Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz giriş

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

holiganbet

ultrabet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

imajbet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

casibom

casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

jojobet

ultrabet

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

türk porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

grandpashabet giriş

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

starzbet

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

Featured Kitaifa

WAZIRI MAVUNDE AIAHIDI USHIRIKIANO KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE NISHATI NA MADINI

Written by Alex Sonna

 

Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde ameahidi kuipa ushirikiano Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini katika kutekeleza majukumu yake ili kuongeza mchango wa Sekta ya Madini kwenye maendeleo ya nchi.

Ameyasema hayo leo Septemba 5, 2023 alipokutana na Kamati hiyo jijini Dodoma ili kuzungumzia mwenendo wa biashara na shughuli za Sekta ya Madini sambamba na kufahamiana na Kamati baada ya kuteuliwa kuwa Waziri wa Madini.

“Ninawaahidi kuwapa ushirikiano katika kipindi chote ninyi kama Kamati ya Bunge ili kwa pamoja tushirikiane katika mageuzi haya kwenye Sekta hii muhimu hapa nchini,” amesema Mhe. Mavunde.

Pia, Mhe. Mavunde ameieleza Kamati hiyo kuwa Wizara imeandaa mpango wa kuiwezesha Taasisi ya Utafiti wa Jiolojia Tanzania (GST) kwa kuipatia vifaa na teknolojia ya kisasa zaidi ili ifanye utafiti wa kutosha kuendana na mahitaji ya sasa ya Dunia na kuibua maeneo mengi zaidi yaliyo na madini hapa nchini ili kuongeza wigo wa Sekta hiyo sambamba na mchango wake katika Pato la Taifa.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Ussi Pondeza amesisitiza kuwa Kamati ya Kudumu ya Nishati na Madini itatoa ushirikiano kwa Waziri Mavunde na timu yake ili Sekta ya Madini iwanufaishe Watanzania kupitia uchumi wa madini.

Kwa upande mwingine, Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa amesisitiza kuwa, maelezo yote yaliyotolewa na Kamati hiyo hususan ushiriki wa Watanzania katika Sekta ya Madini na Wajibu wa Kampuni kwa Jamii (CSR) yatafanyiwa kazi na Wizara ili Sekta ya Madini isonge mbele.

Naye, Kaimu Afisa Biashara Tume ya Madini, Alfa Edward akiwasilisha mada kuhusu Usimamizi biashara ya Madini nchini amesema biashara ya Madini imezidi kuimarika baada ya marekebisho ya Sheria ya Madini yaliyofanyika Mwaka 2017 na kupelekea uanzishwaji wa masoko ya madini kutoka 25 mwaka 2018/2019 hadi 42 kwa mwaka 2022/2023 na vituo vya ununuzi viwili (2) mwaka 2018/2019 hadi 94 kwa mwaka 2022/2023.

“Mabadiliko ya Sheria yamesababisha ongezeko kubwa la ukusanyaji wa mapato ya Serikali pamoja na kupungua kwa utoroshaji na biashara haramu ya madini,” amesema Edward.

Aidha, ameeleza Kamati hiyo historia fupi ya biashara ya madini nchini, aina za madini yanayopatikana nchini, jukumu la Tume ya Madini katika Biashara ya Madini, Mfumo wa Usimamizi biashara ya madini na mafanikio ya biashara ya madini.

Kwa upande wake, Afisa Biashara Tume ya Madini, Issa Lunda akifafanua kuhusu ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini (Local Content) ameeleza kiasi au asilimia ya malighafi zinazozalishwa, wafanyakazi, fedha, bidhaa na huduma zinazotolewa na kutumika katika mnyororo mzima wa thamani wa madini.

“Lengo la makusanyo kwa mwaka 2022/2023 ni Shilingi Bilioni 822.02 sawa na wastani wa Bilioni 68.50 kwa mwezi, Mh. Mwenyekiti katika kipindi cha kuanzia Julai 2022 hadi Juni 2023, jumla ya kiasi cha Shilingi Bilioni 678.04 kimekusanywa, makusanyo hayo ni sawa na asilimia 82.49 ya lengo la makusanyo kwa mwaka 2022/2023.” ameongeza Lunda.

Vile vile, amesema zaidi ya shilingi bilioni 52 zimetumika na kutengwa na migodi mbalimbali katika kutekeleza miradi mbalimbali ya kijamii tangu kuanzishwa Sheria ya CSR Mwaka 2018 – 2022.

Kikao hicho kifupi kimehudhuriwa na Wajumbe wa Kamati hiyo, Katibu Mkuu Wizara ya Madini, Kheri Mahimbali, Wakuu wa taasisi na Viongozi wa Wizara na Taasisi zilizopo chini ya Wizara.

About the author

Alex Sonna