Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

betsmove, betsmove giriş

nakitbahis, nakitbahis giriş

perabet, perabet giriş

matbet, matbet giriş

belugabahis

restbet

holiganbet

meritking

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

meritking

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

casibom, casibom giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

flower disease

jojobet güncel giriş

jojobet güncel

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

hititbet giriş

hititbet

tümbet

hititbet giriş

ultrabet

madridbet

grandpashabet giriş

casibom

pokerklas

jojobet giriş

marsbahis

marsbahis

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

royalbet giriş

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

hititbet

betpark giriş

trendbet

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

Cratosroyalbet

galabet

İkimisli

onwin

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

goldenbahis

artemisbet

imajbet

artemisbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

onlyfans leaks

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

cratosroyalbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

artemisbet giriş

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet

holiganbet

jojobet

meritking

trust score weak 3

jojobet

ikimisli giriş

tipobet

mislibet

kavbet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet

pokerklas

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

mobilbahis

casibom giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

betpas

1xbet

holiganbet giriş

restbet

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

dizipal

casibom

interbahis, interbahis giriş

truvabet, truvabet giriş

pokerklas, pokerklas giriş

bets10

superbetin

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

royalbet giriş

cratosroyalbet

betpark

bets10 güncel giriş adresi

madridbet

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

interbahis

pokerklas, pokerklas giriş

grandpashabet

millibahis

piabet

palacebet

dental implants turkey

robinbet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

casibom giriş

casibom giriş

holiganbet

holiganbet

turkey dental implants

dental implants turkey

betturkey

grandpashabet

holiganbet

holiganbet

1win

radissonbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino giriş

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

pokerklas

pokerklas

meritking

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

marsbahis

jojobet giriş

pokerklas

holiganbet

marsbahis

holiganbet

betgit

Hacklink panel

betturkey

jojobet

grandpashabet

madridbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

marsbahis

jojobet

meritking

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

tipobet

meritking

meritking giriş

truvabet

betgaranti

betoffice

perabet

Bet365 Giriş

ilbet

ilbet giriş

turkey dental implants

roketbet 2026

vdcasino

casibom

deneme bonusu

safirbet

pokerklas

galabet

bets10

tipobet

bets10

casibom

tipobet

runtobet

runtobet giriş

Featured Kitaifa

DKT. MPANGO AWATAKA VIONGOZI WA DINI KUTUMIA TEKNOLOJIA YA HABARI NA MAWASILIANO KUKEMEA MAFUNDISHO POTOFU

Written by Alex Sonna

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Balozi wa Vatican nchini Tanzania Askofu Mkuu Angelo Accattino wakati alipowasili katika Viwanja vya Kichangani Kanisa Kuu Jimbo Katoliki Iringa kushiriki Jubilei ya Miaka 125 ya Uinjilishaji Jimbo la Iringa na Miaka 50 ya Upadre ya Mhashamu Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa. (Tarehe 10 Septemba 2023)  

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango na Mkewe Mama Mbonimpaye Mpango (Kulia) wakishiriki Ibada ya Jubilei ya Miaka 125 ya Uinjilishaji Jimbo la Iringa na Miaka 50 ya Upadre ya Mhashamu Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa iliofanyika katika Viwanja vya Kichangani Kanisa Kuu Jimbo Katoliki Iringa. (Tarehe 10 Septemba 2023)
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akihutubia wakati wa Jubilei ya Miaka 125 ya Uinjilishaji Jimbo la Iringa na Miaka 50 ya Upadre ya Mhashamu Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa iliofanyika katika Viwanja vya Kichangani Kanisa Kuu Jimbo Katoliki Iringa. (Tarehe 10 Septemba 2023)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akimpongeza Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Iringa Mhashamu Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa kwa kutimiza Miaka 50 ya Upadre mara baada ya kumalizika kwa Ibada ya Jubilei ya Miaka 125 ya Uinjilishaji Jimbo la Iringa na Miaka 50 ya Upadre ya Mhashamu Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa iliofanyika katika Viwanja vya Kichangani Kanisa Kuu Jimbo Katoliki Iringa. (Tarehe 10 Septemba 2023)
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa katika picha ya pamoja na Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Iringa Mhashamu Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa mara baada ya kumalizika kwa Ibada ya Jubilei ya Miaka 125 ya Uinjilishaji Jimbo la Iringa na Miaka 50 ya Upadre ya Mhashamu Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa iliofanyika katika Viwanja vya Kichangani Kanisa Kuu Jimbo Katoliki Iringa. (Tarehe 10 Septemba 2023).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa katika picha ya pamoja na Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Iringa Mhashamu Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa(watatu kutoka kushoto waliokaa), Mke wa Makamu wa Rais Mama Mbonimpaye Mpango (wapili kutoka kulia), Mkuu wa Mkoa wa Iringa Halima Dendegu (wa kwanza kutoka kulia) pamoja na Maaskofu mbalimbali mara baada ya kumalizika kwa Ibada ya Jubilei ya Miaka 125 ya Uinjilishaji Jimbo la Iringa na Miaka 50 ya Upadre ya Mhashamu Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa iliofanyika katika Viwanja vya Kichangani Kanisa Kuu Jimbo Katoliki Iringa. (Tarehe 10 Septemba 2023).
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiagana na Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Iringa Mhashamu Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa mara baada ya kumalizika kwa Ibada ya Jubilei ya Miaka 125 ya Uinjilishaji Jimbo la Iringa na Miaka 50 ya Upadre ya Mhashamu Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa iliofanyika katika Viwanja vya Kichangani Kanisa Kuu Jimbo Katoliki Iringa. (Tarehe 10 Septemba 2023).   

