Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

mavibet

setrabet

betebet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10

dinamobet giriş

casibom

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

ultrabet

fixbet

fixbet

casibom

fixbet

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

türk porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

pokerklas

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet güncel giriş

girne escort

magusa escort

slot siteleri

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

pusulabet

Featured Kitaifa

KATAMBI AGAWA MAJIKO YA GESI SHINYANGA MJINI

Written by Alex Sonna

 

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme (wa pili kushoto) akikabidhi majiko ya gesi yaliyotolewa na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Patrobas Katambi  (aliyevaa shati la kijani) ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini kwa mmoja wa wajasiriamali

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme (wa pili kushoto) akikabidhi majiko ya gesi yaliyotolewa na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Patrobas Katambi  (aliyevaa shati la kijani) ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini kwa mpika/muuza kahawa mjini Shinyanga
 
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Patrobas Katambi ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini ametoa msaada wa Majiko 665 ya Gesi yenye thamani ya shilingi milioni 30 kwa wajasiriamali wakiwemo wauza kahawa, mama lishe na baba lishe na makundi mbalimbali ya wananchi katika jimbo hilo lenye jumla ya kata 17 ili kutunza mazingira kwa kutumia nishati mbadala na kumtua mama kuni kichwani.
 
 
Hafla ya makabidhiano ya Majiko hayo ya gesi iliyoambatana na utoaji elimu kuhusu matumizi ya majiko ya gesi imefanyika leo Ijumaa Julai 21,2023 katika ukumbi wa CCM Mkoa wa Shinyanga ambapo mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme.
 
Akizungumza wakati wa hafla hiyo, Mkuu huyo wa Mkoa amempongeza Mhe. Katambi kwa jihihada mbalimbali anazofanya katika kuwaletea maendeleo wananchi wa Shinyanga huku akieleza kuwa majiko hayo ni sehemu ya utunzaji mazingira kwa kutumia nishati mbadala ili kuepukana na matumizi ya kuni na mkaa lakini pia kupunguza muda wa kupika.
 
“Asante sana Mhe. Mbunge kwa kutuletea majiko haya Rafiki kwa mazingira, sasa tutapika kwa wakati mfupi na urembo wetu utaongezeka kwa sababu hatuchafuki. Tunakushukuru kwa kuwajali wananchi kata zote za Jimbo la Shinyanga. Nendeni mkatumie majiko haya ya kisasa na ndoa zitaenda kuimarika”,amesema Mndeme.
“Kati ya wabunge wanaofanya kazi vizuri, Katambi yumo. Katambi ni kijana mchapakazi na msikivu sana, mlifanya maamuzi sahihi kuchagua mbunge huyu. Naomba tumuunge mkono, tusimkatishe tamaa, tumtie moyo na tumuunge mkono kwa kumpa ushirikiano, huyu ni mtoto wetu tusitafute mtoto mwingine”,amesema Mhe. Mndeme.
 
“Hapa tulipo tunafanya kazi ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM, na Mbunge huyu anatekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM kwa vitendo”,ameongeza.
 
Katika hatua nyingine Mhe. Mndeme amemshukuru Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa fedha nyingi anazoendelea kutoa kwa ajili ya maendeleo katika sekta mbalimbali.
 
Aidha amewahakikishia wajasiriamali na wafanyabiashara kuwa serikali itaendelea kuwapa ushirikiano huku akiwahakikishia kuwa hakuna mtu atawasumbua kwenye maeneo yao ya biashara.
 
Katika hatua nyingine amewataka wananchi kuwapuuza baadhi ya watu wanaopotosha kuwa Bandari ya Dar es salaam na nchi imeuzwa akisema serikali ina nia njema ya kufanya uwekezaji kwenye bandari ili kuongeza tija kwa ajili ya maendeleo ya nchi.
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Patrobas Katambi ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini 
 
Kwa upande wake, Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini Mhe. Patrobas Katambi amesema ataendelea kutoa majiko ya gesi kwa makundi mbalimbali ya wananchi katika jimbo hilo kwani serikali imedhamiria kumtua mama kuni kichwani.
 
“Kauli mbiu yetu ni Shinyanga yetu, jukumu langu na tunatoa majiko haya ya gesi kwani tumedhamiria kumtua ndoo mama kichwani, tumeweza na sasa tunamtua mama kuni kichwani.Tumeanza na viongozi tumewapa majiko ya gesi lakini pia wamepewa elimu ya matumizi ya majiko ya gesi”,amesema Katambi.
 
“Nilipiga hodi Kampuni ya Oryx kwa ajili ya mahitaji ya majiko ili kumuunga mkono Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan katika kutunza mazingira. Tunamtua mama kuni kichwani, leo ni awamu ya kwanza, tutakuja awamu ya pili kugawa majiko ya gesi kwa makundi mbalimbali ya wananchi”,amesema Katambi.
 
Katika hatua nyingine amesema serikali imeendelea kuleta maendeleo mbalimbali katika sekta ya barabara, maji, elimu, afya na sekta zingine na kwamba inaendelea kutoa fedha kwa ajili ya maendeleo.
 
