Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

vdcasino

lordcasino

marsbahis

vipslot

celtabet

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

vipslot

betlivo

eyfelcasino

marsbahis

marsbahis

marsbahis giriş

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

meritking telegram

meritking giriş

realbahis

vipslot giriş

casival

luxbet

betnis

parmabet

betvoy

holiganbet

Hacklink panel

holiganbet

jojobet

Google

holiganbet

jojobet

armabahis

mislibet giriş

kareasbet giriş

vipslot

betlivo

hazbet

netbahis

betra

primebahis

betturkey

betturkey giriş

otobet

otobet giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

otobet

otobet giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet giriş

robinbet

robinbet giriş

casibom giriş

holiganbet

bets10

uyuşturucu satın al

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

aresbet, aresbet giriş

starzbet

jojobet

betmarino

avrupabet

lordcasino giriş

dengebet

celtabet

betcool

kareasbet

betcool

millibahis

betnis giriş

casival

betvoy

hazbet

betnef

avrupabet

betmarino giriş

betmani

betvakti

marsbahis

prensbet

betmani

millibahis

eyfelcasino

meybet

millibahis giriş

marsbahis giriş

gobahis

betnef

perabet giriş

mislibet giriş

vipslot giriş

meybet giriş

armabahis

meritking giriş

meritking

alobet, alobet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

grandpashabet

starzbet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

mislibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

pusulabet

pusulabet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

marsbahis

jojobet

grandpashabet giriş

holiganbet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

betsat giriş

jojobet

radissonbet

sweet bonanza

mavibet

jojobet giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

goldenbahis

meritking giriş

meritking güncel giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

betvakti

parmabet

gobahis

elitbahis

mavibet güncel giriş

mavibet giriş

jojobet

mavibet giriş

mislibet giriş

cratosroyalbet

mislibet güncel giriş

mavibet

jojobet güncel giriş

mavibet

cratosroyalbet giriş

cratosroyalbet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

romabet

meritking

deneme bonusu veren siteler

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet

jojobet

casibom güncel giriş

jojobet

meritking

betsat giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

casinomaxi

jojobet

sekabet güncel giriş

jojobet

grandpashabet

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

grandpashabet

casibom

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

test

jojobet

jojobet

marsbahis

Featured Kitaifa

DC KAHAMA AZINDUA HOSPITALI MAALUMU YA HUDUMA ZA MACHO ‘CVT SPECIALISED EYE CLINIC’

Written by Alex Sonna
Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita (katikati) akipata huduma ya uchunguzi wa macho katika Hospitali Maalumu ya Huduma za Macho  CVT Specialised Eye Clinic  Kahama.
 
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 
Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita amezindua Hospitali Maalumu ya Huduma za Macho ‘CVT Specialised Eye Clinic’ iliyopo Mjini Kahama katika eneo la Phantom nyuma ya maegesho ya Malori inayomilikiwa na Taasisi ya Charity Vision Tanzania (CVT).
 
Akizungumza leo Jumatatu Agosti 21,2023 Mkuu wa Wilaya Mboni Mhita ameishukuru na kuipongeza Taasisi ya CVT kwa kuanzisha Hospitali ya huduma za macho wilayani Kahama.
 
“Charity Vision Tanzania niwapongeze sana kwa kuwekeza kwenye changamoto za jamii, asanteni sana kwa kuleta huduma hii hapa Kahama. Nimeshuhudia vitendea kazi na mashine zilizopo hapa ni za kisasa, huduma zinatolewa kwa teknolojia ya hali ya juu”,amesema Mkuu huyo wa Wilaya.
 
“Niwashukuru CVT na wadau wetu Local Potential Enhancing kutoka Canada na Africa Relief & Community Development kwa kutuletea huduma za viwango vikubwa katika kutatua changamoto za macho. Wameleta vifaa, tunaamini kabisa watalaamu tulio nao watavuna ujuzi kutoka wa wadau wetu hawa wa kweli”,ameongeza Mboni.
 
Amesema serikali itaendelea kushirikiana na sekta binafsi katika kuboresha sekta ya afya kwani serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imefungua milango na kuruhusu sekta binafsi kushirikiana na serikali kuboresha sekta ya afya.
 
 
“Wananchi wa Kahama hawataki maneno maneno, hawataki mbambamba wakisikia huduma inatolewa wanachangamkia ndiyo maana wamejitokeza kwa wingi kupata huduma za matibabu ya macho. Huduma nyingi za macho hupatikana kwenye Hospitali za Rufaa, hazitolewi kwenye zanahati na vituo vya afya hivyo kupitia Kliniki hii wananchi watatumia fursa hii kwa huduma bora kwa gharama nafuu.
 
