Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

dedektör

vdcasino giriş

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz giriş

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

jojobet

matbet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

jojobet giriş

betebet

gonebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

doeda

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

casibom

casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10 giriş

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

jojobet

ultrabet

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

starzbet

jojobet

Featured Kitaifa

NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI AITAKA TRC KUONGEZA KASI KATIKA KUSIMAMIA MIRADI INAYOENDELEA ILI IKAMILIKE KWA WAKATI NA KWA THAMANI HALISI YA FEDHA

Written by Alex Sonna

 

Ziara ya Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe. David Kihenzile ya kutembelea Uongozi wa Shirika la Reli Tanzania(TRC) Kwa ajili ya kujitambulisha, kujifunza na kujionea miradi inayoendelea chini ya Usimamizi wa Shirika Hilo na kukagua Stesheni ya treni ya kisasa ya SGR ya Tanzanite Jijini Dar es salaam

 

Na Mwandishi wetu Dar es Salaama 
 
Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe David Kihenzile ameutaka uongozi wa Shirika la Reli Tanzania(TRC) kuongeza kasi katika kusimamia miradi inayoendelea ili ikamilike kwa wakati na kwa thamani halisi ya fedha.
 
 
Mhe kahenzile ameyasema hayo wakati wa ziara ya kujitambulisha, kujifunza , kuongea na Menejimenti ya Shirika na kujionea miradi inayotekelezwa na kusimamiwa na shirika la reli Tanzania kwenye ofisi za shirika hilo zilizopo stesheni Jijini Dar es salaam tarehe 13 Septemba,2023.
 
 
“Naupongeza uongozi wa Shirika kwa usimamizi makini wa miradi inayoendelea ya uboreshwaji wa reli ya kati na ujenzi wa Reli ya kisasa(SGR) ,ununuzi wa mabehewa na vichwa vya treni, Miradi hii kwa sasa ni jicho la nchi yetu hivyo natoa rai kwenu muongeze kasi ya usimamizi ili ikamilike kwa wakati na thamani halisi ya fedha kwani tunaitegemea sana ili kuinua uchumi wa wananchi, sekta zingine, kuongeza mapato ya shirika na hatimaye muweze kujitegemea na kujiendesha”amesisitiza Mhe Kihenzile

 

 

 
Mhe Kihenzile amemshukuru Rais wa awamu ya sita Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kumuamini na kumteua kwa nafasi ya Naibu Waziri Uchukuzi ili amsaidie Waziri Prof Makame Mbarawa na kuahidi ushirikiano wa karibu wa Wizara ya Uchukuzi na Taasisi zake zote ili kuongeza kasi ya utendaji na hatimaye kuongeza tija kwa Taifa.
 
 
Akitoa salamu za Shirika Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania Bi. Amina Lumuli amesema shirika hilo liliundwa mwaka 2017 baada ya kuvunjika kwa RAHCO na TRL na kurithi majukumu yaliyokuwa yakitekelezwa na mashirika hayo ikiwemo kuanzisha,kusimamia,kuendeleza miundombinu ya Reli, kutoa huduma,kufanya ukarabati,kuingia mikataba na kuimarisha vitendea kazi kulingana na sheria ya reli namba kumi ya Mwaka 2017.

 

 

 
Bi Amina amesema mtandao wa reli Nchini umegawanyika katika kanda tatu ikiwemo reli ya kati(DSM-KGM), reli ya kaskazini(TAN-MOS-ARU), na reli ya kusini(Mtwara-Mbamba bay), huku kukiwa na aina mbili za reli ya kawaida(MGR) yenye urefu wa km 2,707 na reli mpya ya kisasa(SGR) ambapo km 4,752 zinatarajiwa kujengwa.
 
 
Kuhusu Miradi inayoendelea Bi Amina amesema Shirika lilipata mkopo wa Dola za Kimarekani Milioni 300 kutoka Benki ya Dunia mwezi machi,2014 kwa ajili ya kuendeleza na kuboresha mradi wa usafirishaji wa reli kutoka tani 135 km ekseli hadi tani 18.5, uboreshaji madaraja na ununuzi wa mabehewa 44 ya mizigo ambavyo vimeshakamilika
 

 

 

Kwa upande wa Reli ya Mwendokasi(SGR) Bi Amina amesema ujenzi wa reli kutoka DSM hadi Mwanza wenye jumla ya km 1,596 unaohusisha km 1,219 njia kuu na km 377 za mapishano umefikia katika hatua mbalimbali za utekelezwaji zilizogawanywa kwa vipande vitano kwa awamu ya kwanza ambavyo ni Dsm-Moro(km300) asilimia 98.52, Moro-Makutupora(km422) asilimia 94.99, Makutupora-Tabora(km368) asilimia 10.92, Tabora-Isaka(km 165) asilimia 4.63 na Isaka-Mwanza (km 341) asilimia 37.22.
 
 
“Ujenzi wa reli ya kisasa unaendelea vizuri awamu ya kwanza na kwa awamu ya pili ya kipande cha Tabora-kigoma(km 506) usanifu unaendelea ambapo mpaka sasa jumla ya Dola za kimarekani Bil 3.75 sawa na Zaidi ya shilingi tril 23 zimeshatumika na tayari jumla ya vichwa vya treni vya umeme 17 na seti 10 za EMU ukarabati unaendelea Nchini korea,mabehewa ya mizigo 1,430 yameagiwza na tayari mabehewa ya abiria 59 yalishawasili” amesisitiza Bi Amina
 
 
Mnamo tarehe 30 Agosti,2023 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan alifanya mabadiliko madogo ya baraza la mawazili na makatibu wakuu yaliyopelekea kuanzishwa kwa Wizara mpya ya Uchukuzi na kuteuliwa Prof Makame mbarawa kuwa Waziri, Mhe David Kihenzile Naibu Waziri, Prof Godius Kahyarara katibu mkuu na Dkt Ally Possi Naibu katibu Mkuu.

 

 

About the author

Alex Sonna