Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

https://guinguinbali.com/

boostaro review

NervEase

vdcasino

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

maritbet giriş

hiltonbet

sekabet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

Betoffice

marsbahis

mislibet

imajbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

betoffice

coinbar

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

matbet, matbet giriş

perabet, perabet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

holiganbet

meritking

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

piabellacasino

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

meritking

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

tarafbet

betebet

truvabet, truvabet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

meritking giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

hititbet giriş

hititbet

hititbet

hititbet giriş

ultrabet

pusulabet

grandpashabet giriş

jojobet

pokerklas

jojobet giriş

marsbahis

marsbahis

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

royalbet giriş

hititbet

hititbet giriş

hititbet giriş

hititbet

betpark giriş

trendbet

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

Meritking

deneme bonusu

İkimisli

onwin

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

goldenbahis

artemisbet

imajbet

artemisbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

madridbet

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

cratosroyalbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

casino siteleri

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

artemisbet giriş

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

piabellacasino giriş

holiganbet

celtabet

holiganbet

trust score weak 3

jojobet

ikimisli giriş

bonus veren casino siteleri

mislibet

kavbet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet

pokerklas

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

mobilbahis

casibom giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

betpas

1xbet

casibom giriş

restbet

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

dizipal

casibom

interbahis, interbahis giriş

betcio, betcio giriş

pokerklas, pokerklas giriş

betsat

superbetin

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

piabellacasino

betturkey

sweet bonanza

bets10 güncel giriş adresi

madridbet

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

interbahis

winxbet, winxbet giriş

grandpashabet

millibahis

piabet

palacebet

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

deneme bonusu veren siteler

slot siteleri

holiganbet giriş

casibom giriş

holiganbet

holiganbet giriş

turkey dental implants

dental implants turkey

betturkey

pusulabet

sekabet

marsbahis

matbet

imajbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

pokerklas

pokerklas

meritking

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

marsbahis

jojobet

pokerklas

holiganbet

marsbahis

holiganbet

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

marsbahis

grandpashabet

holiganbet

jojobet

holiganbet

holiganbet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

marsbahis

jojobet

herabet

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

tipobet

meritking

meritking giriş

truvabet

betgaranti

betoffice

perabet

Bet365 Giriş

ilbet

ilbet giriş

turkey dental implants

roketbet 2026

vdcasino

casibom

deneme bonusu

safirbet

pokerklas

pokerklas

betkare

imajbet

betpark

betpark

bets10

truvabet

Featured Kitaifa

MAKAMU WA RAIS AZINDUA KAMPENI YA MSAADA WA SHERIA YA MAMA SAMIA – RUVUMA

Written by Alex Sonna

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akihutubia Viongozi, Wadau wa Sheria pamoja na wananchi mbalimbali waliojitokeza katika Uwanja wa Majimaji uliopo Songea mkoani Ruvuma wakati wa Uzinduzi wa Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (Mama Samia Legal Aid Campaign) kwa mkoa wa Ruvuma leo tarehe 22 Julai 2023.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Damas Ndumbaro pamoja na viongozi wengine mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Majimaji uliopo Songea mkoani Ruvuma kuzindua Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (Mama Samia Legal Aid Campaign) kwa mkoa wa Ruvuma leo tarehe 22 Julai 2023.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisikiliza maelezo kutoka kwa washiriki mbalimbali wanaotoa huduma za msaada wa kisheria wakati akitembelea mabanda katika Uzinduzi wa Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (Mama Samia Legal Aid Campaign) kwa mkoa wa Ruvuma iliofanyika katika Uwanja wa Majimaji uliopo Songea mkoani Ruvuma. Tarehe 22 Julai 2023.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwasalimu wananchi mbalimbali waliojitokeza katika Uwanja wa Majimaji uliopo Songea mkoani Ruvuma wakati alipowasili kuzindua Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (Mama Samia Legal Aid Campaign) kwa mkoa wa Ruvuma leo tarehe 22 Julai 2023.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akihutubia Viongozi, Wadau wa Sheria pamoja na wananchi mbalimbali waliojitokeza katika Uwanja wa Majimaji uliopo Songea mkoani Ruvuma wakati wa Uzinduzi wa Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (Mama Samia Legal Aid Campaign) kwa mkoa wa Ruvuma leo tarehe 22 Julai 2023.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia inapaswa kuangazia changamoto zinazowagusa wananchi wa hadhi zote wakiwemo watu wenye ulemavu na wanaofanyiwa ukatili wa kijinsia.

Makamu wa Rais amesema hayo leo tarehe 22 Julai 2023 wakati akizindua Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (Mama Samia Legal Aid Campaign) kwa mkoa wa Ruvuma, uzinduzi uliofanyika katika Uwanja wa Majimaji uliopo Songea mkoani humo.

  Amesema kumekuwepo na ongezeko la vitendo vya ukatili wa kijinsia hapa nchini ambapo takwimu za Januari – Disemba 2022 zinaonesha matukio ya ukatili yaliyokuwa mengi zaidi ni ubakaji ambayo ni 6,335, ulawiti 1,555 na mimba za utoto 1,557.

