Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

casibom güncel giriş

pokerklas

royalbet giriş

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

betpark giriş

betixir

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

grandpashabet giriş

deneme bonusu

İkimisli

onwin

grandpashabet

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

casibom

kavbet

mavibet

jojobet

cratosroyalbet

cratosroyalbet giriş

lunabet

mislibet

mislibet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

Grandpashabet Güncel Giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

grandpashabet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

onwin

Hacklink Panel

casinomilyon

vdcasino giriş

bets10 giriş

jojobet giriş

nerobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

Meritking

nerobet

สล็อตเว็บตรง

bets10

tarafbet

jojobet

jojobet

holiganbet

trust score weak 3

holiganbet

grandpashabet

tipobet

meritking

artemisbet

jojobet

jojobet adres

jojobet giris

jojobet adres

jojobet

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

betpas

1xbet giriş

casibom

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

film izle

casibom

interbahis, interbahis giriş

caddebet, caddebet giriş

monobahis, monobahis giriş

grandpashabet

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

dinamobet

jojobet

casibom

bets10 güncel giriş adresi

pusulabet

jojobet

perabet

ilbet

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

sweet bonanza siteleri

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

piabet

kulisbet, kulisbet giriş

Google

primebahis

primebahis

marsbahis

sweet bonanza siteleri

Doctors | Akdeniz University Hospital

deneme bonusu veren siteler

casino siteleri

casibom güncel giriş

casibom giriş

sweet bonanza

casibom

sweet bonanza siteleri

sweet bonanza

deneme bonusu

sekabet

grandpashabet

casinoroyal

casinomilyon

betplay

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet adres

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet adres

mavibet

marsbahis

marsbahis

marsbahis

mavibet

meritking

marsbahis giriş

mavibet

jojobet

jojobet giris

jojobet telegram

jojobet telegram

jojobet

jojobet telegram

jojobet giriş

bahiscom

Hacklink panel

jojobet

holiganbet

Google

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet telegram

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet güncel

jojobet giriş

jojobet giriş

matbet

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

sahabet

mavibet giriş

meritking

betpas

betgaranti

betoffice

primebahis

Bet365 Giriş

ilbet

ilbet giriş

sweet bonanza

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

artemisbet

robinbet

hitbet

betpark giriş

betpark

betpark

betpark güncel giriş

betpark giriş

runtobet

runtobet giriş

1xbet

interbahis, interbahis giriş

betine

jojobet

jojobet giris

jojobet güncel giriş

betkolik

jojobet telegram

jojobet güncel giriş

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

jojobet güncel

jojobet giriş

jojobet adres

jojobet adres

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet güncel

jojobet güncel

jojobet adres

jojobet giriş

jojobet giris

marsbahis

jojobet giris

marsbahis

jojobet güncel

jojobet güncel

jojobet telegram

jojobet güncel giriş

jojobet giris

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

bahisfair

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

jojobet adres

jojobet güncel giriş

goldenbahis

goldenbahis

pokerklas, pokerklas giriş

kulisbet

deneme bonusu

jojobet giriş

türk ifşa

casibom

jojobet

https://sjconsultors.com/

jojobet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet güncel

Featured Kitaifa

BODI YA REA YARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZWAJI MIRADI MWANZA

Written by Alex Sonna

Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB) Mhe, Janet Mbene akisisitiza jambo wakati wa kikao kazi baina ya Bodi na Wakandarasi wanaotekeleza miradi ya umeme vijijini mkoani Mwanza (hawapo pichani),

Veronica Simba – REA

Bodi ya Nishati Vijijini (REB) inayosimamia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imetoa wito kwa wananchi walionufaika kwa kupata umeme kupitia miradi mbalimbali inayotekelezwa na Wakala hiyo, kuitumia nishati hiyo kwa shughuli za uzalishaji mali ili kukuza uchumi wao na Taifa kwa ujumla.

Mwenyekiti wa Bodi, Mhe. Janet Mbene ametoa wito huo Septemba 5, 2023 jijini Mwanza, wakati akizungumza na Waandishi wa Habari baada ya kuhitimisha kikao kazi baina ya Wajumbe wa Bodi na Wakandarasi wanaotekeleza miradi ya umeme vijijini mkoani humo.

Amesema mojawapo ya majukumu ya Bodi hiyo ni kuhakikisha kuwa fedha nyingi zinazotolewa na Serikali pamoja na Wafadhili mbalimbali kuwezesha usambazaji umeme vijijini hazipotei bure bali zinaleta manufaa yaliyokusudiwa kwa wananchi walengwa.

