slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

marsbahis

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

pusulabet

sekabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betasus

pusulabet giriş

matbet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

holiganbet

marsbahis

artemisbet giriş

imajbet giriş

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

gobahis, gobahis giriş

noktabet, noktabet giriş

betgar, betgar giriş

betorbet, betorbet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

holiganbet giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

capitolbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

lunabet

artemisbet

kavbet

kavbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

cratosroyalbet

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

perabet

imajbet

artemisbet

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

madridbet

holiganbet giriş

jojobet giriş

trust score weak 3

celtabet

bets10 giriş

deneme bonusu

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

deneme bonusu 2026

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

kulisbet, kulisbet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

meritking

royalbet

Goldenbahis

deneme bonusu veren siteler

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

holiganbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler 2026

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

deneme bonusu

sekabet

pusulabet

holiganbet

vdcasino

imajbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet güncel giriş

Featured Kitaifa

BODI YA REA YARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZWAJI MIRADI MWANZA

Written by Alex Sonna

Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB) Mhe, Janet Mbene akisisitiza jambo wakati wa kikao kazi baina ya Bodi na Wakandarasi wanaotekeleza miradi ya umeme vijijini mkoani Mwanza (hawapo pichani),

Veronica Simba – REA

Bodi ya Nishati Vijijini (REB) inayosimamia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imetoa wito kwa wananchi walionufaika kwa kupata umeme kupitia miradi mbalimbali inayotekelezwa na Wakala hiyo, kuitumia nishati hiyo kwa shughuli za uzalishaji mali ili kukuza uchumi wao na Taifa kwa ujumla.

Mwenyekiti wa Bodi, Mhe. Janet Mbene ametoa wito huo Septemba 5, 2023 jijini Mwanza, wakati akizungumza na Waandishi wa Habari baada ya kuhitimisha kikao kazi baina ya Wajumbe wa Bodi na Wakandarasi wanaotekeleza miradi ya umeme vijijini mkoani humo.

Amesema mojawapo ya majukumu ya Bodi hiyo ni kuhakikisha kuwa fedha nyingi zinazotolewa na Serikali pamoja na Wafadhili mbalimbali kuwezesha usambazaji umeme vijijini hazipotei bure bali zinaleta manufaa yaliyokusudiwa kwa wananchi walengwa.

Kwa muktadha huo amesema Bodi inamshukuru na kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kupitia Serikali anayoiongoza, kwa kuendelea kutenga fedha za kuwezesha utekelezaji wa miradi ya nishati vijijini.

Akieleza zaidi, Mhe. Mbene amesema ikiwa walengwa na wanufaika wa miradi ya umeme vijijini hawaitumia nishati hiyo kwa shughuli za uzalishaji mali, watakuwa hawaitendei haki Serikali yao badala yake watakuwa wanaisababishia hasara kwa kutotimiza malengo yake.

“Kazi ya REA ni kupeleka nishati bora vijijini kwa lengo la kuwakomboa wananchi kiuchumi na kuboresha maisha yao na siyo kupeleka mwanga wa taa pekee ambao unaishia kumulika pasipo kubadilisha hali ya maisha ya walengwa,” amesisitiza.

Katika hatua nyingine, Mwenyekiti wa Bodi amesema wameridhishwa na kasi ya utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini inayoendelea mkoani humo. Amesema kuwa wakandarasi wengi wamefikia asilimia zaidi ya 80 hali inayotoa matumaini ya kukamilisha miradi hiyo kwa wakati.

Aidha, amewashukuru watendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoani Mwanza kwa ushirikiano ambao wameendelea kuutoa kwa REA katika kusimamia miradi husika.

Vilevile, amepongeza kazi nzuri inayofanywa na Waratibu wa Miradi ya REA walioko kila Wilaya nchini akisema uwepo wao umepunguza kwa kiasi kikubwa malalamiko kutoka kwa viongozi mbalimbali hususani wa kisiasa kuhusu upatikanaji wa taarifa za maendeleo ya utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini katika maeneo yao. 

Amewataka kuendelea kufanya kazi kwa bidii na weledi na kutoa ushirikiano mkubwa kwa viongozi hao ambao ni wawakilishi wa wananchi.

Awali, akizungumza katika kikao kazi hicho, Meneja Usimamizi Miradi ya REA, Mhandisi Romanus Lwena alibainisha kuwa jumla ya miradi sita ya umeme vijijini inatekelezwa mkoani Mwanza. Aliitaja kuwa ni Mradi wa REA III Mzunguko wa Kwanza, REA III Mzunguko wa Pili pamoja na Ujazilizi Awamu ya Pili A.

Mingine ni Mradi wa Upelekaji Umeme kwenye Vituo vya Afya na Visima vya Maji, Miji-Vijiji pamoja na Mradi wa Upelekaji umeme kwenye maeneo ya migodi, viwanda na kilimo.

Kwa upande wake, Mhandisi Miradi (TANESCO) Mkoa wa Mwanza, Mhandisi James Kabasa ameishukuru REA kwa kutekeleza miradi mingi ya umeme vijijini mkoani humo akisema imesaidia kwa kiasi kikubwa kuwafikia wananchi wengi ambao walikuwa na uhitaji wa umeme. Aidha, ameomba REA iendelee kupeleka miradi mingine mkoani humo ili kuyafikia maeneo mengine zaidi yenye uhitaji.

Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini yuko katika ziara ya kazi mkoani Mwanza akiwa amefuatana na wajumbe wawili, Mhandisi Styden Rwebangila pamoja na Florian Haule.

Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB) Mhe, Janet Mbene akisisitiza jambo wakati wa kikao kazi baina ya Bodi na Wakandarasi wanaotekeleza miradi ya umeme vijijini mkoani Mwanza (hawapo pichani),

Msimamizi wa Miradi ya REA Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Ernest Makale akifafanua jambo kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB) Mhe. Janet Mbene (Meza Kuu – katikati) na Wajumbe wa Bodi, Mhandisi Styden Rwebangila (kulia kwa Mwenyekiti) na Florian Haule (kushoto kwa Mwenyekiti) wakati wa kikao kazi baina ya Bodi na Wakandarasi wanaotekeleza miradi ya umeme vijijini mkoani Mwanza

Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB) Mhe, Janet Mbene (katikati) na Wajumbe wa Bodi hiyo, Florian Haule (wa pili-kulia) na Mhandisi Styden Rwebangila (wa tatu-kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na Waratibu wa Miradi ya REA Mkoa wa Mwanza, baada ya kikao kazi na Wakandarasi wanaotekeleza miradi ya umeme vijijini mkoani humo (hawapo pichani), Septemba 5, 2023. Wengine pichani ni Meneja Usimamizi Miradi ya REA, Mhandisi Romanus Lwena (wa kwanza-kulia) na Meneja Miradi ya REA Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Ernest Makale (Wa tatu-kushoto)

About the author

Alex Sonna