Kahama ni kubwa, nashukuru mmekubali ombi langu la kuwafikishia huduma za macho wananchi wanaoishi pembezoni katika halmashauri za Ushetu na Msalala, wazee wetu wapate huduma”,amesema Mhe. Mboni.
 
Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita (katikati) akikata utepe wakati wa uzinduzi wa  CVT Specialised Eye Clinic Kahama.
 
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Manispaa ya Kahama Dkt. Deogratius Nyaga ambaye ni Daktari Bingwa wa Macho akimwakilisha Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, amesema Kliniki hiyo ya CVT ina kila kitu, vifaa vingi vya kisasa hivyo itasaidia kwa kiasi kikubwa kufikia malengo ya nchi katika utoaji wa huduma bora za macho kwa wananchi.
 
 
Kwa upande wao, wadau wanaoshirikiana na CVT kutoa huduma za kibingwa za macho Dkt. Mohamed Habsah kutoka Shirika la Local Potential Enhancing Canada na Mkurugenzi wa Miradi kutoka Africa Relief & Community Development UK, Mohannad Jaber wamesema lengo la kuanzisha Kliniki ya Macho/Hospitali ya macho ni kutatua changamoto za macho kwa wakazi wa Kahama kwani furaha yao ni kuona wananchi wanapata huduma bora za macho kwa gharama nafuu.
 
 
Mkurugenzi wa Taasisi ya Charity Vision Tanzania (CVT), Yohana Baptist amesema wamekuwa wakishirikiana na wadau mbalimbali kutoa huduma za macho nchi nzima ambapo tangu waanze kutoa huduma za macho ndani ya miaka saba wamefanikiwa kutoa huduma za upasuaji wa macho kwa wateja zaidi ya 50,000 na tangu waanze kutoa huduma Wilayani Kahama Agosti 7,2023 mpaka wametoa huduma kwa wananchi zaidi ya 100 na mwitikio ni mkubwa.
 
Mkurugenzi wa CVT, Yohana Baptist akizungumza wakati wa uzinduzi wa CVT Specialised Eye Clinic Kahama.
 
“Tunahudumia pia hospitali za serikali na zisizo za serikali na tunashirikiana na madaktari bingwa binafsi. Tunatoa huduma za kutoa mtoto wa jicho kwa gharama nafuu kabisa kati ya shilingi 100,000/= hadi 150,000/=. Tumesogeza huduma za macho tukitumia madakari bingwa wa macho.
 
Tunawakaribisha wakazi wa Kahama na maeneo jirani kuja kupata huduma za macho. Tunaamini kabisa tutakuwa msaada mkubwa kwa serikali kwa kuhakikisha tunayafikia maeneo ambayo hayafikiki”,amesema Yohana.
 
 
Mkurugenzi wa Manispaa ya Kahama Mhe. Underson Msumba ambaye ni mmoja wa wanufaika wa huduma zinazotolewa CVT amewasihi wananchi kuchangamkia fursa ili kutatua changamoto za macho zinazowakabili.
 
 
Nao baadhi ya wananchi waliopata huduma ya matibabu ya macho akiwemo Masanja Kimbulu, Maria Juma na Julius Machagi wameishukuru CVT kwa kuwasogezea huduma za matibabu ya macho wakieleza kuwa huduma zinazotolewa ni bora na viwango vya juu na kuahidi kuwa mabalozi katika jamii kutangaza huduma za kibingwa zinazotolewa kwa kutumia vifaa vya kisasa.
Meneja Msaidizi wa CVT) Sophia Mshanga akizungumza wakati wa uzinduzi wa CVT Specialised Eye Clinic Kahama
 
 
HUDUMA ZINAZOTOLEWA CVT SPECIALISED EYE CLINIC KAHAMA
 
Huduma zinatolewa katika Hospitali maalumu ya Macho CVT Specialised Eye Clinic Kahama ni pamoja na Kuonana na Daktari Bingwa wa macho kwa ushauri na elimu juu ya magonjwa ya macho (Consultation/Ophthalmologist), Uchunguzi wa kina wa macho kwa vifaa vya kisasa (Comprehensive Eye Examination), Kipimo cha uoni wa pembeni kwa wagonjwa wa presha ya macho (Visual Field Analysis), Uchunguzi wa kina wa macho kwa wagonjwa wa kisukari (Diabetic Retinopathy), Usafishaji wa mtoto wa jicho kwa njia ya kawaida (Small Incision Cataract Surgery), Usafishaji wa mtoto wa jicho kwa njia ya teknolojia ya kisasa ( Phacoemulsification Cataract Surgery) na Huduma za mionzi ( Yag Laser Capsulotomy & Trabeculoplasty).
 
