Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

https://guinguinbali.com/

boostaro review

NervEase

matbet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

maritbet giriş

hiltonbet

sekabet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

Betoffice

marsbahis

mislibet

imajbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

betoffice

coinbar

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

matbet, matbet giriş

perabet, perabet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

holiganbet

meritking

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

piabellacasino

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

meritking

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

tarafbet

betebet

truvabet, truvabet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

meritking giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

hititbet giriş

hititbet

hititbet

hititbet giriş

norabahis

pusulabet

grandpashabet giriş

jojobet

pokerklas

jojobet giriş

marsbahis

marsbahis

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

royalbet giriş

hititbet

hititbet giriş

hititbet giriş

hititbet

betpark giriş

betixir

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

Meritking

deneme bonusu

İkimisli

onwin

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

goldenbahis

artemisbet

imajbet

artemisbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

madridbet

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

cratosroyalbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

artemisbet giriş

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

piabellacasino giriş

holiganbet

celtabet

holiganbet

trust score weak 3

jojobet

ikimisli giriş

bonus veren casino siteleri

mislibet

kavbet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet

pokerklas

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

mobilbahis

casibom giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

betpas

1xbet

casibom giriş

restbet

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

dizipal

casibom

interbahis, interbahis giriş

betcio, betcio giriş

pokerklas, pokerklas giriş

betsat

superbetin

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

piabellacasino

betturkey

sweet bonanza

bets10 güncel giriş adresi

madridbet

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

interbahis

winxbet, winxbet giriş

grandpashabet

millibahis

piabet

palacebet

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

deneme bonusu veren siteler

slot siteleri

holiganbet giriş

casibom giriş

holiganbet

holiganbet giriş

turkey dental implants

dental implants turkey

betturkey

pusulabet

vdcasino

marsbahis

matbet

pusulabet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

pokerklas

pokerklas

meritking

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

marsbahis

jojobet

pokerklas

holiganbet

marsbahis

holiganbet

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

marsbahis

grandpashabet

holiganbet

jojobet

holiganbet

holiganbet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

marsbahis

jojobet

perabet

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

tipobet

meritking

meritking giriş

truvabet

betgaranti

betoffice

perabet

Bet365 Giriş

ilbet

ilbet giriş

turkey dental implants

roketbet 2026

vdcasino

casibom

deneme bonusu

safirbet

pokerklas

pokerklas

betkare

imajbet

betpark

betpark

bets10

Featured

CHATANDA KUZINDUA MASHINDANO YA UVCCM SHY TOWN DR. SAMIA CUP 2023

Written by Alex Sonna
Katibu Mkuu wa Chama cha Mpira wa miguu wilaya ya Shinyanga na Mratibu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu TFF Mkoa wa Shinyanga Magubika Amani akizungumza na waandishi wa habari
Mratibu wa Mashindano ya Dr. Samia Cup Shinyanga Mjini, Jackline Isaro akizungumza na waandishi wa habari
 
 
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 
Mashindano maalumu ‘UVCCM Shinyanga Mjini ya Dr Samia Cup’ maarufu Samia Viwanjani yanatarajiwa kuzinduliwa rasmi na Mwenyekiti wa UWT Taifa Mhe. Mary Chatanda kesho Jumamosi Agosti 26,2023 katika viwanja vya Zimamoto Mjini Shinyanga.

 
 
Lengo la mashindano hayo ni kukuza vipaji na kutengeneza ajira kwa vijana wilayani humo pamoja na kuchochea maendeleo ya mchezo wa soka ambapo zawadi zitatolewa kwa bingwa, mshindi wa pili na tatu, wachezaji bora wa mechi, kipa bora, kocha, mfungaji na timu bora.
 
 
Akizungumza na vyombo vya habari leo Ijumaa Agosti 25,2023 Mratibu wa Mashindano ya Dr. Samia Cup Shinyanga Mjini, Jackline Isaro amesema katika uzinduzi huo vifaa vya michezo ikiwemo mipira na jezi vitakabidhiwa.
 
 
“Sisi kama taasisi ya Bega kwa Bega na Mama Samia tunaunga mkono juhudi za Mhe. Rais Samia kwa kuhamasisha michezo na sasa tunakwenda kufanya uzinduzi wa mashindano ya mpira wa miguu ambayo yatashirikisha timu 32 yakifanyika kwa muda wa mwezi mmoja na nusu kuanzia Agosti 27,2023 katika viwanja vinane Wilaya ya Shinyanga Mjini”,ameeleza Isaro.
 
 
“Mashindano haya tumeyaita Samia Viwanjani kwa kuwa tunaona Mhe. Rais wetu Dr. Samia Suluhu Hassan anapenda michezo hivyo taasisi ya Bega kwa Bega kwa kushirikiana na Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Shinyanga Mjini tunakwenda kufanya mashindano haya ambayo yatakuwa mashindano endelevu kwa kumuunga mkono Rais wetu kwa kupenda michezo hususani mpira wa miguu. Pia tutakuwa na michezo mingine ikiwemo Netiboli na mpira wa rede”,ameeleza.

 

Mratibu wa Mashindano ya Dr. Samia Cup Shinyanga Mjini, Jackline Isaro akizungumza na waandishi wa habari

 

 
Amesema mashindano hayo yatafanyika kwa viwango na mfano hivyo kuwaomba wananchi wa Shinyanga hususani wapenda michezo wajitokeze kwa wingi katika viwanja.
 
“Mashindano haya yataenda kwa mfumo wa mtoano kwa awamu ya kwanza, tukitoka knock out tutakuwa tumebakiza timu 16, tutakwenda tena tutabakiza timu nane, tutakwenda fainali mwisho tutatoa zawadi ikiwemo Kombe”,amesema Isaro.
 