Kuhusu Uwekezaji katika Bandari, Mhe. Katambi amesema jambo hilo lina ugumu katika kulielewa kwa sababu kuna baadhi ya wanasheria hawajalielewa vizuri licha ya kwamba ni wanasheria kwa sababu ni jambo la kitaalamu zaidi.
 
“Watanzania wasiburuzwe kwenye jambo, watanzania watoe maoni kwa ajili ya maslahi ya nchi. Kinachofanyika ni uboreshaji kwenye Bandari, ifike mahali tuwaamini viongozi wetu, kama hakuna maslahi ya nchi hatuwezi kukubaliana”,amesema Katambi.
 
Nao baadhi ya wananchi walionufaika na msaada huo wamemshukuru Mhe. Katambi kwa kuwapatia majiko hayo ya gesi.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akizungumza wakati akikabidhi majiko ya gesi yaliyotolewa na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Patrobas Katambi ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini kwa wajasiriamali na viongozi wa makundi mbalimbali katika Jimbo la Shinyanga Mjini leo Ijumaa Julai 21,2023 katika ukumbi wa CCM Mkoa wa Shinyanga. Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akizungumza wakati akikabidhi majiko ya gesi yaliyotolewa na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Patrobas Katambi ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini kwa wajasiriamali na viongozi wa makundi mbalimbali katika Jimbo la Shinyanga Mjini
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akizungumza wakati akikabidhi majiko ya gesi yaliyotolewa na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Patrobas Katambi ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini kwa wajasiriamali na viongozi wa makundi mbalimbali katika Jimbo la Shinyanga Mjini
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akizungumza wakati akikabidhi majiko ya gesi yaliyotolewa na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Patrobas Katambi ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini kwa wajasiriamali na viongozi wa makundi mbalimbali katika Jimbo la Shinyanga Mjini
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Patrobas Katambi ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini akizungumza wakati wa kukabidhi majiko ya gesi kwa wajasiriamali na viongozi wa makundi mbalimbali katika Jimbo la Shinyanga Mjini
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Patrobas Katambi ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini akizungumza wakati wa kukabidhi majiko ya gesi kwa wajasiriamali na viongozi wa makundi mbalimbali katika Jimbo la Shinyanga Mjini
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Patrobas Katambi ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini akizungumza wakati wa kukabidhi majiko ya gesi kwa wajasiriamali na viongozi wa makundi mbalimbali katika Jimbo la Shinyanga Mjini
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Patrobas Katambi ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini akizungumza wakati wa kukabidhi majiko ya gesi kwa wajasiriamali na viongozi wa makundi mbalimbali katika Jimbo la Shinyanga Mjini
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Patrobas Katambi ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini akizungumza wakati wa kukabidhi majiko ya gesi kwa wajasiriamali na viongozi wa makundi mbalimbali katika Jimbo la Shinyanga Mjini
Muonekano wa sehemu ya majiko ya gesi yaliyotolewa na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Patrobas Katambi ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini kwa wajasiriamali na viongozi wa makundi mbalimbali katika Jimbo la Shinyanga Mjini
Muonekano wa sehemu ya majiko ya gesi yaliyotolewa na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Patrobas Katambi ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini kwa wajasiriamali na viongozi wa makundi mbalimbali katika Jimbo la Shinyanga Mjini
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme (wa tatu kushoto) akikabidhi majiko ya gesi yaliyotolewa na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Patrobas Katambi  (aliyevaa shati la kijani) ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini kwa wajasiriamali na viongozi wa makundi mbalimbali katika Jimbo la Shinyanga Mjini
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme (wa pili kushoto) akikabidhi majiko ya gesi yaliyotolewa na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Patrobas Katambi  (aliyevaa shati la kijani) ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini kwa wajasiriamali na viongozi wa makundi mbalimbali katika Jimbo la Shinyanga Mjini
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme (wa tatu kushoto) akikabidhi majiko ya gesi yaliyotolewa na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Patrobas Katambi  (aliyevaa shati la kijani) ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini kwa wajasiriamali na viongozi wa makundi mbalimbali katika Jimbo la Shinyanga Mjini
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme (wa pili kushoto) akikabidhi majiko ya gesi yaliyotolewa na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Patrobas Katambi  (aliyevaa shati la kijani) ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini kwa wajasiriamali na viongozi wa makundi mbalimbali katika Jimbo la Shinyanga Mjini
Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Kampuni ya Oryx, Peter Ndomba akizungumza wakati Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akikabidhi majiko ya gesi yaliyotolewa na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Patrobas Katambi ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini kwa wajasiriamali na viongozi wa makundi mbalimbali katika Jimbo la Shinyanga Mjini
Maafisa kutoka Kampuni ya Oryx wakitoa elimu ya matumizi ya jiko la gesi
Madiwani wakizungumza wakati wa hafla ya ugawaji majiko ya gesi

About the author

Alex Sonna