marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

betbey

imajbet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

padişahbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

romabet

marsbahis

royalbet

artemisbet

kavbet

parmabet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

markajbet güncel giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

kıbrıs escort

taksimbet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

meritking

vdcasino

Featured Kitaifa

NSSF INAVYOWEKA ALAMA YA MAFANIKIO MAONESHO YA MADINI

Written by Alex Sonna
*Mkurugenzi Mkuu amueleza Naibu Waziri Mkuu jinsi wanavyowafikia wachimbaji wadogo
 
*Mkoa wa Geita pekee walikusanya bilioni 56 kwa mwaka fedha ulioishia Juni 2023
 
 
Na MWANDISHI WETU, GEITA
 
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Masha Mshomba, amemueleza Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko kuwa NSSF inashiriki Maonesho ya Sita ya Kimataifa ya Teknolojia ya Madini kwa sababu ndio Mfuko pekee wenye jukumu la kuandikisha wanachama kutoka sekta binafsi na sekta isiyo rasmi wakiwemo wachimbaji wadogo wa madini ili waweze kujiunga na kujiwekea akiba kwa ajili ya maisha yao ya sasa na baadaye.
 
Mshomba amesema hayo tarehe 23 Septemba, 2023 alipokuwa akitoa maelezo kwa Naibu Waziri Mkuu alipotembelea banda la NSSF katika maonesho hayo yenye kauli mbiu isemayo ‘Matumizi ya Teknolojia Sahihi katika Kuinua Wachimbaji Wadogo Kiuchumi na Kuhifadhi Mazingira’ yanayoendelea katika viwanja vya EPZA, Bombambili Mkoani Geita.
 
Amesema tokea maonesho hayo yalipoanza mwaka 2018, NSSF imekuwa na mafanikio makubwa kwani ushiriki wake umechangia ukuaji wa Mfuko ambapo kwa mwaka wa fedha ulioishia Juni 2023, walikusanya michango ya takribani shilingi bilioni 56.
 
“Wakati Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alipoingia madarakani, hapa Mkoani Geita pekee NSSF ilikuwa inakusanya michango ya shilingi bilioni 29 ambayo ni mara mbili katika kipindi hiki cha miaka miwili na nusu ya uongozi wa Mheshimiwa Rais, kwa hiyo kwetu sisi ni mafanikio makubwa sana na tunaamini tutaendelea kufanya vizuri zaidi,” ameeleza Mshomba.
 
Aidha, amesema mafanikio ya NSSF kwa ujumla ni mazuri ambapo katika mwaka wa fedha ulioishia Juni 2023, thamani ya michango iliyokusanywa ilikuwa ni ya shilingi trilioni 1.66 na katika mwaka wa fedha ulioishia Juni 2022, thamani ya michango iliyokusanywa ilikuwa ni shilingi trilioni 1.48.
 
Mshomba amesema hilo ni ongezeko kubwa na kwamba thamani ya NSSF imeendelea kukua kwa kasi ambapo kwa mujibu wa hesabu zilizokaguliwa mwezi Juni 2022, thamani ya Mfuko ilikuwa trilioni 6.08 na kuwa mpaka kufikia mwezi Juni 2023 thamani ya Mfuko imefikia trilioni 7.6 kwa hesabu ambazo zinaendelea kukaguliwa.
 
“Huo ni ukuaji mkubwa mno hasa ukizingatia kabla ya hapo na baada ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuingia madarakani thamani ya Mfuko ilikuwa ni trilioni 4.8 hivyo mafanikio hayo ni kazi kubwa anayofanya Mheshimiwa Rais ya kuvutia wawekezaji,” amesema Mshomba.
 
Amesisitiza kuwa, maonesho hayo ya madini tokea yalipoanza yamekuwa chachu ya ongezeko hilo la wanachama na michango, ambapo ameushukuru uongozi wa Mkoa wa Geita chini ya Mkuu wa Mkoa huo, Mhe. Martine Shigela kwa ushirikiano mkubwa wanaowapatia.
 
Kuhusu matumizi ya TEHAMA, Mshomba amesema NSSF imeweka kipaumbele kikubwa katika matumizi ya TEHAMA ili kurahisisha huduma za wanachama wao jambo ambalo linaendana na kauli mbiu ya maonesho ya madini.
 
Mshomba amesema NSSF inaendelea kusajili wanachama wapya kutoka sekta binafsi na sekta isiyo rasmi hususan wachimbaji wadogo ambao ndio lengo la Mfuko kushiriki katika maonesho hayo ya madini.

About the author

Alex Sonna