ANGALIA PICHA HAPA CHINI
Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita (katikati) akikata utepe leo Jumatatu Agosti 21,2023 wakati wa uzinduzi wa Hospitali Maalumu ya Huduma za Macho ‘CVT Specialised Eye Clinic’ iliyopo Mjini Kahama katika eneo la Phantom nyuma ya maegesho ya Malori. Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog 
Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita (katikati) na wadau wakikata keki wakati wa uzinduzi wa Hospitali Maalumu ya Huduma za Macho ‘CVT Specialised Eye Clinic’ iliyopo Mjini Kahama katika eneo la Phantom nyuma ya maegesho ya Malori. 
Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita  akizungumza wakati wa uzinduzi wa Hospitali Maalumu ya Huduma za Macho ‘CVT Specialised Eye Clinic’
Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita  akizungumza wakati wa uzinduzi wa Hospitali Maalumu ya Huduma za Macho ‘CVT Specialised Eye Clinic’
Dkt. Mohamed Habsah kutoka Local Potential Enhancing Canada na Mkurugenzi wa Miradi kutoka Africa Relief & Community Development UK, Mohannad Jaber (kulia0 wakifuatilia matukio wakati wa uzinduzi wa Hospitali Maalumu ya Huduma za Macho ‘CVT Specialised Eye Clinic’ 
Mkurugenzi wa Miradi kutoka Africa Relief & Community Development UK, Mohannad Jaber (katikati) akimuahidi  Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita kupeleka pia huduma za matibabu ya macho  katika Halmashauri ya Ushetu na Msalala badala la Manispaa ya Kahama pekee
Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita akiwashukuru wadau wanaoshirikiana na CVT kutoa huduma za kibingwa za macho Dkt. Mohamed Habsah kutoka Local Potential Enhancing Canada na Mkurugenzi wa Miradi kutoka Africa Relief & Community Development UK, Mohannad Jaber (katikati) kwa kukubali kupeleka pia huduma za matibabu ya macho  katika Halmashauri ya Ushetu na Msalala badala la Manispaa ya Kahama pekee
Mkurugenzi wa Taasisi ya Charity Vision Tanzania (CVT), Yohana Baptist  akizungumza wakati wa uzinduzi wa Hospitali Maalumu ya Huduma za Macho ‘CVT Specialised Eye Clinic’ iliyopo Mjini Kahama
Mkurugenzi wa Taasisi ya Charity Vision Tanzania (CVT), Yohana Baptist  akizungumza wakati wa uzinduzi wa Hospitali Maalumu ya Huduma za Macho ‘CVT Specialised Eye Clinic’ iliyopo Mjini Kahama

 

 

