Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

meritking

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

meritbet

grandpashabet

grandpashabet

betsat

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

jojobet güncel giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

Featured Kitaifa

MBUNGE LUCY MAYENGA AKABIDHI MAJIKO 760 KWA MAMA LISHE MKOA WA SHINYANGA

Written by Alex Sonna
Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Shinyanga Mhe.  Lucy Mayenga ametoa msaada wa majiko ya gesi 760  yenye thamani ya shilingi Milioni 45.6 kwa wajasiriamali mbalimbali wakiwemo mama lishe mkoani Shinyanga ikiwa ni sehemu ya  kampeni yake aliyoianzisha ya matumizi ya nishati sahihi ya kupikia na utunzaji wa mazingira.

 

 
Kampeni hiyo awamu ya kwanza ameihitimisha leo Agosti 22,2023  kwa kugawa majiko 165 yenye thamani ya shilingi milioni 9.9 kwa mama lishe katika halmashauri ya wilaya ya Shinyanga. 
 
Akizungumza wakati hafla hiyo ya ugawaji majiko ya gesi, Mhe. Mayenga amesema alimua kuchagua wajasiriamali kada ya wanawake hususan mama lishe kwani ndiyo wamekuwa wakikabiliana na changamoto nyingi za kimaisha hivyo kumuwezesha mwanamke ni kuiwezesha jamiii nzima.
 
“Mwezi uliopita niligawa majiko kwa mama lishe wilayani Kahama, jana pia nimekabidhi majiko ya gesi 160 yenye thamani ya shilingi milioni 9.6 kwa akina mama lishe katika wilaya ya Kishapu kwenye ukumbi wa SHIRECU uliopo wilayani kishapu na leo nimegawa majiko 165 yenye thamani ya shilingi milioni 9.9 kwa mama lishe katika halmashauri ya wilaya ya Shinyanga, jumla ya majiko niliyogawa mpaka sasa ni 760. Naahidi kuendelea na kampeni hiyo ya kwa awamu ya pili lengo likiwa ni kuwafikia wanawake wajasiriamali 1500 mkoa wa Shinyanga”,amesema Mhe. Mayenga.

Katika hatua nyingine, Mhe. Mayenga amewaomba wanawake kuiunga mkono serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu kwani imekuwa na dhamira njema katika kumaliza changamoto zinazowakabili wanawake ikiwemo miradi ya maji yenye dhamira ya kumtua mama ndoo kichwani na matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kumtua mama kuni kichwani.

 
Mwenyekiti wa Umoja wa wanawake (UWT) mkoa wa Shinyanga, Grace Bizuru amewataka wanawake kupendana huku akimshukuru Mhe. Lucy Mayenga kwa kuzunguka mkoa mzima na kutoa majiko kwa wanawake wajasiriamali kwani yatawarahisishia katika shughuli zao ikiwa ni pamoja na utunzaji mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.
 
Naye Mwenyekiti wa Umoja wa Wawanawake wa CCM (UWT) wilayani Kishapu Rahel madundo amesema msaada huo ni muhimu sana kwani utaondoa tatizo la vikongwe kuuawa kwa imani za kishirikina kwa kuonekana wana macho mekundu kwa sababu ya matumizi ya nishati isiyo safi kwa kupikia lakini pia msaada huo utarahisisha shughuli za upishi na biashara kwa mama lishe.
 
 
Nao baadhi ya wajasirimali waliopata msaada huo wamemshukuru mbunge huyo kwa kampeni hiyo huku wakiahidi kutunza mazingira kwa kutokata miti ovyo kwa ajili ya kuni na mkaa kwani kwa sasa wana nishati sahihi ya kupikia.
 

Kampeni ya matumizi ya nishati sahihi ya kupikia awamu ya kwanza ilianzishwa na mbunge huyo mwezi Julai 2023 na kutelekezwa katika wilaya zote za mkoa wa Shinyanga kwa ugawaji wa majiko ya gesi kwa wajasiriamali.

Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Shinyanga Mhe.  Lucy Mayenga (katikati) akikabidhi jiko la gesi kwa mmoja wa wajasiriamali

 

 

About the author

Alex Sonna