 
Niwaombe vijana wote wanaoshiriki mashindano haya watambue mpira kwa sasa ni ajira, niwaombe wawe na nidhamu kwani nidhamu yao ndiyo itakayoweza kuwafikisha mbali kwani tunaenda kuibua vipaji ambavyo vitashiriki ligi mbalimbali”,ameongeza.
 
 
“Tunakwenda kuwaleta pamoja vijana takribani 1600. Pia tutaongea na vijana kuhusu changamoto zilizopo katika jamii. Tumeshirikisha makundi ya timu mbalimbali wakiwemo Bodaboda, timu za Masoko, Taasisi ikiwemo SHUWASA, walimu, watumishi, Veterani, kwa hiyo hatujabagua timu ya aina yoyote”,ameongeza.
 
 
Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Shinyanga Mjini Jonathan Madete ameeleza kuwa, mashindano ya Dr. Samia Cup 2023 yameanzishwa na UVCCM Wilaya ya Shinyanga Mjini kwa kushirikiana na Taasisi ya Bega kwa Bega na Mama kwa lengo kuwaweka vijana pamoja lakini pia michezo ni sehemu ambayo inaajiri vijana wengi kwa kasi kubwa hivyo moja ya sehemu walizotupia jicho ni michezo hasa mpira wa miguu.

 

Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Shinyanga Mjini Jonathan Madete akizungumza na waandishi wa habari
 

 

“Michezo hii imeandaliwa na viongozi wa CCM lakini hayanyimi fursa vijana kutoka vyama vingine, tunawakaribisha kuja kushiriki. Kupitia mashindano haya tunakwenda kuwapatia vijana fursa ili timu zinazoshiriki ngazi mbalimbali ziweze kuwaona na kuibua vipaji vyao”,amesema Madete.
 
 
“Wapenzi na mashabiki wa soka wajitokeze kwa wingi kuja kushuhudia vipaji kutoka kwa vijana wa Shinyanga pia sisi kama ofisi ya UVCCM tumepania kuhakikisha tunarudisha michezo ndani ya wilaya yetu. Boli limerudi Shinyanga”,amesema Madete.
 
 
Kwa upande wake, Katibu wa UVCCM Wilaya ya Shinyanga Mjini, Naibu Katalambula amesema wameshirikiana na taasisi ya Bega kwa Bega na katika kuratibu na kuwezesha mashindano hayo hivyo watahakikisha mashindano hayo yanakuwa endelevu.
“Sisi kwetu CCM kufanyika kwa michezo ni sehemu ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020/2025 lakini kama jumuiya ya vijana ni jukumu ambayo ina jukumu la moja kwa moja kwa maendeleo na kuwaweka vijana pamoja tumeamua kuratibu mashindano haya kwa nguvu na wivu mkubwa. Tunawaomba vijana washiriki katika mashindano haya kikamilifu. Tunataka tuukusanye mji wa Shinyanga pamoja, kule tutakutana na vijana mbalimbali, pia tutakuwa na soko kwani bidhaa mbalimbali za wajasiriamali zitauzwa viwanjani“,amesema Katalambula.
 
 
Katibu Mkuu wa Chama cha Mpira wa miguu wilaya ya Shinyanga na Mratibu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu TFF Mkoa wa Shinyanga Magubika Amani amesema mashindano hayo ni ya wazi hakuna kiingilio huku akitaja viwanja vitakavyotumika kuwa ni Chuo cha Ualimu Shinyanga (Shycom), CCM Kambarage, Old Shinyanga Jeshini, Shule ya msingi Kitangili, Ibadakuli, Jasco Ngokolo, Shule ya msingi Ndala na Lubaga Joshoni.
 
 
“ Tutahakikisha sheria zote 17 za mchezo wa mpira zinafuatwa kwa hiyo taratibu zote zimefuatwa na tumetoa kibali kwa umoja wa vijana , Mashindano haya yatakuwa makubwa, naomba wadau wote wa soka wajitokeze kwa wingi. Tutahakikisha mashindano haya yanaendeshwa kwa ufanisi mkubwa ili malengo yatimie na tumechagua wataalamu mbalimbali katika viwanja vitakavyotumika kuhakikisha kwamba vijana ambao wanaonekana wapate fursa ya kuweza kuchezea timu mbalimbali za mkoa wa Shinyanga na taifa”,amesema Magubika.
Mratibu wa Mashindano ya Dr. Samia Cup Shinyanga Mjini, Jackline Isaro akizungumza na waandishi wa habari leo Ijumaa Agosti 25,2023
Mratibu wa Mashindano ya Dr. Samia Cup Shinyanga Mjini, Jackline Isaro akizungumza na waandishi wa habari
Mratibu wa Mashindano ya Dr. Samia Cup Shinyanga Mjini, Jackline Isaro akizungumza na waandishi wa habari
Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Shinyanga Mjini Jonathan Madete akizungumza na waandishi wa habari
Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Shinyanga Mjini Jonathan Madete akizungumza na waandishi wa habari
Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Shinyanga Mjini Jonathan Madete akizungumza na waandishi wa habari
Katibu wa UVCCM Wilaya ya Shinyanga Mjini Naibu Katalambula akizungumza na waandishi wa habari
Katibu wa UVCCM Wilaya ya Shinyanga Mjini Naibu Katalambula akizungumza na waandishi wa habari
Katibu Mkuu wa Chama cha Mpira wa miguu wilaya ya Shinyanga na Mratibu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu TFF Mkoa wa Shinyanga Magubika Amani akizungumza na waandishi wa habari
Katibu Mkuu wa Chama cha Mpira wa miguu wilaya ya Shinyanga na Mratibu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu TFF Mkoa wa Shinyanga Magubika Amani akizungumza na waandishi wa habari

About the author

Alex Sonna