marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

sapanca escort

escort bayan

imajbet

vdcasino

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

ultrabet giriş

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

tambet

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

imajbet

grandbahis

betpipo giriş

imajbet

betpipo

grandbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

ultrabet, ultrabet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

superbetin

trimology review

celtabet

meritking giriş

meritking

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

starzbet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

starzbet

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

casibom

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

trendbet giriş

Milanobet

jojobet

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

padişahbet giriş

padişahbet

holiganbet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

grandpashabet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

esbet

vdcasino

vaycasino giriş

perabet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

elitbahis

สล็อตเว็บตรง

zirvebet

superbetin

jojobet

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

bahis siteleri

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

eminevim

tipobet

tipobet giriş

galabet, galabet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

roketbet, roketbet giriş

Featured Kitaifa

TUME YA TAIFA YA UNESCO YATOA ELIMU YA MADHARA YA NDOA ZA UTOTONI KWA WANAFUNZI WA KIKE SHINYANGA

Written by Alex Sonna
 
Mshauri Mwelekezi wa Mradi wa Kupinga Ndoa za Utotoni unaotekelezwa na Tume ya Taifa ya UNESCO , Dkt. Rehema Horera John.


Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog

Tume ya Taifa ya UNESCO ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa mafunzo kuhusu Madhara ya Ndoa za Utotoni na Ukatili wa Kijinsia kwa wanafunzi wa kike kutoka shule za msingi kata za Ilola, Lyabusalu na Iselamagazi Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Mkoani Shinyanga kwa lengo la kupinga ndoa za utotoni.

Mafunzo hayo ni Programu ya kuandaa Mabinti Mabalozi wa Kupinga Ndoa za utotoni ambayo ni sehemu ya utekelezaji wa Mradi Shirikishi wa Tume ya UNESCO wa kupinga ndoa za utotoni, yamefanyika leo Jumanne Septemba 5,2023 katika ukumbi wa Halmashauri ya Shinyanga uliopo Iselamagazi.

Mshauri Mwelekezi wa Mradi wa Kupinga Ndoa za Utotoni unaotekelezwa na Tume ya Taifa ya UNESCO kwa ufadhili wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), Dkt. Rehema Horera John amesema wanafunzi wa kike wa shule za msingi ni miongoni mwa walengwa wa Programu hiyo ambao wanapewa elimu ya uhamasishaji kuhusu madhara ya ndoa za utotoni na masuala ya ukatili kwa ujumla kwa watoto.

“Tumeamua kukutana na wanafunzi wa kike kwa sababu ni waathirika wakubwa ni watoto wa kike hasa wenye umri wa miaka kati ya 8 hadi 18, lakini pia tutaendelea kukutana na makundi mengine ya wanafunzi wakiwemo wa kiume kwani pia wanayo nafasi kubwa ya kuzuia vitendo vya ukatili wa kijinsia lakini pia nao wamekuwa wakikumbana na vitendo vya ukatili ikiwemo ulawiti”,ameeleza Dkt. Rehema.

Mshauri Mwelekezi wa Mradi wa Kupinga Ndoa za Utotoni unaotekelezwa na Tume ya Taifa ya UNESCO , Dkt. Rehema Horera John akitoa elimu kuhusu madhara ya ndoa za utotoni kwa wanafunzi wa kike.


“Tume ya Taifa ya UNESCO inatekeleza Programu hii katika kata za Lyabusalu, Ilola na Iselamagazi kwa ufadhili ya UNESCO lengo kubwa ni kupinga ndoa za utotoni katika Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga”,amesema Dkt. Rehema.

Dkt. Rehema amewataka wanafunzi wa kike kuepuka kukaa kimya badala yake watoe taarifa endapo watabaini kuwepo kwa dalili za kufanyika kwa ukatili wa kijinsia.


“Ukatili wa kijinsia unazuilika, ndoa za utotoni zinazuilika hivyo ukiona dalili ya ukatili wa kijinsia toa taarifa mapema kwa mtu unayemuamini. Tuzipambanie ndoto zetu, tutimize ndoto zetu”,amesema.

“Mwanafunzi epuka vishawishi vyote ambavyo vitakurudisha nyuma, usiwe na mchezo kwenye mambo yanayokurudisha nyuma.Usikubali kuitwa mchumba. Kwepa ndoa za utotoni, kwepa ndoa za kulazimishwa. Epuka kuvaa nguo fupi na nguo za kubana naepuka kujipitisha pitisha kwa wanaume”,ameongeza Dkt. Rehema.

