Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

meritking

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

perabet

mas

tümbet güncel giriş

betsat

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betpark

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

vidobet

vdcasino giriş

Featured Michezo

WATUMISHI WIZARA YA FEDHA WAHIMIZWA MICHEZO KWA AFYA, KUONGEZA UFANISI

Written by Alex Sonna

Kaimu Mkuu wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini, Dkt. Vedastus Timothy (kulia) akizungumza na wachezaji wa michezo mbalimbali wakati akizindua Bonanza la michezo lililoandaliwa na Wizara ya Fedha na taasisi zilizo chini yake kwa kushirikiana na Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), lililofanyika leo Septemba 2,2023 katika viwanja vya Kilimani, jijini Dodoma.

Mkuregenzi kutoka Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), Bi. Josephine Matiro (kulia) akitoa salamu za taasisi hiyo wakati wa kufungua Bonanza la Michezo lililoandaliwa na Wizara ya Fedha pamoja na taasisi zilizo chini yake kwa kushirikiana na Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), lililofanyika leo Septemba 2,2023 katika viwanja vya Kilimani, jijini Dodoma.

Kikosi cha wachezaji wa mpira wa miguu wa Timu ya Hazina wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuanza kwa mchezo kati yao na Timu ya Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), katika Bonanza la Michezo lililoandaliwa na Wizara ya Fedha pamoja na taasisi zilizo chini yake kwa kushirikiana na Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) lililofanyika leo Septemba 2,2023 katika viwanja vya Kilimani, jijini Dodoma.

Timu ya kuvuta Kamba ya Wanawake kutoka Wizara ya Fedha wakionesha umahiri wao katika Bonanza la Michezo lililoandaliwa na Wizara hiyo pamoja na taasisi zilizo chini yake kwa kushirikiana na Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA),lililofanyika leo Septemba 2,2023 katika viwanja vya Kilimani, jijini Dodoma.

Timu ya kuvuta Kamba ya Wanaume kutoka Wizara ya Fedha wakipambana na mpinzani wao katika Bonanza la Michezo lililoandaliwa na Wizara hiyo pamoja na taasisi zilizo chini yake kwa kushirikiana na Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA),lililofanyika leo Septemba 2,2023 katika viwanja vya Kilimani, jijini Dodoma.

Baadhi ya washiriki wa mchezo wa kuruka na magunia kionesha umahiri wao katika Bonanza la Michezo lililoandaliwa na Wizara hiyo pamoja na taasisi zilizo chini yake kwa kushirikiana na Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA),lililofanyika leo Septemba 2,2023 katika viwanja vya Kilimani, jijini Dodoma.

Na Farida Ramadhani- WF, Dodoma 

Watumishi wa Wizara ya Fedha na Taasisi zilizo chini yake wamehamasishwa kushiriki katika michezo ili kuimarisha afya zao na kuongeza ufanisi katika majukumu yao.

Rai hiyo imetolewa katika viwanja vya Mlimani jijini Dodoma na Kaimu Mkuu wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini, Dkt. Vedastus Timothy alipozindua Bonanza la michezo lililoandaliwa na Wizara ya Fedha na taasisi zilizo chini yake kwa kushirikiana na Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA).

Dkt. Timothy alisema lengo la kufanya bonanza hilo ni kuhamasisha watumishi kushiriki katika michezo ili kuimarisha afya zao na kuboresha uhusiano kati yao.

“Kazi nyingi za ofisini zinahushisha watu kukaa muda mrefu na kufanya miili kuathirika na magonjwa yasiyoambukiza kwa urahisi, kwa hiyo fursa ya kuwashirikisha watumishi kwenye michezo ni kuwawezesha kukabiliana na magonjwa hayo”, alisema Dkt. Timothy.

Naye Mkurungenzi kutoka Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), Bi. Josephine Matiro alisema bonanza hilo linaunga juhudi za Serikali kwa kuhakikisha maendeleo yanapatikana kwa kuwawezesha watumishi kuwa na afya njema.

Alisema rasilimali watu ni muhimu sana katika maendeleo ya nchi hivyo afya zao inabidi zilindwe ili waweze kufanyakazi kwa ufanisi na kuiwezesha nchi kupata maendeleo.

Kwa upande wa Afisa Michezo wa Wizara ya Fedha, Bw. Gema Mwakyusa na Katibu wa Timu ya Michezo ya Hazina, Bw. Kelvin Kakoko, walisema bonanza hilo ni utaratibu ambao umewekwa na Wizara kila baada ya muda kuwakutanisha watumishi pamoja katika michezo ili kuhakikisha watumishi wa Wizara pamoja na taasisi zake wanakuwa na afya bora.

Akizungumza baada ya kumaliza michezo Kiongozi wa Timu ya Hazina, Bw. Asegelile Mboya, alisema pamoja na mambo mengine bonanza hilo ni sehemu ya maandalizi ya mashindano ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) yanayotarijiwa kufanyika mwezi Oktoba, 2023.

Bonanza hilo lilihusisha michozo mbalimbali ikiwemo mpira wa miguu, mpira wa pete, kuvuta Kamba, kukimbiza kuku pamoja na kuruka na magunia.

About the author

Alex Sonna