Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

betsat

pusulabet, pusulabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

Redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betsat güncel giriş

girne escort

magusa escort

Marmaris Tekne Turu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Featured Kitaifa

SERIKALI YAISHUKURU CHINA KWA UFADHILI WANAFUNZI 30

Written by Alex Sonna

 

SERIKALI  ya Tanzania imeishukuru Serikali ya China kwa kutoa fursa na kufadhili wanafunzi 30 kutoka Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) kwenda kusoma programu ya uhandisi nchini humo kupitia Kampuni ya Group Six International & Sino Tan Industrial Park.

Akizungumza jijini Dar es Salaam mara baada ya kukabidhi bendera ya Tanzania kwa wanafunzi hao Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema hatua hiyo ni utekelezaji wa hati ya makubaliano ambayo ilisainiwa mapema mwezi Desemba 2022 kuhusu ushirikiano wa kutoa mafunzo kwa pamoja kati ya DIT na Chuo cha Chongqing Vocational Institute of Enginnering cha nchini China.

Amesema China ni nchi iliyoendelea kutokana na kukua kwa sayansi na teknolojia na hivyo kama nchi tunahitaji kujifunza kutoka kwao ili kuweza kuwa na ujuzi na kutoa mchango katika nchi yetu.

“Tunahitaji sana kujifunza kutoka nchini China, kuna kitabu kimoja kitakatifu kinasema tafuteni elimu hata China, kwa hiyo twende china tujifunze sayansi teknolojia na mafunzo ya amali,” amesema Prof. Mkenda

Akizungumzia program ambayo wanafunzi hao wanakwenda kusoma Waziri Mkenda amesema ni ya miaka miwili ambayo itawawezesha kupata diploma ya Tasisi hiyo lakini pia miaka miwili hiyo itahesabika kama sehemu ya miaka minne ya Programu ambayo wanasoma hapa nchini.

“Kati ya miaka minne ya masomo Wanafunzi hawa tayari wameshasoma mwaka mmoja hapa DIT na kufanya mafunzo kwa vitendo kwenye Kampuni ya Group Six International & Sino Tan Industrial Park kwa miezi miwili. Hivyo watatumia miaka miwili nchini China na watarejea kumalizia mwaka mmoja hapa DIT na kupata shahada katika eneo hilo,” amesema Waziri Mkenda

Na kuongeza “Programu hiyo ni muhimu kwa kuwa inaendana na maono ya Rais Samia ambayo aliwaahidi watanzania baada ya kuingia madarakani na kulihutubia Bunge Aprili 22, 2021 kuwa anataka kuona elimu inayotolewa inakuwa elimu ujuzi ili wanaomaliza wawe wanaajirika kirahisi au kujiajiri.

Waziri Mkenda amemshukuru Mwenyekiti wa Group six International & Sino Tan Industrial Park Janson Huang, Bodi ya DIT na Menejimenti kwa juhudi za kuhakikisha wanafunzi hao wanakwenda China kusoma huku akiwataka wanafunzi hao kusoma kwa bidii ili watakaporejea wawe bora na wenye ujuzi wa kuweza kujiajiri ama kuajirika na kuchangia maendeleo ya nchi.

Wakati huohuo Mkenda amesema nia ni kuhakikisha idadi ya wanafunzi wanaoenda katika programmu hiyo inaongezeka na kuhimiza wakufunzi pia kuenda kusoma huko.

Kwa upande wake Mkuu wa Taasisi ya Teknolojia ya Dar es Salaam Mhandisi Prof. Preksedis Ndomba amesema Wanafunzi hao kwenda China ni kutoka na makubaliano ambayo DIT imeingia na Chuo cha Chongqing Vocational Institute of Enginnering cha nchini humo kushirikana kwenye mafunzo na kwamba wanafunzi waliochaguliwa ni wale waliofanya vizuri katika masomo yao.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Kampuni ya Group Six International & Sino Tan Industrial Park Mr Janson Huanga amesema wanafunzi hao wanaokwenda China watasoma kwa miaka miwili na wakihitimu watatunukiwa diploma ya Taasisi hiyo.

About the author

Alex Sonna