Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

aresbet

betcool

avrupabet

vipslot

betcool

realbahis

betmarino

casinowon

Hacklink panel

holiganbet

jojobet

Google

holiganbet

marsbahis

luxbet

betmarino giriş

kareasbet

gobahis giriş

betcool giriş

betnis giriş

elitbahis giriş

luxbet

primebahis

betturkey

betturkey giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

coinbar

grandpashabet

grandpashabet

betpark giriş

betpark

betpark güncel giriş

porno izle

uyuşturucu satın al

runtobet

runtobet giriş

1xbet

marsbahis, marsbahis giriş

gameofbet

jojobet

hepbet giriş

betmarino

parmabet

avrupabet giriş

hepbet

hazbet giriş

gobahis

betnis

parmabet

realbahis

luxbet giriş

hazbet

aresbet giriş

betlivo

betface

betlivo giriş

betra giriş

gallerbahis

marsbahis güncel giriş 2026

parmabet giriş

kareasbet

casival giriş

celtabet

celtabet giriş

vipslot giriş

lordcasino

realbahis giriş

betface giriş

millibahis

lordcasino giriş

aresbet

vipslot

elitbahis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

pashagamingg

pasacasino

kingroyal

https://sjconsultors.com/

artemisbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

mariobet

Madridbet

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

meritbet giriş

betasus

meritbet

jojobet güncel giriş

jojobet

bets10 sorunsuz giriş

betsat güncel giriş

jojobet

mercurecasino

sweet bonanza

mavibet

coinbar giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

sapanca bungalov kiralama

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

celtabet

millibahis

lordcasino

casival

mavibet giriş

betlike giriş

coinbar

coinbar

artemisbet

mavibet

artemisbet giriş

mavibet

artemisbet giriş

betlike

mavibet giriş

coinbar giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

meritking

betsat

matbet, matbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10

betsat

dinamobet

betpas

grandpashabet

casibom

grandpashabet

casibom

jojobet

jojobet

betpas

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

ikimisli

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

imajbet

holiganbet

İmajbet

Featured Kitaifa

DOLA BILIONI 4.7 ZA MRADI WA TANZANIA YA KIDIJITALI KUENDELEZA WATAALAMU WA TEHAMA 

Written by Alex Sonna

KATIBU Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknoljia ya Habari Bw.Mohammed Khamis Abdullah,akiwakabidhi vyeti vya ufadhili wa masomo ya muda mrefu nje ya nchi kupitia Mradi wa Tanzania ya Kidijitali awamu ya kwanza iliyofanyika leo Septemba 9,2023 jijini Dodoma.

Na Faraja Mpina, WHMTH, Dodoma.

Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kupitia mradi wa Tanzania ya Kidijitali imetenga kiasi cha dola za kimarekani bilioni 4.7 kwa ajili ya kuwezesha mafunzo ya muda mrefu na mfupi kwa wataalamu wa TEHAMA nchini.

Takwimu hiyo imetolewa leo Septemba 9 jijini Dodoma na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Bw. Mohammed Khamis Abdulla katika hafla ya kuwakabidhi vyeti vya ufadhili wa masomo ya muda mrefu nje ya nchi watumishi wa umma wapatao 20 kutoka katika Wizara, taasisi za umma na halmashauri za miji na wilaya.

Katibu Mkuu Abdulla amesema watumishi hao 20 wamepatikana baada ya kuchakata maombi 211 ya watumishi wa kada ya TEHAMA walioomba kupatiwa ufadhili wa masomo ya muda mrefu nje ya nchi. 

“Nitoe rai kwa kila aliyepata ufadhili huu, kutumia kikamilifu fursa hii kujifunza kwa bidii kwa lengo la kuongeza uelewa na maarifa ili mtakaporudi muweze kuleta mabadiliko chanya yatakayosaidia kuboresha utoaji wa huduma za Serikali”, amezungumza Abdulla.  

Amesema kuwa juhudi hizo zinazofanywa na Serikali zinapaswa kuwa chachu kwa sekta Binafsi kuungana na Serikali kuongeza vyanzo vya ufadhili na kufanya uwekezaji wa kukuza rasilimali ya wataalamu wa TEHAMA nchini.

Kwa upande wake Naibu Katibu Mkuu kutoka Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw. Xavier Daudi amesema kuwa watumishi hao wanakwenda kuongeza ujuzi na maarifa na watakaporejea ofisi hiyo itahakikisha wanatumika vizuri kitaifa na kimataifa.

Naye Bw. Gerald Mbwafu, Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Ulaya na Amerika kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa amewataka watumishi hao kuhakikisha wanatambulika katika balozi za Tanzania lakini pia kuwa wazalendo na kuiwakilisha nchi vizuri.

Awali Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya, Bi. Salome Kessy akitoa taarifa ya ufadhili huo amesema Mradi wa Tanzania ya kidijitali umepanga kutoa ufadhili wa mafunzo kwa watumishi 500 kati ya hao watumishi 50 watapatiwa mafunzo ya muda mrefu na watumishi 450 watapatiwa mafunzo ya muda mfupi katika maeneo ya teknolojia zinazoibukia.

 Aidha ameanisha watumishi 20 waliotunukiwa vyeti vya ufadhili kwa awamu ya kwanza ni kutoka Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari (2), Ofisi ya Rais Menejuimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora (1), Mamlaka ya Serikali Mtandao (2), OR-TAMISEMI (3), Wizara ya Fedha (2), NIDC (3), TTCL (3), NIDA (1), Kituo cha Uwekezaji Tanzania (2) na Chuo Kikuu Huria (Open University) (1).