Kwa muktadha huo amesema Bodi inamshukuru na kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kupitia Serikali anayoiongoza, kwa kuendelea kutenga fedha za kuwezesha utekelezaji wa miradi ya nishati vijijini.

Akieleza zaidi, Mhe. Mbene amesema ikiwa walengwa na wanufaika wa miradi ya umeme vijijini hawaitumia nishati hiyo kwa shughuli za uzalishaji mali, watakuwa hawaitendei haki Serikali yao badala yake watakuwa wanaisababishia hasara kwa kutotimiza malengo yake.

“Kazi ya REA ni kupeleka nishati bora vijijini kwa lengo la kuwakomboa wananchi kiuchumi na kuboresha maisha yao na siyo kupeleka mwanga wa taa pekee ambao unaishia kumulika pasipo kubadilisha hali ya maisha ya walengwa,” amesisitiza.

Katika hatua nyingine, Mwenyekiti wa Bodi amesema wameridhishwa na kasi ya utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini inayoendelea mkoani humo. Amesema kuwa wakandarasi wengi wamefikia asilimia zaidi ya 80 hali inayotoa matumaini ya kukamilisha miradi hiyo kwa wakati.

Aidha, amewashukuru watendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoani Mwanza kwa ushirikiano ambao wameendelea kuutoa kwa REA katika kusimamia miradi husika.

Vilevile, amepongeza kazi nzuri inayofanywa na Waratibu wa Miradi ya REA walioko kila Wilaya nchini akisema uwepo wao umepunguza kwa kiasi kikubwa malalamiko kutoka kwa viongozi mbalimbali hususani wa kisiasa kuhusu upatikanaji wa taarifa za maendeleo ya utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini katika maeneo yao. 

Amewataka kuendelea kufanya kazi kwa bidii na weledi na kutoa ushirikiano mkubwa kwa viongozi hao ambao ni wawakilishi wa wananchi.

Awali, akizungumza katika kikao kazi hicho, Meneja Usimamizi Miradi ya REA, Mhandisi Romanus Lwena alibainisha kuwa jumla ya miradi sita ya umeme vijijini inatekelezwa mkoani Mwanza. Aliitaja kuwa ni Mradi wa REA III Mzunguko wa Kwanza, REA III Mzunguko wa Pili pamoja na Ujazilizi Awamu ya Pili A.

Mingine ni Mradi wa Upelekaji Umeme kwenye Vituo vya Afya na Visima vya Maji, Miji-Vijiji pamoja na Mradi wa Upelekaji umeme kwenye maeneo ya migodi, viwanda na kilimo.

Kwa upande wake, Mhandisi Miradi (TANESCO) Mkoa wa Mwanza, Mhandisi James Kabasa ameishukuru REA kwa kutekeleza miradi mingi ya umeme vijijini mkoani humo akisema imesaidia kwa kiasi kikubwa kuwafikia wananchi wengi ambao walikuwa na uhitaji wa umeme. Aidha, ameomba REA iendelee kupeleka miradi mingine mkoani humo ili kuyafikia maeneo mengine zaidi yenye uhitaji.

Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini yuko katika ziara ya kazi mkoani Mwanza akiwa amefuatana na wajumbe wawili, Mhandisi Styden Rwebangila pamoja na Florian Haule.

Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB) Mhe, Janet Mbene akisisitiza jambo wakati wa kikao kazi baina ya Bodi na Wakandarasi wanaotekeleza miradi ya umeme vijijini mkoani Mwanza (hawapo pichani),

Msimamizi wa Miradi ya REA Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Ernest Makale akifafanua jambo kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB) Mhe. Janet Mbene (Meza Kuu – katikati) na Wajumbe wa Bodi, Mhandisi Styden Rwebangila (kulia kwa Mwenyekiti) na Florian Haule (kushoto kwa Mwenyekiti) wakati wa kikao kazi baina ya Bodi na Wakandarasi wanaotekeleza miradi ya umeme vijijini mkoani Mwanza

Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB) Mhe, Janet Mbene (katikati) na Wajumbe wa Bodi hiyo, Florian Haule (wa pili-kulia) na Mhandisi Styden Rwebangila (wa tatu-kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na Waratibu wa Miradi ya REA Mkoa wa Mwanza, baada ya kikao kazi na Wakandarasi wanaotekeleza miradi ya umeme vijijini mkoani humo (hawapo pichani), Septemba 5, 2023. Wengine pichani ni Meneja Usimamizi Miradi ya REA, Mhandisi Romanus Lwena (wa kwanza-kulia) na Meneja Miradi ya REA Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Ernest Makale (Wa tatu-kushoto)

About the author

Alex Sonna