Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

meritking

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

meritbet

grandpashabet

grandpashabet

betsat

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

jojobet güncel giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

Featured Kitaifa

WAZIRI JAFO AAGIZA KAMPUNI ZA MADINI KUZINGATIA UTUNZAJI MAZINGIRA,AZITAKA ZIJIFUNZE KWA GGML

Written by Alex Sonna

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Selemani Jafo (kulia) akipokea zawadi kutoka kwa Meneja Mwandamizi anayesimamia mahusiano ya jamiii kutoka GGML, Gilbert Mworia baada ya kutembelea banda la kampuni hiyo katika maonesho ya sita ya teknolojia ya madinia Geita.

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Selemani Jafo (kushoto) akimsikiliza Meneja Mwandamizi anyesimamia mahusiano ya jamii kutoka GGML, Gilbert Mworia kampuni hiyo katika maonesho ya sita ya teknolojia ya madinia Geita alipotembea banda la kampuni hiyo katika maonesho ya sita ya teknolojia ya madinia Geita.

NA MWANDISHI WETU

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Selemani Jafo ameziagiza kampuni zote nchini zinazojihusisha na uchimbajin wa madini kuzingatia taratibu na sheria zinazohusiana na mazingira ili kuisaidia Tanzania na dunia kukabiliana na janga la mabadiliko ya tabia nchi.

Ameziagiza kampuni hizo kwenda kujifunza namna Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) inavyotekeleza sera ya utunzaji wa mazingira kwa kuwa ndio kampuni mfano inayochimba madini na kuzingatia sheria hiyo ya utunzaji mazingira.

Jafo ametoa agizo hilo leo wakati akizungumza na waandishi wa habari baada ya kupanda miti na kutembelea mabanda ya maonesho ya sita ya teknolojia ya madini yanayoendelea katika uwanja wa Bombambili-EPZ mjini Geita.

Amesema katika nafasi yake ya uwazi katika maeneo ambayo anayafuatilia kwa umakini ili kulinda mazingira ni shughuli zinazofanywa na kampuni za madini hasa ikizingatiwa uzalishaji wa dhahabu husababisha pia uwepo wa kemikali hatari kwa mazingira.

“Lakini katika kampuni ambayo inajitahidi kuhifadhi mazingira ni GGML kwa hiyo napenda kuwatia moyo kwamba muendelee na ari hiyohiyo kuhakikisha mazingira yanatunzwa.

“Kwa sababu endapo tutakuza uchumi kupitia madini lakini tusipotunza mazingira tutapa madhara makubwa… kumbukeni mabadiliko ya tabia nchi ni janga duniani. Hakuna taifa ambalo lipo salama kutokana na mabadiliko ya tabia nchi, kiwango cha joto kinaongezeka kila kukicha,” amesema Jafo na kuongeza;

“Tuendelee kukuza uchumi lakini tulinde mazingira. GGMLl mmendelea kuwa wadau wakubwa na sisi serikali tunahitaji wadau kama ninyi ili kushirikiana kuhakikisha nchi inasonga mbele,” amesema.

Awali akitoa salamu za mkuu wa mkoa wa Geita, Martin Shigela, Mkuu wa wilaya ya Nyang’wale, Grace Kingalame amesema kwa mwaka huu mkoa huo umepanga kupanda miti 1500.

Amesema tangu kampeni ya upandaji miti ianze, mkoa huo umekuwa kinara katika hilo na kufanikisha kupanda miti zaidi ya milioni moja.

Kwa upande wake Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema atasimamia sekta hiyo kuhakikisha shughuli zote za uchaimbaji zinaendana sera ya utunzaji ji wa mazingira.

Aidha, Meneja mazingira wa GGML, Mhando Yusuph amesema mgodi huo umeweka sera ya utunzaji wa mazingira ambayo inagusa maeneo makubwa matatu.

Ametaja maeneo hayo ambayo ni kuzuia uchafuzi wa mazingira, kufuata sheria zinazohusu mazingira na kufanya maboresho endelevu katika suala la mazingira.

“Kwa hiyo kila kitu kinachofanyika ndani ya mgodi kinazingatia utunzaji wa mazingira. Tunazingatia usimamizi wa mazingira ndani ya mgodi kwa shughuli zote za uchimbaji na kuhakikisha hatuchafui vyanzo vya maji kama mito na mabwawa yaliyo ndani ya mgodi.

“Pia katika kuhakikisha sera hii inazingatiwa, huwa tunafanya upimaji wa maji yaliyopo ndani ya mgodi. Lakini piwa kwa kuwa uchimbaji unahusisha kuondoa rasilimali za miti kunapotokea eneo halitumiki tena huwa tunapanda miti,” amesema Yusuph.

About the author

Alex Sonna