Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

dedektör

vdcasino giriş

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

gameofbet

matbet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

jojobet giriş

betebet

gonebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

doeda

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

casibom

casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10 giriş

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

jojobet

ultrabet

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

starzbet

jojobet

Featured Kitaifa

BALOZI ALI KARUME AFUKUZWA UANACHA WA CCM ZANZIBAR.

Written by Alex Sonna

NA IS-HAKA OMAR,ZANZIBAR.

HALMASHAURI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Mkoa wa Kusini Unguja kwa kauli moja imemfukuza uanachama kada na mwanachama mkongwe wa Chama hicho Ali Abeid Karume kutokana na mwenendo wake wa kukiuka maelekezo ya maadili,miongozo na nidhamu iliyoainishwa katika Katiba ya CCM ya mwaka 1977 toleo la mwaka 2022.

Akizungumza mara baada ya kutolewa maazimio ya kikao hicho Katibu wa Siasa na Uenezi wa CCM Mkoa huo Ali Timamu Haji, alisema maamuzi hayo yamefikiwa kwa mujibu wa Katiba ya CCM ya mwaka 1977 toleo la mwaka 2022 ibara ya 89 inayoeleza kazi za Halmashauri kuu ya Mkoa inayoelekeza kuangalia mienendo ya wanachama na viongozi wa CCM wa ngazi ya Mkoa kichama na kulazimika kutoa taarifa kwa Vikao vinavyohusika ngazi za juu.

Pia Ibara ndogo ya 14 kifungu kidogo cha 14 kinaelekeza kumuachisha au kumfukuza uanachama mwanachama yeyoye endapo itadhika kwamba tabia na mwenendo wake vinamuondolea sifa za uanachama wake na mwanachama anayeachishwa au kufukuzwa uanachama anaweza kukata rufaa kwa Kamati Kuu ya Halmashauri kuu ya CCM Taifa.

Katika maelezo yake Katibu wa Siasa na Uenezi huyo Ali Timamu, alifafanua kuwa baada ya kupewa na nguvu na Katiba ya CCM na kujiridhisha kwa kina juu ya madai ya kukiuka maelekezo ya kikatiba  na kupitia mapendekezo yote yaliyopokelewa kutoka ngazi za Tawi,Wadi,Jimbo na Wilaya ambazo ni ngazi za chini za Mkoa huo Halmashauri Kuu ya CCM ya Mkoa huo imeridhia na kuridhika kwamba kutokana na kauli na vitendo vya mwanachama huyo Ali Abeid Amani  Karume wamekubaliana kumuachisha uanachama wa CCM na kumtaka arudishe kadi ya uanachama wa CCM ya kielektroniki namba C000/2809/993/1 ya tarehe 17/03/2022.

“Mwanachama huyu ameitwa na kuonywa kwa maandishi na vikao mbalimbali vya Chama Cha Mapinduzi, lakini hakutii wala kubadilisha tabia na vitendo vyake na kuendelea kukiuka kwa makusudi maadili na miongozo ya CCM hivyo kwa mamlaka tuliyopewa na Katiba yetu ngazi ya Mkoa ya CCM  Kusini Unguja kwa kauli moja tumefikia maamuzi makubaliano ya kumuachisha na kumfukuza uanachama mwanachama huyo’’, alifafanua Katibu huyo wa Siasa na Uenezi wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja.

Mwanachama na mwanasiasa mkongwe aliyewahi kushika nafasi mbalimbali za Chama na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar  zikiwemo Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya CCM Wilaya,Mkoa,Mwakilishi wa kuteuliwa,Waziri Mstaafu wa Mawasiliano,ujenzi na Uchukuzi Zanzibar,Waziri wa Vijana na Michezo Zanzibar  pamoja na kuwa Balozi Mstaafu wa Tanzania mwaka 2006.

MAISHA YAKE KISIASA NA UONGOZI

Balozi Mstaafu Ali Abeid Karume alizaliwa May 24, 1950 ni mtoto wa kwanza wa Rais wa kwanza wa Zanzibar Mzee Abeid Amani Karume pia ni ndugu wa Rais mstaafu wa awamu ya sita wa Zanzibar Mhe. Amani Abeid Karume.

Mwaka 2005 na mwaka 2010 alijitosa katika kugombea uteuzi wa chama chake ili apeperushe bendera ya CCM kwa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, lakini pia bahati haikuwa yake.

UZOEFU WAKE.

Akiwa na miaka 28 aliteuliwa kuwa Naibu Waziri, Wizara ya Biashara na Viwanda katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kazi aliyoishikilia kwa miaka sita (1972 – 1978) alipoomba likizo na kwenda kujiendeleza zaidi kimasomo nchini Marekani
Ali Karume ameanza kufanya kazi za kibalozi mwaka 1989 alipokuwa Balozi wa Tanzania nchini Marekani.

Mwaka 1993 akawa Mkurugenzi wa Idara ya masuala ya Ulaya na Amerika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa ya Tanzania hadi mwaka 1996 alipopelekwa Ubelgiji kuwa Balozi wa Tanzania kwa nchi za Ubelgiji, Uholanzi, Luxembourg na Umoja wa Ulaya.

Mwaka 2002 Ali akawa balozi wa Tanzania katika nchi za Ujerumani, Uswizi, na Poland sambamba na kuangalia mahusiano na nchi za Australia, Jamhuri ya Chek, Slovakia, Hungary, Romania na Bulgaria.

Kuanzia mwaka 2006 Ali karume aliteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kuwa Balozi wa Tanzania katika nchi za Italia, Ugiriki, Uturuki na Malta. Pia amekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cyprus na Mkuu wa Mabalozi wa Tanzania.

About the author

Alex Sonna