Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

mavibet

setrabet

betebet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10

dinamobet giriş

casibom

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

ultrabet

fixbet

fixbet

casibom

fixbet

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

türk porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

pokerklas

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet güncel giriş

girne escort

magusa escort

ramadabet

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Featured Kitaifa

WAZIRI TABIA AFUNGUA MKUTANO MKUU BARAZA LA VIJANA

Written by Alex Sonna

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo  Mhe, Tabia Maulid Mwita akifungua Mkutano  Mkuu  wa Baraza la Vijana Zanzibar hafla iliofanyika katika Ukumbi wa Tabia Hall Bweleo ,14/09/2023.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Khamis Abdalla  akiwashauri vijana kujiunga katika mafunzo ya ujasiriamali ili kuweza kujiajiri hafla iliofanyika katika Ukumbi wa Tabia Hall Bweleo ,14/09/2023.

Baadhi ya Watendaji wa Wizara ya Habari Vijana, Utamaduni na Michezo  pamoja na Baraza la Vijana wakisikiliza kwa makini maelezo yanayotolewa na Waziri wa Wizara hiyo  Mhe, Tabia Maulid Mwita(ambae hayupo pichani)  katika ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Baraza la Vijana uliofanyika  Ukumbi wa Tabia Hall Bweleo ,14/09/2023.

Na Rahma Khamisi Maelezo 

Waziri wa Habari, Vijana ,Utamaduni na Michezo Mhe.  Tabia Maulid Mwita amewataka vijana kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali ili kuleta maendeleo nchini.

Akifungua Mkutano Mkuu wa Kwanza wa Baraza la Vijana Zanzibar  katika Ukumbi wa Tabia Hall Bweleo amesema ni vyema vijana  kujishughulisha na kazi za ujasiriamali wa aina mbalimbali ili kufikia malengo ya kujiletea maendeleo.

Aidha amesema iwapo vijana watajituma na kufanya kazi kwa  bidii na uzalendo watasaidia kuimarisha maendeleo yaliyopo katika jamii.

 Waziri Tabia amewaasa vijana kuacha kujiingiza katika vitendo viovu ikiwemo matumizi ya madawa ya kulevya na badala yake kujishughulisha na kazi za mikono kwa kujiongezea kipato.

“Sisi vijana tunaangaliwa na viongozi wetu hivyo ni vyema tukasimamia yale tunayopewa ili tuweze kutatua changamoto zinazotukabili,” alisisitiza Waziri.

Ameongeza kuwa kuna miradi mbalimbali ya kimaendeleo ambayo  yanayowahusu  vijana hivyo iko haja ya baraza hilo kubuni miradi hiyo ili kupata fursa za kujipatia mikopo ya kusaidia kuwawezesha vijana hao .

Waziri amefahamisha  kuwa baraza la vijana ni vyema likaandaa na kupanga mikakati maalumu na kufanya maonesho makubwa yatakayotangazwa na kuonyesha kazi zao ili kuleta tija. 

“Tutahakikisha kuwa tufanya kila linalowezekana kuhakikisha  Baraza linafanya vizuri ili kusonga  mbele ,”alifahamisha.

Aidha amelipongeza  baraza la vijana kwa kufanya Mkutano huo kwani  ni  jambo jema ambalo litasaidia kuleta ushirikiano wa pamoja katika  kujadili  na kudhibitisha taarifa za Vijana na badae kutoa maazimio.

Nae Katibu Mtendaji Baraza la Vijana Salum  Issa Ameir amesema katika mkutano huo kuna wajumbe 75 ambapo 71 kati yao  ndio watakaopiga kura.

Amesema lengo la kuwa na vijana ni kuwasadia katika changamoto zao na kuzigeuza kuwa ni fursa kwa kuwaunganisha pamoja kupitia makundi mbalimbali.

Amefahamisha kuwa katika mkutano huo watafanya kazi mbili ikiwemo kudhibitisha  na kujadili mambo mbalimbali yanayohusu vijana.

Kwa upande wake Katibu Mkuu Wizara ya Elimu Khamisi  Abdalla  amesema Wizara imejipanga katika kuwaendeleza Vijana ili waweze kujiajiri wenyewe kupitia miradi mbalimbali waliyoianzisha.

Amesema Serikali itajenga Vyuo vitano vya amali katika kila Mkoa kwa ajili ya kuwawezesha vijana kwa kuwapatia elimu na kuwajengea uwezo.

Mwenyekiti Baraza  la Vijana ameomba wizara  kupatiwa posho kwa wenyeviti wa Wilaya wakati utaporuhusu angalau kujisaidia

About the author

Alex Sonna