIA NA KIVUKO BARABARA IKUGHA

Written by Alex Sonna

MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu ametembelea eneo linalotarajiwa kujengwa kivuko cha muda ili kuondoa hatari inayopatikana kwa wanafunzi katika kipindi cha mvua wanaokatiza mto Matengia uliopo kati ya Kitongoji cha Ighuka na Ikugha jimboni humo.

Mtaturu katika ziara hiyo ameambatana na Meneja wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA),Wilaya ya Ikungi Mhandisi Alli Mimbi na wamekagua eneo linapokatiza mto ili kufanya tathimini ya kuweka kivuko na hivyo kuondoa changamoto inayojitokeza wakati wa masika inayosababisha wanafunzi kushindwa kuhudhuria masomo.

Akizungumza katika eneo hilo Mtaturu amesema wao wanawajibu wa kuhudumia wananchi.

“Nafahamu hapa kuna watu wameshakufa kutokana na kukosekana na kivuko hapa,sasa nia yangu tuangalie mpango wa dharura ili tupate ufumbuzi na watu waweze kuvuka,”.amesema.

“Hizi ni jitihada zangu binafsi,najua upo mpango wa muda mrefu huo uendelee, lakini kwa sasa tuwe na utatuzi wa muda mfupi,sitaki kuja kuona mwakani tena narudi naambiwa jambo lile lile ambalo tulishaliongea mwaka uliopita, hapana mimi hamu yangu ilikuwa mwaka wa fedha uliopita tuonane tuweze kuangalia lakini hatukuweza kufanya hivyo,”ameongeza.

Mtaturu amesema jitihada zinazofanywa za kuwa na suluhisho la kudumu ziendelee wakati wanaangalia mpango wa muda mfupi ili kuwanusuru wananchi hasa watoto wanaotumia njia hiyo.

“Mwisho wa siku uhai wa mwananchi ni muhimu na uchumi wao ni muhimu kwa hiyo lazima vyote viwili vifanyike ili kuondoa hofu kwa wazazi juu ya usalama wa watoto wao pindi mvua inaponyesha,”amesema.

Amesema serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan imepeleka huduma kila mahali ambapo huduma mojawapio ni mawasiliano ya barabara hivyo yeye kama mbunge ni lazima asaidiane na serikali ili ufumbuzi upatikane.

“Hapa nahitaji nipate suluhisho la muda mfupi ,kwa hiyo mhandisi pamoja na mipango ya muda mrefu uliyoniambia mimi nipo tayari twende pale tukapige hesabu tujue kama mimi naweza nikatafuta saruji,nondo na wananchi wakaleta mawe,kokoto na mchanga angalau tupitishe hata kalavati la midomo miwili chini juu watu wapiti,mimi nipo tayari kusaidia hilo,”amesisitiza.

“Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Tawi na Mwenyekiti wa kitongoji nendeni mkawaambie wananchi mimi nipo tayari hivyo nianze kuona mmesogeza mawe ,nianze kuona mnasogeza mchanga kabla mvua haijaja ili ikija hata kama mawe mengi yakibaki sio tatizo,nyie onyesheni nia kama ipo,”ameongeza.

Kwa upande wake Mhandisi Mimbi amesema wameangalia eneo hilo wameona ardhi yake ni nzuri ina asili ya mwamba hivyo inafaa kujengwa kivuko cha muda.

“Sasa kuna mahesabu huwa tunafanya lakini mahesabu tuliyofanya mwaka jana hayawezi kuwa sawa na mwaka huu hivyo ni lazima tukae tuweke hesabu sawa na hilo tutalifanya,”amesema.

Nae Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Tawi la Ikughaa Japhet Kiemi amesema changamoto wanayopata watoto wakati wa mvua ni kubwa .

“Hapa mvua ikinyesha inaweza hata wiki ikapita watoto hawajaenda shule na hivyo kupelekea watoto kutosoma sawa sawa hivyo hili daraja likijengwa litakuwa na faida sana kwetu,tunakushukuru Mbunge wetu kwa moyo wako wak uendelea kuona shida zetu na kuzitatua,”amesema.

About the author

Alex Sonna