Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

meritking

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

meritbet

grandpashabet

grandpashabet

betsat

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

jojobet güncel giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

Featured Kitaifa

MAJALIWA : SERIKALI INATAKA WANANCHI WAPATE HUDUMA HUKO WALIKO

Written by Alex Sonna

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiweka jiwe la msingi la ujenzi jengo la wagonjwa wa nje (OPD), kwenye Hospitali ya Rufaa wa Mkoa-Ligula mkoani Mtwara, Julai 07, 2023. Kushoto ni Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita inataka kuona wananchi wakipatiwa huduma za afya huko waliko bila kulazimika kuzifuata mbali.

“Tumejenga vituo vya afya, hospitali za wilaya na sasa tunajenga hospitali kwenye kila Halmashauri ili kusogeza huduma zaidi kwa wananchi. Nia ya Serikali ya awamu ya sita ni kuona wananchi wetu wanapata huduma muhimu hukohuko waliko,” amesema.

Ametoa kauli hiyo leo (Ijumaa, Julai 07, 2023) mara baada ya kukagua ujenzi wa miundombinu na vifaa tiba katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kusini na Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Ligula zilizopo mkoani Mtwara.

Akizungumza na watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kusini, Waziri Mkuu amesema kuwa malengo ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ni kuifanya hospitali hiyo iwe mkombozi kwa wana-Kusini na nchi jirani za Msumbiji na Comoro. “Anataka wananchi wasiende umbali mrefu kupata huduma, badala yake huduma zote ziishie hapo.”

Amesema kuwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameongeza fedha kwenye bajeti ya Wizara ya Afya kwa ajili ya uboreshaji wa miundombinu na vifaa tiba vya kisasa kwenye maeneo yote ya utoaji wa huduma za afya. “Hospitali hii imetengewa shilingi bilioni tatu za kuboresha miundombinu na vifaa tiba.”  

Amesema kuwa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kusini, Mtwara itaendelea kupata huduma mpaka pale itakapokamilika ili malengo ya ujenzi wa hospitali hiyo yaweze kutimia.

Akitoa maelezo kwa Waziri Mkuu, Radiolojia Mkuu, Dkt. Dennis Mosha alisema hospitali hiyo imefanikiwa kusimika Mfumo wa Matibabu (eMedical HMIS) kwa ajili ya uhifadhi wa taarifa za matibabu. “Hospitali inatumia mfumo wa utunzaji wa picha za X- Ray, CT SCAN na MRI katika kuhakikisha utoaji bora wa huduma kwa njia ya kidijitali. Tunaweza kuwasiliana na MOI ili kupata ushauri zaidi wa kitaalamu endapo tunakwama,” alisema.

Wakati huohuo, Waziri Mkuu ameweka jiwe la msingi la ujenzi katika Jengo la Wagonjwa wa Nje (OPD) kwenye Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Ligula na kusema lengo la Serikali ni kuona majengo hayo yanakamilika na hospitali inaanza kutoa huduma mara moja.

“Hatuhitaji kuona awamu za ujenzi zikichukua muda mrefu. Tunataka ujenzi uendelee ili ukamilike kwa haraka kwa sababu fedha zake zipo. Hakikisheni mkandarasi anamaliza jengo lote,” amesisitiza.

Mganga Mfawidhi wa hospitali hiyo, Dkt. Lobikieli Kisambu alisema jengo hilo la ghorofa moja, litakapokamilika litakuwa limegharimu sh. bilioni 4.68 na kwamba hadi sasa zimekwishatumika sh. bilioni 2.9. “Jengo la chini (ground floor) limekamilika kwa asilimia 88.”

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu amekagua mradi wa uboreshaji wa upatikanaji maji safi na salama katika chujio la maji lililopo Mangamba, linalosimamiwa na Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mtwara (MTUWASA).

Ameitaka RUWASA na Mamlaka za Maji Safi na Usafi wa Mazingira nchini zifanye tafiti kwenye maeneo ambayo yanaweza kupatikana maji. “Jukumu hili si lenu peke yenu, shirikianeni na viongozi wa Halmashauri kuvibainisha na kuvilinda vyanzo hivyo ili dhamira ya Rais Dkt. Samia ya kupeleka huduma za maji safi hadi kwenye vitongoji iweze kutimia.”

Waziri Mkuu anaendelea na ziara yake mkoani mkoani Mtwara ambako jioni hii atazungumza na wakazi wa Manispaa ya Mtwara.

About the author

Alex Sonna