Aidha amewasihi wanafunzi kuepuka kutembea usiku, sherehe za usiku, ngoma za usiku kwa sababu shughuli nyingi za usiku zinahatarisha usalama wa mtoto ikiwemo kumuweka katika hatari ya kufanyiwa vitendo vya ukatili.


“Mmomonyoko wa maadili katika jamii, matumizi ya dawa za kulevya na pombe ni miongoni mwa vichocheo vya ukatili wa kijinsia hivyo ni lazima tuviepuke ili watoto wawe salama ingawa umaskini na baadhi ya mila kandamizi zimekuwa zikisababisha vitendo vya ukatili. Jamii inatakiwa iendelee kupewa elimu kuhusu madhara ya vitendo vya ukatili wa kijinsia”,ameeleza Dkt. Rehema.

Wanafunzi wa kike kutoka kata za Ilola, Lyabusalu na Iselamagazi halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga wakiwasilisha kazi ya kikundi.


Kwa upande wao wanafunzi hao wa kike, licha ya kuahidi kuwa mabalozi wazuri wa kuelimisha wanafunzi wenzao pia wameiomba serikali kutunga sheria kali za kuzuia ndoa za utotoni huku wakishauri elimu iendelee kutolewa kwa jamii kuhusu madhara ya ndoa za utotoni na ukatili wa kijinsia.

Wanafunzi hao wamekubaliana kwa pamoja kutokubali kukatishwa masomo ili waolewe, kukataa kuambiwa wafeli mitihani ili waolewe, kuepuka kuguswa miili yao ‘Don’t touch’ na mwanaume au mwanamke bila ridhaa.

 
Afisa Elimu Maalum Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Irene Kisweka amesema wanafunzi hao waliopatiwa mafunzo wataenda kutoa elimu hiyo kwa wanafunzi wenzao kupitia Klabu za Kupinga ukatili wa kijinsia ili kuhakikisha kuwa shule zote zinapata elimu ya ukatili wa kijinsia.

“Mkawe majasiri, muende mkapeleke elimu hii katika shule zenu, waelimisheni pia watoto waliokatishwa masomo kwa kupewa mimba au kuolewa wakiwa wadogo ili vitendo vya ukatili visiendelee kujitokeza”,amesema.

Kwa upande wake, Naibu Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya UNESCO, Aboud Khamis amesema ndoa za utotoni bado zipo katika jamii hivyo kuwataka wanafunzi hao kuwa mabalozi wazuri kwa wenzao shuleni na katika jamii ili kuhakikisha ndoa za utotoni zinatokomezwa.

Aidha amewakumbusha wanafunzi kuchukua tahadhari dhidi ya ukatili wa kijinsia kupitia mitandao ya kijamii akiwaka kuepuka msiangalia picha chafu kupitia simu za mkononi ili wasijifunze mambo mabaya.

Naye Afisa Programu Mkuu Sayansi ya Jamii kutoka Tume ya Taifa ya UNESCO, Bi. Uyanjo Lazarus amefafanua kuwa, mafunzo hayo yaliyolenga kuandaa Mabinti kuwa Mabalozi wa Kupinga Ndoa za utotoni yatasaidia kwa kiasi kikubwa kufikisha elimu kwa wanafunzi kuhusu madhara ya ndoa za utotoni.

 
ANGALIA PICHA HAPA CHINI
Mshauri Mwelekezi wa Mradi wa Kupinga Ndoa za Utotoni unaotekelezwa na Tume ya Taifa ya UNESCO , Dkt. Rehema Horera John akitoa elimu kuhusu madhara ya ndoa za utotoni kwa wanafunzi wa kike kutoka kata za Ilola, Lyabusalu na Iselamagazi halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga. Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Mshauri Mwelekezi wa Mradi wa Kupinga Ndoa za Utotoni unaotekelezwa na Tume ya Taifa ya UNESCO , Dkt. Rehema Horera John akitoa elimu kuhusu madhara ya ndoa za utotoni kwa wanafunzi wa kike kutoka kata za Ilola, Lyabusalu na Iselamagazi halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
Mshauri Mwelekezi wa Mradi wa Kupinga Ndoa za Utotoni unaotekelezwa na Tume ya Taifa ya UNESCO , Dkt. Rehema Horera John akitoa elimu kuhusu madhara ya ndoa za utotoni kwa wanafunzi wa kike kutoka kata za Ilola, Lyabusalu na Iselamagazi halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
Mshauri Mwelekezi wa Mradi wa Kupinga Ndoa za Utotoni unaotekelezwa na Tume ya Taifa ya UNESCO , Dkt. Rehema Horera John akitoa elimu kuhusu madhara ya ndoa za utotoni kwa wanafunzi wa kike kutoka kata za Ilola, Lyabusalu na Iselamagazi halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga

