Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

dedektör

vdcasino giriş

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

gameofbet

matbet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

jojobet giriş

betebet

gonebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

doeda

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

casibom

casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10 giriş

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

jojobet

ultrabet

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

starzbet

jojobet

Featured Kitaifa

TCDC YABAINI MAPUNGUFU KATIKA UTENDAJI KWA BAADHI YA VYAMA VYA USHIRIKA

Written by Alex Sonna

Mrajisi wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Dkt Benson Ndiege akziungumza na waandishi wa  habari kuhusu utendaji kazi na Mpango wa kuhimarisha Ushirika kwa Mwaka 2923/24.

Na Alex Sonna _Dodoma

TUME ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) imekuwa ikifanya ukaguzi wa mara kwa mara katika Vyama vya Ushirika lengo likiwa ni kubaini uzingatiwaji wa matakwa ya Sheria, Kanuni na Miongozo mbalimbali inayohusiana na utendaji wa Vyama vya Ushirika.

Hayo yamesemwa leo Agosti 11,2023 jijini hapa na Mrajisi wa vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa tume ya Maendeleo ya Ushirika Dkt Benson Ndiege Wakati alipokuwa akiongea na waandishi wa habari kuhusu utendaji kazi na Mpango was kuhimarisha Ushirika kwa Mwaka 2923/24.

Amesema katika kipindi cha mwaka 2022/2023 hadi kufikia Juni, 2023 TCDC ilifanya ukaguzi wa jumla ya Vyama vya Ushirika 4,712 kati ya vyama 7,300 vya ushirika kupitia Ofisi ya Tume Makao Makuu na Ofisi za Warajis Wasaidizi wa Mikoa.

“Matokeo ya kaguzi hizo yalionesha kuwepo kwa mapungufu katika utendaji wa Vyama vya Ushirika hususan maeneo ya uandishi wa vitabu, urasimishaji wa mali za Vyama, utunzaji wa nyaraka na kumbukumbu nyingine za Vyama, uzingatiaji wa miongozo ya Mrajis, na madeni ya muda mrefu katika taasisi za kifedha,” Amesema.

Kuhusu hali ya upatikanaji na usambazaji wa pembejeo alisema katika kuhakikisha kuwa wakulima na wanachama wa Vyama vya Ushirika wanahudumiwa kwa kusogezewa huduma karibu, Vyama vya ushirika vimekuwa vikiratibu upatikanaji pamoja na usambazaji wa pembejeo za kilimo.

“Hadi kufikia tarehe 30 Machi, 2023, jumla ya shilingi 449,922,623,196 (Shilingi 449.92 Bilioni) zilitumika kunununua pembejeo za kilimo kupitia Vyama vya Ushirika nchini kwa ajili ya wakulima kwa mazao mbalimbali,” Amesema .

Amesema Mbolea iliyonunuliwa na kusambazwa kwa wakulima kupitia vyama vya ushirika ni Tani 1,266,435 yenye thamani ya 227,983,187,800 (Shillingi 227.98 Bilioni).

Amesema upatikanaji wa huduma za ugani kupitia Vyama vya UshirikaTume ya Maendeleo ya Ushirika imeendelea kuhamasisha Vyama vya Ushirika kuhusu umuhimu wa upatinakaji wa huduma za ugani na pembejeo kwa wanachama kwa wakati.

Hadi sasa, Vyama vikuu vya Ushirika vimeajiri maafisa ugani 175 ambao wameendeleea kutoa huduma za ugani kwa wakulima katika mazao ya Tumbaku, Korosho, Pamba na Kahawa.

Amebainisha Tume ya Maendeleo ya Ushirika imelenga kwenye Kuimarisha Maendeleo ya Ushirika ambapo Tume ya Maendeleo ya Ushirika ambayo inahusisha Kamisheni, Menejimenti na Watumishi wengine, imejipanga katika mwaka 2023/2024 kutekeleza maeneo saba (7) ya Kimkakati yatakayolenga kufikia Kipaumbele hicho.

 

About the author

Alex Sonna