marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet giriş

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

sapanca escort

sapanca escort

vdcasino

vdcasino

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

bets10

milanobet

holiganbet

casibom

dizipal

1xbet giriş

1xbet

tambet

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

perabet giriş

imajbet

grandbahis giriş

imajbet

grandbahis

imajbet giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

ultrabet, ultrabet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

superbetin

trimology review

celtabet

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

starzbet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

aaa

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

taksimbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

bets10

Milanobet

jojobet

cratosroyalbet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

betsat

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

padişahbet

holiganbet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

cratosroyalbet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

esbet

vdcasino

bets10 giriş

perabet

efesbet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

perabet

สล็อตเว็บตรง

zirvebet

superbetin

jojobet

deneme bonusu veren siteler

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

celtabet

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

sorgu paneli

galabet, galabet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

roketbet, roketbet giriş

betsat

holiganbet

betsat

betsat giriş

deneme bonusu veren siteler

tipobet giriş

betist

betist

Featured Kitaifa

MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MSALATO SEKONDARI YAMKOSHA RC SENYAMULE

Written by Alex Sonna

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule akizungumza na mwanafunzi wa Kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari Msalato Bi. Lucia Izengo Makeremo wakati ziara yake ya kukagua ujenzi wa madarasa na miundombinu ya mabweni katika shule hiyo. Senyamule pia aliwapongeza walimu na wanafunzi hao kwa kufanya vizuri katika matokeo ya mitihani ya kidato cha sita. Wengine katika picha kutoka kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mhe. Jabir Shekimweri na Mkuu wa Shule ya Msalato Mwl. Mwasiti Msokola.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule (katikati) na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mhe. Jabir Shekimweri (kulia) wakikaguzi ujenzi wa madarasa yanayojengwa katika Shule ya Sekondari Msalato wakati wa ziara yake ya kukagua ujenzi wa miradi ya maendeleo katika shule hiyo.

Katika picha ni darasa 1 kati ya 7 yaliyojengwa katika Shule ya Sekondari Msalato  kupitia fedha kutoka Serikali Kuu hadi sasa ujenzi wake umefikia  asilimia 85 na wako katika hatua za ukamilishaji. Kiasi cha shilingi milioni 688 zimetumika katika kukamilisha ujenzi wa mabweni manne, vyumba saba vya madarasa na matundu 10 ya vyoo katika shuleni hapo.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule akizungumza na wanafunzi pamoja pamoja na Walimu wa Shule ya Sekondari Msalato mara baada ya ziara yake katika Shule  hiyo ya Ukaguzi wa Ujenzi wa Mabweni 4, vyumba 7 vya Madarasa na matundu ya vyoo 10  unaoendelea katika shule hiyo

Na.Mwandishi Wetu

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule ameipongeza Shule ya vipaji maalumu ya Sekondari ya Wasichana ya Msalato Mkoani Dodoma kufuatia matokeo mazuri ya kidato cha Sita kwa kupata ufaulu wa alama ya daraja la kwanza 139  na 6 kwa daraja la pili.

Pongezi hizo amezitoa  leo tarehe 17,7.2023 wakati ya ziara yake ya kikazi ya kukagua  hatua ya ujenzi wa mabweni manne, vyumba saba vya madarasa na matundu 10 ya vyoo katika shule hiyo na Shule ya Sekondari Bihawana ambapo ujenzi wa matundu sita ya vyoo, bweni moja na vyumba vinne vya madarasa chini ya fedha kutoka serikali kuu. Katika shule ya Sekondari Msalato awamu ya kwanza ilipokea kiasi cha Shilingi Milioni 428 na awamu ya pili shilingi milioni 260 ikiwa ni nyongeza kutokana na idadi kubwa ya wanafunzi waliopangwa kuhitajika mabweni mawili ya ziada na Sekondari ya Bihawana shilingi milioni 227.2

“Nichukue nafasi hii kuwapongeza walimu na wanafunzi kwa kuufaharisha Mkoa wetu wa Dodoma, tunatamani kila mtu anaefanya kazi Mkoani hapa aifaharishe kwa nafasi yake kama hivi mlivyo fanya ninyi hongereni sana mmetupa heshima kubwa sana na nimategemeo yetu kuwa mtaendelea kufanya vizuri zaidi”, ameeleza Mhe.Senyamule 

Awali, Mhe.Senyamule amekagua ujenzi unaoendelea shuleni hapo na kuwaasa wakandarasi wanaosimamia miradi kuhakikisha wanaongeza kasi ya umaliziaji wa miradi hiyo kwa viwango vinavyotakiwa kwa kuzingatia muda uliobaki ili wanafunzi wa kidato cha tano wanapoingia waweze kutumia miundombinu hiyo, ikiwa imekamilika kwa ubora unaotakiwa.

“Lazima siku zilizobaki mjitahidi kuongeza kasi na kuongeza ubunifu  ili kuendana na wakati  uliobaki kwa kuzingatia ubora unaotakiwa, ongezeni idadi ya mafundi na ongezeni masaa ya kufanya kazi, hapa inahitajika speed and accuracy bahati nzuri hapa umeme upo tumieni nafasi hii kukamilisha kazi hii” amesisitiza Mhe.Senyamule

Akiwa katika Shule ya Sekondari ya Bihawana Mkuu wa Shule hiyo Mwalimu Liberatus Nkilema amesema ujenzi katika Shule hiyo uko katika hatua za ukamilishaji na mkakati uliopo ni kukamilisha mradi huo wa ujenzi ifikapo tarehe 30/07/2023.

 

Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mhe. Jabir Shekimweri amesisitiza umakini katika hatua ya umaliziaji wa mradi ili kuwa na majengo bora yatakayodumu kwa muda mrefu. Shekimweri pia amesema Mkoa wa Dodoma umefanya vizuri sana katika matokeo ya kidato cha sita ambapo katika Shule kumi bora kitaifa, Dodoma ziko shule 5 na katika Wilaya ziko Shule 10.

Nae,Mwanafunzi Gloria Frank Shirima Dada Mkuu wa Shule ya Sekondari Msalato akiongea kwa niaba ya wanafunzi wenzake  amemshukuru Mhe,Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuendelea kuboresha sekta mbalimbali hususani sekta ya elimu ameahidi kuongeza bidii kwenye masomo ili kuongeza ufaulu wa shule na kutendea haki bidii za Mhe. rais.

Bihawana na Msalato ni miongoni mwa Shule za Sekondari nchini zilizopokea fedha kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya kuwapokea wanafunzi wa kidato cha Tano wanaotaraijiwa kuripoti kuanzia tarehe 14 Agosti 2023. Bihawana Sekondari  ilipokea kiasi cha Shilingi Milioni 227.2 kwa ajili ya ujenzi wa matundu 6 ya vyoo, ujenzi wa Bweni 1 na vitanda 40, vyumba vinne vya madarasa vikiwa na jumla ya viti na meza 160.

About the author

Alex Sonna