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla akizungumza wakati wa hafla ya kuwakabidhi vyeti vya ufadhili wa masomo ya muda mrefu nje ya nchi kupitia Mradi wa Tanzania ya Kidijitali awamu ya kwanza iliyofanyika leo Septemba 9,2023 jijini Dodoma.

Naibu Katibu Mkuu kutoka Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw. Xavier Daudi akizungumza katika hafla ya kuwakabidhi vyeti vya ufadhili wa masomo ya muda mrefu nje ya nchi kupitia Mradi wa Tanzania ya Kidijitali awamu ya kwanza iliyofanyika leo Septemba 9,2023 jijini Dodoma.

Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya, Bi. Salome Kessy akitoa taarifa ya mradi wakati wa hafla ya kuwakabidhi vyeti vya ufadhili wa masomo ya muda mrefu nje ya nchi kupitia Mradi wa Tanzania ya Kidijitali awamu ya kwanza iliyofanyika leo Septemba 9,2023 jijini Dodoma.

 Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Ulaya na Amerika kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bw. Gerald Mbwafu,akitoa mada wakati wa hafla ya kuwakabidhi vyeti vya ufadhili wa masomo ya muda mrefu nje ya nchi kupitia Mradi wa Tanzania ya Kidijitali awamu ya kwanza iliyofanyika leo Septemba 9,2023 jijini Dodoma.

Sehemu ya washiriki wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla (hayupo pichani) akizungumza wakati wa hafla ya kuwakabidhi vyeti vya ufadhili wa masomo ya muda mrefu nje ya nchi kupitia Mradi wa Tanzania ya Kidijitali awamu ya kwanza iliyofanyika leo Septemba 9,2023 jijini Dodoma.

KATIBU Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknoljia ya Habari Bw.Mohammed Khamis Abdullah,akiwakabidhi vyeti vya ufadhili wa masomo ya muda mrefu nje ya nchi kupitia Mradi wa Tanzania ya Kidijitali awamu ya kwanza iliyofanyika leo Septemba 9,2023 jijini Dodoma.

KATIBU Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknoljia ya Habari Bw.Mohammed Khamis Abdullah,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kutoa vyeti vya ufadhili wa masomo ya muda mrefu nje ya nchi kupitia mradi  wa Tanzania ya Kidijitali hafla iliyofanyika leo Septemba 9,2023 jijini Dodoma.

Na.Alex Sonna-DODOMA

SERIKALI kupitia mradi wa Tanzania ya Kidijitali awamu ya kwanza 2023/24 umetoa ufadhili masomo ya muda mrefu na muda mfupi nje ya nchi kwa watumishi 500.

Hayo yamesemwa leo Septemba 9,2023 jijini Dodoma na Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknoljia ya Habari Bw.Mohammed Khamis Abdullah,wakati wa hafla ya kuwakabidhi vyeti vya ufadhili wa masomo ya muda mrefu nje ya nchi watumishi wa umma wapatao 20 kutoka katika Wizara, taasisi za umma na halmashauri za miji na wilaya.

Bw.Abdullah, amesema kuwa katika ufadhili huo watumishi 50 ndiyo watakaokwenda nje ya nchi kwa ajili ya masomo ya muda mrefu na wengine 450 ni masomo ya muda mfupi.

“Niwapongeze sana nyie ambao mmekuwa katika awamu hii ya kwanza ambao idadi yenu mpo 20 kati ya watu 211 waliomba nafasi za kushiriki mafunzo haya.

“Niwasihi huko mtakapo kwenda kitu cha kwanza ni kutanguliza uzalendo wa taifa lenu na mtakacho jifunza kule lazima mkilete nchini ili kuongeza tija katika maswala ya Teknolijia ya Habari na Mawasiliano”amesema Bw.Abdullah,

Aidha amesema kuwa  kupitia mradi wa Tanzania ya kidijitali serikali imepanga kujenga vyuo viwili vya TEHAMA katika mkoa wa Dodoma na Kigoma pamoja na vituo nane vya ubunifu.

“Lakini pia tunapanga kuwa na sera mpya ya TEHAMA na Ubunifu ili kuzikuza na kuzisimamia bunifu zote hivyo mkajifunze na munaweza kuwa hata wakufunzi katika vyuo vyetu vya TEHAMA ambavyo tumepanga kuvijenga”amesema

Kwa upande wake Naibu Katibu Mkuu kutoka Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw. Xavier Daudi amesema kuwa watumishi hao wanakwenda kuongeza ujuzi na maarifa na watakaporejea ofisi hiyo itahakikisha wanatumika vizuri kitaifa na kimataifa.

Naye Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Ulaya na Amerika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Bw. Gerald Mbwafu ,amewataka  watumishi hao walipata nafasi ya masomo nje ya nchi kuzingati sheria za nchi na vyuo wanavyokwenda kusoma.

Awali Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya, Bi. Salome Kessy ametoa  taarifa ya ufadhili huo amesema Mradi wa Tanzania ya kidijitali umepanga kutoa ufadhili wa mafunzo kwa watumishi 500 kati ya hao watumishi 50 watapatiwa mafunzo ya muda mrefu na watumishi 450 watapatiwa mafunzo ya muda mfupi katika maeneo ya teknolojia zinazoibukia.

About the author

Alex Sonna