Naibu Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya UNESCO, Aboud Khamis akizungumza wakati Tume ya Taifa ya UNESCO ikitoa elimu kuhusu madhara ya ndoa za utotoni kwa wanafunzi wa kike kutoka kata za Ilola, Lyabusalu na Iselamagazi halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
Naibu Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya UNESCO, Aboud Khamis akizungumza wakati Tume ya Taifa ya UNESCO ikitoa elimu kuhusu madhara ya ndoa za utotoni kwa wanafunzi wa kike kutoka kata za Ilola, Lyabusalu na Iselamagazi halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
Afisa Elimu Maalum Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Irene Kisweka akizungumza wakati Tume ya Taifa ya UNESCO ikitoa elimu kuhusu madhara ya ndoa za utotoni kwa wanafunzi wa kike kutoka kata za Ilola, Lyabusalu na Iselamagazi halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
Afisa Programu Mkuu Sayansi ya Jamii kutoka Tume ya Taifa ya UNESCO, Bi. Uyanjo Lazarus akizungumza wakati Tume ya Taifa ya UNESCO ikitoa elimu kuhusu madhara ya ndoa za utotoni kwa wanafunzi wa kike kutoka kata za Ilola, Lyabusalu na Iselamagazi halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
Afisa Programu Mkuu Sayansi ya Jamii kutoka Tume ya Taifa ya UNESCO, Bi. Uyanjo Lazarus akizungumza wakati Tume ya Taifa ya UNESCO ikitoa elimu kuhusu madhara ya ndoa za utotoni kwa wanafunzi wa kike kutoka kata za Ilola, Lyabusalu na Iselamagazi halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
Afisa Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga, Aisha Omary ambaye pia ni Mratibu wa MTAKUWWA halmashauri hiyo akizungumza wakati Tume ya Taifa ya UNESCO ikitoa elimu kuhusu madhara ya ndoa za utotoni kwa wanafunzi wa kike kutoka kata za Ilola, Lyabusalu na Iselamagazi halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
Mkuu wa Divisheni ya Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga, Joseph Ntomela akizungumza wakati Tume ya Taifa ya UNESCO ikitoa elimu kuhusu madhara ya ndoa za utotoni kwa wanafunzi wa kike kutoka kata za Ilola, Lyabusalu na Iselamagazi halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
Wanafunzi wa kike kutoka kata za Ilola, Lyabusalu na Iselamagazi halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga wakifuatilia mafunzo kuhusu madhara ya ndoa za utotoni na ukatili wa kijinsia
Wanafunzi wa kike kutoka kata za Ilola, Lyabusalu na Iselamagazi halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga wakifuatilia mafunzo kuhusu madhara ya ndoa za utotoni na ukatili wa kijinsia
Wanafunzi wa kike kutoka kata za Ilola, Lyabusalu na Iselamagazi halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga wakifuatilia mafunzo kuhusu madhara ya ndoa za utotoni na ukatili wa kijinsia
Wanafunzi wa kike kutoka kata za Ilola, Lyabusalu na Iselamagazi halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga wakifuatilia mafunzo kuhusu madhara ya ndoa za utotoni na ukatili wa kijinsia
Wanafunzi wa kike kutoka kata za Ilola, Lyabusalu na Iselamagazi halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga wakifuatilia mafunzo kuhusu madhara ya ndoa za utotoni na ukatili wa kijinsia
Wanafunzi wa kike kutoka kata za Ilola, Lyabusalu na Iselamagazi halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga wakifuatilia mafunzo kuhusu madhara ya ndoa za utotoni na ukatili wa kijinsia
Wanafunzi wa kike kutoka kata za Ilola, Lyabusalu na Iselamagazi halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga, viongozi wa Halmashauri na Tume ya Taifa ya UNESCO wakipiga picha ya kumbukumbu.

About the author

Alex Sonna