Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

mavibet

setrabet

betebet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10

dinamobet giriş

casibom

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

ultrabet

fixbet

fixbet

casibom

fixbet

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

türk porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

pokerklas giriş

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet güncel giriş

girne escort

magusa escort

slot siteleri

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Featured Kimataifa

WAKATI TANZANIA WANALUMBANA, KENYA MBIONI KUSAINI MIKATABA YA UWEKEZAJI NA DUBAI

Written by Alex Sonna

 

 

* Zambia, DRC nazo zakimbilia uwekezaji wa UAE

Na Mwandishi Wetu, Nairobi

WAKATI baadhi ya wanasiasa wa upinzani na wanaharakati wakipinga mpango wa kampuni ya DP World ya Dubai kuwekeza kwenye bandari ya Dar es Salaam, Kenya imetangaza maamuzi ya kusaini mikataba ya uwekezaji na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).

 

Rais William Ruto ametangaza kupitia akaunti yake ya Twitter leo kuwa amefanya mazungumzo kwenye Ikulu ya Nairobi, Kenya, na Waziri wa Mambo ya Nje wa UAE, Sheikh Shakhboot bin Nahyan Al Nahyan, kujadili fursa za uwekezaji.

 

“Kenya na Umoja wa Falme za Kiarabu watasaini makubaliano ya uwekezaji ambayo yataimarisha uhusiano kati ya nchi zetu na kutengeneza fursa kwa wananchi wetu,” Rais Ruto alisema.

 

Alisema kuwa makubaliano hayo ya uwekezaji kati ya Kenya na UAE yatajikita kwenye maeneo mbalimbali, ikiwemo miundombinu ya usafirishaji.

 

Waziri Shakhboot wa UAE pia amefanya ziara kwenye Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na kukutana na Rais Felix Tshisekedi kujadiliana kuhusu fursa za uwekezaji.

 

Zambia pia nayo imekuwa ikifanya jitihada kubwa kuvutia uwekezaji kutoka UAE.

 

Serikali ya Ruto imeanza jitihada kubwa ya kutafuta wawekezaji binafsi kama DP World kwenye bandari zake na miundombinu mingine ya usafirishaji.

 

Kampuni ya DP World ya Dubai, ambayo ndiyo kitovu cha uchumi cha UAE, mwaka jana ilifanya mazungumzo na Serikali iliyopita ya Rais Uhuru Kenyatta kuhusu uendeshaji wa bandari za Kenya, ikiwemo Mombasa.

 

Wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Kenya mwaka jana, umoja wa upinzani wa Kenya Kwanza unaoongozwa na Ruto ulipinga mpango wa Rais Kenyatta wa kujadiliana na DP World na kumshutumu kuwa anapanga kuuza bandari.

 

Lakini baada ya kuingia madarakani, serikali ya Rais Ruto imegeuka na kufufua mpango wa kutaka kukodisha bandari za nchi hiyo kwa wawekezaji binafsi kama DP World ili kuongeza ufanisi.

 

Wakati Kenya wanachukua hatua za haraka kuvutia uwekezaji kutoka Dubai, nchini Tanzania kumekuwa na mjadala mrefu kuhusu mpango wa kampuni ya DP World kufanya uwekezaji kwenye bandari ya Dar es Salaam.

 

Licha ya makelele mengi yanayopigwa na viongozi wa upinzani na wanaharakati, uwekezaji binafsi kwenye bandari siyo jambo geni nchini Tanzania.

 

Kampuni ya TICTS yenye makao makuu Hong Kong, ilipewa mkataba kuendesha eneo la makontena la bandari ya Dar es Salaam kwa zaidi ya miaka 22 chini ya uongozi wa marais Benjamin Mkapa, Jakaya Kikwete na John Magufuli.

 

Mataifa mbalimbali duniani, ikiwemo Marekani, Uingereza, China, Canada, Uholanzi, Korea Kusini, Afrika Kusini, Brazil, Norway, Uswisi, Ujerumani, Ufaransa, India, Uturuki, Australia, Msumbiji, Senegal, Misri na Rwanda yameingia mkataba na DP World kuendesha bandari zao.

 

Rais Samia Suluhu Hassan ameonya hivi karibuni kuwa iwapo Tanzania haitachukua fursa ya uwekezaji binafsi kwenye bandari ya Dar es Salaam kwa haraka, inaweza kupoteza fursa hiyo na ikachukuliwa na nchi jirani.

 

Kumekuwa na upotoshaji mkubwa kwenye mjadala wa uwekezaji binafsi katika bandari ya Dar es Salaam, huku baadhi ya wanasiasa wakisambaza uongo kuwa bandari imeuzwa ili kuibua taharuki kwa wananchi.

About the author

Alex Sonna