Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

holiganbet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

perabet

grandpashabet

grandpashabet

betsat

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

jojobet güncel giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

Featured Kitaifa

MWAROBAINI WA KUTOKOMEZA AJALI ZA BODABODA WILAYA YA CHAMWINO WAPA

Written by Alex Sonna

Na Okuly Julius-Dodoma

 

KATIKA kukabilia na ongezeko la ajali za barabarani nchini Chuo cha Udereva cha WIDE kwa kushirikiana na Serikali ya wilaya ya Chamwino wameanzisha programu ya mafunzo maalum kwa madereva pikipiki zaidi ya 600.

 
 
Akizungumza katika ufunguzi wa mafunzo hayo Mkuu wa Chuo hicho Faustine Matina, amesema lengo la mafunzo hayo ni kuwapatia elimu bodaboda ambao wamekuwa wakisababisha ajali kutokana na kukosa uelewa wa sheria za usalama barabarani.
 
 
“Lengo la mafunzo haya ni kutokana na ongezeko la ajali barabarani na bodaboda ni moja kati ya vyombo ambavyo vimekuwa vikisababisha ajali kwa wingi hali ambayo inasababisha wengi wao kupata ulemavu na wakati mwingine ajali hizo kusababisha vifo”amesisitiza Matina
 
 
Aidha amesema kwa mujibu wa ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabau za Serikali (CAG) ya hivi karibuni inaonyesha kuwa kumekuwa matukio mengi ya ajali nchini ambayo yanasababishwa na waendesha pikikipi maarufu kama bodaboda.
 
 
“Matukio hayo mengi yamekuwa yakisababisha vifo na ulemavu kwa baadhi yao hivyo sisi kama chuo kwa kushirikiana na serikali ya wilaya ya Chamwino tumeamua kuunga jitihada zinazofanywa na serikali yetu ya awamu sita kwa kutoa mafunzo haya ambapo yanalenga kuwafikia bodaboda zaidi ya 600 katika kata mbili za Buigiri na Chamwino Ikulu”amesema
 
 
Kadhalika, amesema lengo la mafunzo hayo ni kuwafikia waendesha pikipiki wote zaidi ya 1,800 wa wilaya ya Chamwino ili kupunguza ajali za barabarani na kuufanya usafiri huo kuwa salama kwa watumiaji.
 
 
Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Buigiri Kenneth Yindi ambaye ndio mhanasishaji Mkuu wa Mafunzo hayo amesema kuwa wanatekeleza agizo la Mkuu wa Wilaya ya Chamwino la kuwataka Madereva wote wa Bodaboda kupata Mafunzo na leseni ili wawe kamili barabarani na kuepusha ajali.
 
 
“Tupo hapa kutekeleza agizo la Mkuu wetu wa Wilaya ambalo ni kuwataka Bodaboda wote kupata Mafunzo haya baada ya hapa hutaruhusiwa kuendesha pikipiki kama huna cheti na leseni ni bora ukafanye kazi nyingine tofauti na Bodaboda,”
 
 
Na kuongeza kuwa “hakuna Afisa usafirishaji ambaye Hana cheti Wala leseni ya Udereva Kwa hivyo ili kukidhi vigezo vya kuwa Afisa usafirishaji ni muhimu sana kupata Mafunzo na ukizingatia Chamwino ni Sebule ya Ikulu hatutaweza kuvumilia yeyote ambaye hatakuwa amekamilisha vigezo vya kuwa barabarani,”amesisitiza Yindi
 
 
Naye Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani wilaya ya Chamwino, ASP Bwire Machunde amewataka waendesha pikipiki wote wa wilaya hiyo kujitokeza kupata mafunzo hayo ili kujengewa uwezo wa kutambua sheria za usalama barabarani na kutambua haki zao.
 
 
“Bodaboda wote mnatakiwa kuja kupata mafunzo haya ili kusaidia kupunguza tatizo la ajali nchini mara baada ya mafunzo hayo kutakuwa na msako kwa watu ambao wanaendesha vyombo vyao bila kuwa na mafunzo ya usalama barabarani”amesema ASP Bwire
 
 
Baadhi ya bodaboda walioshiriki mafunzo hayo waliishukuru serikali kwa kuwapatia fursa hiyo ambayo inakwenda kuwasadia kuondokana na ajali za barabarini.
 
 
Nyemo Chedego, amesema moja ya sababu ambazo zimekuwa zikichangia ongezeko la ajali nchini ni pamoja na bodaboda wengi kuendesha vyombo vya moto bila ya kuwa na mafunzo rasmi kutoka vyuo vinayotambulika.
 
 
“Mafunzo haya kwetu yamekuja wakati mwafaka kwani watu wengi wamekuwa wakipata ajali na wengine kufa kutokana na kutokujua sheria za usalama barabarani hivyo mafunzo haya yatakwenda kuwa msaada kwetu kuondokana na hali hiyo”amesema Chedego

 

About the author

Alex Sonna