marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

pusulabet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

grandpashabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

sonbahis

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

imajbet

klasbahis

savoybetting giriş

goldenbahis

savoybetting

klasbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

matbet, matbet giriş

betcio, betcio giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

sahabet

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

casibom

marsbahis

jojobet giriş

jojobet

alobet

alobet giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

trendbet giriş

bets10

jojobet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

trendbet

imajbet giriş

milanobet

imajbet

perabet giriş

perabet

ngsbahis

kralbet giriş

milanobet giriş

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

deneme bonusu

kingroyal

trust score weak 3

jojobet

slot siteler

casino siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betsat

betsat giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu veren siteler

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

marsbahis, marsbahis giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

superbetin

madridbet

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

tipobet giriş

romabet

piabellacasino

güvenli casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

Featured Kitaifa

BENKI YA NMB YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA ZAHANATI YA LYABUKANDE, MWABENDA NA HOSPITALI YA WILAYA YA SHINYANGA

Written by Alex Sonna

 

Meneja wa NMB Kanda ya Magharibi Seka Urio (wa pili kushoto) akimkabidhi kitanda na godoro, Katibu Tawala wa Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga Saidi Kitinga (kushoto) kwa niaba ya Mkuu wa wilaya ya Shinyanga

 

Meneja wa NMB Kanda ya Magharibi Seka Urio (katikati) akimkabidhi kitanda na godoro, Katibu Tawala wa Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga Saidi Kitinga (kushoto) kwa niaba ya Mkuu wa wilaya ya Shinyanga
 
Na MWANDISHI WETU – MALUNDE 1 BLOG
 
Benki ya NMB Kanda ya Magharibi imetoa msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya Shilingi Milioni 25.8 (Tshs 25,844, 075/=) katika  zahanati ya Lyabukande na Mwabenda pamoja na Hospitali ya wilaya ya Shinyanga ikiwa ni sehemu ya ushiriki wa Benki hiyo katika maendeleo ya jamii  kwani ina wajibu wa kuhakikisha jamii inayowazunguka inafaidika kutokana na faida wanayoipata.
 
 
Akizungumza leo Jumatatu Agosti 7,2023 wakati wa hafla ya makabidhiano ya vifaa tiba hivyo, Meneja wa NMB Kanda ya Magharibi Seka Urio amesema Benki ya NMB ni kinara katika kujali na kujihusisha na masuala mbalimbali ya jamii hapa nchini na kwamba changamoto za sekta ya afya Tanzania kwa benki ya NMB ni jambo la kipaumbele, na hii ni kutokana na ukweli kwamba afya ni mtaji wa maendeleo kwa taifa lolote hapa duniani.
 
 
Amesema katika Hospitali ya Wilaya ya Shinyanga wamekabidhi Wheel chairs 4, Stretchers 4,Vitanda vya hospitali 10,Godoro za Hospitali 10, Mashuka 50, vyenye thamani ya Tshs 12,347,350/=, kwa Zahanati ya Lyabukande ni Wheel chairs 2, Vitanda vya kujifungulia 2 Vitanda vya Hospitali 5, Magodoro ya hospitali 5, mashuka 50,vyenye thamani ya Tshs 6,852,425/= na kwa zahanati ya Mwabenda wheel chair 2, vitanda vya kujifungulia 2, Vitanda vya Hospitali 5, magodoro ya hospitali 5, mashuka 50,vyenye thamani ya Tshs 6,852,425/= .
“Tulipopata maombi haya ya kuchangia maendeleo ya afya katika Wilaya ya Shinyanga, tulifarijika na kuamua mara moja kuja kushirikiana nanyi ili kuwa chachu ya maendeleo ya sekta hii muhimu kwa jamii yetu. Na hasa katika Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga na hususani katika hospitali ya Wilaya ya Shinyanga, Zahanati ya Lyabukande na Zahanati ya Mwabenda. Jumla ya msaada huu tuliotoa una thamani ya Tshs 25,844,075”,ameeleza Urio.
 
 
“Benki ya NMB imekuwa ikipokea maombi mengi sana ya kuchangia katika miradi ya jamu, lakini benki imejikita zaidi katika maeneo ya elimu, afya, na misaada ya hali na mali katika nyakati ngumu kama za majanga. Benki NMB tumekuwa mstari wa mbele kuchangia huduma za kijamii kwa lengo la kurejesha sehemu ya faida yetu kwa jamii. Ni kwa zaidi ya miaka saba mfululizo tumekuwa tukitenga asilimia 1% ya faida yetu kama sehemu ya uwajibikaji kwa jamii inayotunzunguka”,ameeleza Urio.
“Tunatambua juhudi za Serikali ya awamu ya sita chini ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan za kusimamia upatikanaji wa huduma bora za afya kwa nguvu zote kwa kuboresha mazingira ya utoaji wa huduma hizi mjini na vijijini; hatuna budi kuipongeza Serikali kwa hilo. Pamoja na makubwa mengi yanayofanywa na Serikali, sisi kama wadau tunao wajibu wa kuunga mkono juhudi hizi za maendeleo kwa kusaidia jamii zetu kwani jamii hizi ndio zimeifanya benki ya NMB kuwa hapa ilipo na kubwa kuliko benki yoyote hapa nchini. Tunatambua kuwa ni kupitia jamii ndipo wateja wetu wengi wanapotoka, kwa hiyo kurudisha sehemu ya faida kwa jamii ni utamaduni wetu”,ameongeza Urio.
 
 
Aidha amebainisha kuwa, kwa miaka kadhaa sasa, NMB imekuwa ikisaidia miradi mbalimbali ya maendeleo kwa wananchi kwa kujikita zaidi kwenye miradi ya elimu (madawati na vifaa vya kuezeka), afya (vitanda, magodoro yake na vifaa vingine vya kusaidia matibabu) na kusaidia majanga yanayoipata nchi ya Tanzania.
 
 
Urio amefafanua kuwa Benki NMB ndiyo benki inayoongoza nchini huku tukiwa na matawi 229 , mashine za ATM zaidi ya 780 nchi nzima, NMB Wakala zaidi ya 20,000 pamoja na idadi ya wateja zaidi ya milioni 6 idadi ambayo ni hazina kubwa ukilinganisha na benki nyingine hapa nchini lakini pia NMB imezifikia Wilaya zote nchini kwa asilimia 100% na tunaendelea kuboresha huduma za kibenki kwa njia ya mitandao ili kuwafikia wateja wengi zaidi kwa njia rahisi na salama.
Akipokea vifaa tiba hivyo kwa niaba ya Mkuu wa wilaya ya Shinyanga, Katibu Tawala wa Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga Saidi Kitinga ameishukuru Benki ya NMB kwa msaada huo katika sekta ya afya huku akiwataka wahudumu wa afya kuvitunza vifaa hivyo ili viwe na manufaa na kuleta tija iliyokusudiwa.
 
 
Nao Diwani wa kata ya Iselamagazi Isack Sengerema na diwani wa Kata ya Lyabukande Luhende William Kawiza wameishukuru Benki ya NMB kwa kuendelea kuikumbuka sekta ya afya katika wilaya ya Shinyanga.

About the author

Alex Sonna