Ametoa wito kwa Kampeni hiyo kusaidia waathirika wa vitendo hivyo kupata haki zao pamoja na kuagiza vyombo vya dola kuendelea kuchukua hatua kali za kisheria dhidi ya watuhumiwa wote wa matukio hayo.

Halikadhalika Makamu wa Rais amesema Kampeni hiyo inapaswa kutoa elimu ya kutosha kuhusu taratibu za kufuata ili kutekeleza Hukumu za Mahakama na kupata haki kwani hivi sasa kumekuwepo na wananchi ambao wameshinda kesi mahakamani lakini wamebaki na hukumu zao mikononi bila kupata haki zao.

Aidha Makamu wa Rais ametoa wito kwa Watanzania kujijengea utamaduni wa kuandika wosia mapema ili kuepusha migogoro ya kifamilia inayotokea pindi mwanafamilia mmoja anapofariki. Amesema kumekuwepo na migogoro mingi ya mirathi inayotokana na watu wengi kutokuandika wosia wakiwa hai hali inayochangiwa na imani miongoni mwa jamii kuwa kuandika wosia ni kujitabiria kifo.

Ameilekeza Wizara ya Katiba na Sheria na Ofisi ya Kabidhi Wasii Mkuu kuongeza jitihada za kutoa elimu kuhusu uandaaji wa wosia na masuala ya mirathi kwa ujumla. 

Katika hatua nyingine Makamu wa Rais amevitaka vyombo vya ulinzi na usalama, kudhibiti hali ya uingizaji wa mifugo kinyume na sheria inayoendelea katika mkoa wa Ruvuma hususani Wilaya ya Tunduru, Namtumbo na Songea Vijijini. Amesema kumekuwepo na taarifa ya uingizwaji mifugo inayofanywa na viongozi pamoja na baadhi ya matajiri wa mifugo kutoka nchi jirani ambao wanatoa fedha ili waweze kuingiza mifugo hiyo.

Makamu wa Rais ameitaka Wizara ya Mifugo na Uvuvi na Wizara ya Ardhi kufanya kazi ya dharura kutenga na kupima vitalu na mashamba ya mifugo na wamiliki wa mifugo watakiwe kujenga malambo ya maji katika vitalu na mashamba hayo.   

Vilevile Makamu wa Rais ameigiza Wizara ya Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi kuongeza kasi ya upimaji na upangaji wa miji ikiwa ni pamoja na kurasimisha makazi ya wananchi kwa kuzingatia sheria. Amesema Sekta ya ardhi imeendelea kukabiliwa na migogoro mingi ikiwa kwa sehemu kubwa migogoro hiyo inachangiwa na maeneo mengi kutopimwa na kupangiwa matumizi sahihi pamoja na baadhi ya wananchi kuvamia maeneo ya hifadhi na shoroba za wanyama.

Makamu wa Rais amevitaka vyombo vinavyosimamia sheria ikiwemo jeshi la polisi na Ofisi ya Mashtaka ya Taifa kuzingatia sheria katika utekelezaji wa majukumu yao. Amesema kumekuwepo na malalamiko ya wananchi wengi yanahusu ukiukwaji wa haki za watumiwa ikiwemo kukamatwa bila kufuata taratibu, kunyimwa dhamana kinyume cha sheria, kupekuliwa bila kufuata taratibu, rushwa na kukaa mahabusu muda mrefu bila kufunguliwa mashitaka.

Makamu wa Rais amesema Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia inapaswa kutoa kipaumbele katika kutoa elimu kuhusu haki za watu wenye ulemavu. ameilekeza Wizara ya Katiba na Sheria kushirikiana na Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kutoa elimu kwa jamii na kusimamia utekelezaji wa Sheria ya Watu enye Ulemavu Na. 9 ya mwaka 2010. 

Kwa upande wake Waziri wa Katiba wa Sheria Dkt. Damas Ndumbaro amesema Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia ni mkakati unaotekeleza maono ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan wenye lengo la kuongeza uelewa wa sheria na haki za binadamu kwa wananchi wote hususani wanawake,watoto na makundi maalum.

Dkt. Ndumbaro ameongeza kwamba Kampeni hiyo itasaidia kuimarisha huduma za ushauri na msaada wa kisheria hususani kwa wananchi wanaoishi maeneo ya pembezoni mwa nchi. Amesema kampeni ya msaada wa kisheria ya Mama Samia itapita katika kila wilaya, kata, kitongoji, taasisi mbalimbali kama vile za elimu pamoja na maeneo ya vizuizi ikiwemo mahabusu na magereza. 

Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (Mama Samia Legal Campaign) inatekelezwa kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia Machi, 2023 hadi Februari, 2026 ikitarajiwa kuwafikia katika Mikoa yote ya Tanzania Bara na Zanzibar. Mkoa wa Ruvuma ni mkoa wa nne kuzindua kampeni hiyo ukitanguliwa na mikoa ya Dodoma, Manyara na Shinyanga.

About the author

Alex Sonna