Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

meritking

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

meritbet

grandpashabet

grandpashabet

betsat

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

jojobet güncel giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

Featured Kitaifa

VIFAA VYA MIL 9 VYA MAABARA VYAKABIDHIWA DODOMA

Written by Alex Sonna

 

Na. Dennis Gondwe, KIKUYU KUSINI

ELIMU ndiyo mkombozi kwa vijana wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa lengo la kuwasaidia kutoa mchango katika maisha yao na maendeleo ya taifa la Tanzania.

Kauli hiyo ilitolewa na Mbunge wa Jimbo la Dodoma mjini, Anthony Mavunde alipokuwa akiongea na wanafunzi na walimu wa shule za sekondari katika hafla ya kugawa vifaa vya maabara kwa ajili ya masomo ya sayansi tukio lililofanyika Shule ya Sekondari Wella iliyopo Kata ya Kikuyu Kusini.

Mavunde ambae pia ni Waziri wa Madini alisema “elimu ninaamini kwamba ndiyo mkombozi wa kweli kwa vijana wetu na elimu hii itawasaidia kwenda kuwafanya wakatoe mchango wao na kulitumikia taifa la Tanzania na wao pia katika maisha yao. Baada ya kubaini tunachangamoto katika maabara zetu nyingi za vifaa, nikasema nianze na awamu ya kwanza na hii haitakuwa mwisho nitajitahidi kuzifikia maabara nyingi zaidi. Leo nimeanza na shule tatu na mzigo wa kwanza huu umenigharimu shilingi 9,000,000 na nitaendelea kufanya hivi sababu dhamira yangu ni kuhakikisha wanafunzi wetu wanafanya vizuri”.

Akielezea mikakati yake kwa Halmashauri ya Jiji la Dodoma alisema ni kukuza elimu. “Mkakati wa kwanza ambao ninao kwenye kukuza elimu katika Mkoa wa Dodoma na hasa Jimbo la Dodoma mjini. Nimesikia changamoto ya walimu wa sayansi hii ni changamoto kubwa na mimi suluisho ninalo na nimeshaanza kulifanyia kazi. Tuna shule za sekondari 43, lakini Dodoma umepita Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano ambao una uwezo wa kutuunganisha kupitia teknolojia ya kisasa mwalimu mmoja wa sayansi mfano wa Shule ya Sekondari Msalato anaweza akawafundisha wanafunzi wote wa Dodoma kwa wakati huohuo. Tukipata seti 43 za televisheni zikafungwa shule zote, mimi kwa nafasi yangu nitakwenda kuongea na TCRA na watu wa Mfuko wa Mawasiliano na kampuni za simu niwaombe watuunganishie huu mkongo” alisema Mavunde.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, John Kayombo alisema kuwa halmashauri yake imepeleka shilingi 20,000,000 kukamilisha ujenzi wa maabara ya shule ya Sekondari Wella. “Mheshimiwa mbunge, hapa tayari unaona ujenzi unaendelea kwenye maabara yetu kwa maelekezo ya Mheshimiwa Rais, sisi hatuwezi kukuangusha kwa sababu tunafanya kazi kwa kushirikiana tumeshaleta shilingi 20,000,000 hapa kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa maabara. Mheshimiwa waziri kwa maelekezo yako ya juzi ulituelekeza tutafute fedha na tumeshapata shilingi 8,000,000 kwa ajili ya kukamilisha matundu saba ya vyoo. Miongoni mwa changamoto ambazo zimezungumzwa na mkuu wa shule nimezipokea na nitakaa na timu yangu ya menejimenti na madiwani tuone namna bora ya kuzitatua” alisema Kayombo.

Aidha, alishukuru kwa vifaa vya maabara vilivyokabidhiwa na mbunge. “Mheshimiwa waziri, vifaa hivi ulivyotukabidhi leo ninakushukuru sana, ni miongoni mwa wabunge wachache wanaoyapenda majimbo yao. Mimi hii ni halmashauri yangu ya nne kama mkurugenzi, lakini nimekuwa nikikufuatilia sana kote nilipokuwa unapambana sana kuhakikisha jimbo lako linaenda vizuri, siyo kwenye elimu tu bali kwenye maeneo yote. Nikuombe moyo huu uendelee na sisi tupo bega kwa bega na wewe tutakupa ushirikiano wa kutosha na hakuna atakayekuangusha” alisema Kayombo.

Awali akiongelea mafanikio ya shule hiyo Mkuu wa Shule ya Sekondari Wella, Mwl. Adelifi Kaizirege alisema kuwa shule yake imefanikiwa kuongeza ufaulu wa wanafunzi mwaka hadi mwaka. “Sambamba na hilo shule imefanikiwa kuongeza idadi ya wanafunzi wanaojiunga kidato cha tano na vyuo vya kati. Kufanya ukarabati wa vyumba vitatu vya madarasa kwa kuweka sakafu chini kupitia michango ya wazazi na wadau wa shule na kuongeza vyumba vitatu vya madarasa” alisema Kaizirege.

Kuhusu malezi na nidhamu ya wanafunzi alisema kuwa imeimarika sana. “Nidhamu ya wanafunzi imeimarika kutokana na juhudi ambazo uongozi wa shule kwa kushirikiana na walimu unazitumia na kuzisimamia. Wanafunzi wengi wanajitahidi kuwahi kufika shuleni kutokana na usimamizi wa walimu. Uongozi wa shule unawapongeza wazazi wote wanaotoa ushirikiano chanya katika kutatua changamoto za kinidhamu zinazowakabili watoto wao hasa utoro, kunyoa mitindo, kutoboa pua, kuvaa sketi fupi, kuvaa suruali zinazobana, kujihusisha kwenye mahusiano ya kimapenzi na ugomvi” alisema Kaizirege.

Jumla ya shule tatu za sekondari Wella, Makutopora na Mtemi Chiloloma zilipokea vifaa vya maabara za masomo ya sanyansi vyenye thamani ya shilingi 9,000,000.

About the author

Alex Sonna