Dkt. Mohamed Habsah kutoka Local Potential Enhancing Canada akizungumza  wakati wa uzinduzi wa Hospitali Maalumu ya Huduma za Macho ‘CVT Specialised Eye Clinic’ 
Dkt. Mohamed Habsah kutoka Local Potential Enhancing Canada akizungumza  wakati wa uzinduzi wa Hospitali Maalumu ya Huduma za Macho ‘CVT Specialised Eye Clinic’ 
 Mkurugenzi wa Miradi kutoka Africa Relief & Community Development UK, Mohannad Jaber akizungumza wakati wa uzinduzi wa uzinduzi wa Hospitali Maalumu ya Huduma za Macho ‘CVT Specialised Eye Clinic’ 
 Mkurugenzi wa Miradi kutoka Africa Relief & Community Development UK, Mohannad Jaber akizungumza wakati wa uzinduzi wa uzinduzi wa Hospitali Maalumu ya Huduma za Macho ‘CVT Specialised Eye Clinic’ 
Julius Machagi akitoa ushuhuda namna alivyopata huduma za macho kupitia madakari bingwa kwenye Hospitali Maalumu ya Huduma za Macho ‘CVT Specialised Eye Clinic’ 
Meneja Msaidizi wa Taasisi ya Charity Vision Tanzania (CVT), Sophia Mshanga  akizungumza wakati wa uzinduzi wa Hospitali Maalumu ya Huduma za Macho ‘CVT Specialised Eye Clinic’ iliyopo Mjini Kahama
Mratibu wa Taasisi ya Charity Vision Tanzania (CVT), Mariam Mbijima akizungumza wakati wa uzinduzi wa Hospitali Maalumu ya Huduma za Macho ‘CVT Specialised Eye Clinic’ iliyopo Mjini Kahama
 Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Manispaa ya Kahama Dkt. Deogratius Nyaga ambaye ni Daktari Bingwa wa Macho akizungumza wakati wa uzinduzi wa Hospitali Maalumu ya Huduma za Macho ‘CVT Specialised Eye Clinic’ iliyopo Mjini Kahama
Mkurugenzi wa Manispaa ya Kahama Underson Msumba akizungumza wakati wa uzinduzi wa Hospitali Maalumu ya Huduma za Macho ‘CVT Specialised Eye Clinic’ iliyopo Mjini Kahama
Wadau wakifuatilia matukio wakati wa uzinduzi wa Hospitali Maalumu ya Huduma za Macho ‘CVT Specialised Eye Clinic
Meneja Msaidizi wa Taasisi ya Charity Vision Tanzania (CVT), Sophia Mshanga akimwelezea Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita (kushoto) kuhusu huduma zinazotolewa katika Hospitali Maalumu ya Huduma za Macho ‘CVT Specialised Eye Clinic’ iliyopo Mjini Kahama
Daktari Bingwa wa Macho Dkt. Japhet Boniphace akimwelezea Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita (kulia) namna wanavyotoa huduma za kibingwa  kwa kutumia vifaa vya kisasa katika Hospitali Maalumu ya Huduma za Macho ‘CVT Specialised Eye Clinic’ iliyopo Mjini Kahama
Daktari Bingwa wa Macho Dkt. Japhet Boniphace kutoka Dodoma RRH akimwelezea Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita (kushoto) namna wanavyotoa huduma za kibingwa  kwa kutumia vifaa vya kisasa katika Hospitali Maalumu ya Huduma za Macho ‘CVT Specialised Eye Clinic’ iliyopo Mjini Kahama
Daktari Bingwa wa Macho Dkt. Japhet Boniphace kutoka Dodoma RRH  akimwelezea Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita (kushoto) namna wanavyotoa huduma za kibingwa  kwa kutumia vifaa vya kisasa katika Hospitali Maalumu ya Huduma za Macho ‘CVT Specialised Eye Clinic’ iliyopo Mjini Kahama
 Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita (kulia) akipata maelezo juu ya huduma za kibingwa kwa kutumia vifaa vya kisasa zinazotolewa katika Hospitali Maalumu ya Huduma za Macho ‘CVT Specialised Eye Clinic’ iliyopo Mjini Kahama
Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita (katikati)  akisalimiama na wananchi waliopata huduma ya macho katika Hospitali Maalumu ya Huduma za Macho ‘CVT Specialised Eye Clinic’ iliyopo Mjini Kahama
Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita (kushoto)  akipata maelezo juu ya huduma za kibingwa kwa kutumia vifaa vya kisasa zinazotolewa katika Hospitali Maalumu ya Huduma za Macho ‘CVT Specialised Eye Clinic’ iliyopo Mjini Kahama
Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita (kushoto)  akipata maelezo juu ya huduma za kibingwa kwa kutumia vifaa vya kisasa zinazotolewa katika Hospitali Maalumu ya Huduma za Macho ‘CVT Specialised Eye Clinic’ iliyopo Mjini Kahama
Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita (kushoto) akiuliza swali juu ya huduma za kibingwa kwa kutumia vifaa vya kisasa zinazotolewa katika Hospitali Maalumu ya Huduma za Macho ‘CVT Specialised Eye Clinic’ iliyopo Mjini Kahama
Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita (kulia)  akipata maelezo juu ya huduma za kibingwa kwa kutumia vifaa vya kisasa zinazotolewa katika Hospitali Maalumu ya Huduma za Macho ‘CVT Specialised Eye Clinic’ iliyopo Mjini Kahama
Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita (kulia)  akipata maelezo juu ya huduma za kibingwa kwa kutumia vifaa vya kisasa zinazotolewa katika Hospitali Maalumu ya Huduma za Macho ‘CVT Specialised Eye Clinic’ iliyopo Mjini Kahama
Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita (katikati)  akiangalia miwani katika Hospitali Maalumu ya Huduma za Macho ‘CVT Specialised Eye Clinic’ iliyopo Mjini Kahama
Wadau mbalimbali wakiwa katika Hospitali Maalumu ya Huduma za Macho ‘CVT Specialised Eye Clinic’ iliyopo Mjini Kahama
 
Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 
 

About the author

Alex Sonna