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa viongozi wa dini hapa nchini kutumia fursa ya teknolojia ya habari na mawasiliano kukemea mafundisho potofu na kufanya uinjilishaji wa neno la Mungu la kweli.

Makamu wa Rais ametoa wito huo leo tarehe 10 Septemba 2023 alipomwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Ibada ya Jubilei ya Miaka 125 ya Uinjilishaji Jimbo la Iringa na Miaka 50 ya Upadre ya Mhashamu Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa iliofanyika katika Viwanja vya Kichangani Kanisa Kuu Jimbo Katoliki Iringa. Amesema ni muhimu kuendelea kuwahimiza waamini kufanya kazi kwa bidii huku wakimuomba Mungu abariki kazi za mikono yao na akili zao na kuwaepusha na baadhi ya viongozi wa dini ambao wamekuwa wakiwaelekeza waamini wao kuomba na kusubiri miujiza ili wapate mali bila kufanya kazi stahiki.

Aidha Makamu wa Rais amewasihi viongozi wa dini kukemea baadhi ya wahubiri ambao wamekuwa kwa uwazi na bila kificho wakishabikia matendo maovu kama ya ushoga na usagaji. Amesema ni vema Kanisa na madhehebu mengine kutambua jukumu kubwa la kuendelea kufundisha maadili mema katika jamii kwa nguvu na maarifa zaidi ili kuwa na Taifa salama sasa na baadae. Makamu wa Rais amesema kutokana na mmomonyoko wa maadili matendo maovu yameongezeka ikiwemo unyanyasaji wa kijinsia na ukatili dhidi ya watoto na wanawake, ongezeko la familia za mzazi mmoja, ongezeko la watoto waliozaliwa nje ya ndoa, migogoro ya ndoa, ongezeko la talaka, migogoro ya mirathi, vitendo vya ushoga na ulawiti.

Makamu wa Rais ametoa wito kwa kanisa kuendelea kuwasaidia wahitaji katika jamii hususan watoto yatima, watu wenye ulemavu, masikini, wajane, wafungwa na wenye shida mbalimbali. Aidha ametoa rai kwa waamini wa dini zote kujenga tabia ya kusaidia watu wenye uhitaji katika jamii na kuepuka kujilimbikizia mali isivyo halali.

Halikadhalika Makamu wa Rais amesema Serikali inatambua na kuthamini mchango mkubwa wa Kanisa Katoliki katika kumwinua na kumstawisha mwanadamu kiroho na kimwili. Ameongeza kwamba Katika miaka 125 ya uinjilishaji, Kanisa Katoliki katika Jimbo la Iringa limekuwa likishughulikia ustawi wa jamii kama vile kuimarisha upatikanaji wa huduma mbalimbali za jamii hususan afya na elimu. Amesema Serikali itaendelea kushirikiana na madhehebu yote ya dini nchini katika kuwaletea watanzania maendeleo na kudumisha haki na amani katika Taifa.

Vilevile Makamu wa Rais ametoa rai kwa viongozi wa dini na waamini wa dini zote kuzingatia mafundisho ya imani hususani kuhusu wajibu wa kuitunza vema dunia tuliyokabidhiwa na Mwenyezi Mungu. Amesema watanzania wote wanapaswa kutambua kuwa jitihada za Serikali katika kukabiliana na athari za uharibifu wa mazingira na mabadiliko ya tabianchi hazitafanikiwa kama wananchi wote hawatabadili tabia na kuchukua hatua za makusudi kulinda na kuhifadhi mazingira.

Kwa upande wake Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Iringa Mhashamu Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa amewashukuru waamini, viongozi pamoja na wote naoshirikiana nao katika uongozi wake wa kanisa mkoani Iringa.

About the author

Alex Sonna