Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

casibom giriş

pokerklas

royalbet

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

betpark giriş

casibom giriş

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

türk ifşa

casibom

İkimisli

onwin

grandpashabet

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

mobilbahis

casibom

mislibet giriş

jasminbet giriş

imajbet

mislibet

kavbet

perabet

artemisbet

mislibet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

teosbet

vdcasino giriş

zirvebet

mislibet giriş

nerobet

jojobet

nerobet

jojobet giriş

kavbet giriş

Meritking

jojobet

สล็อตเว็บตรง

bets10

pusulabet

jojobet

marsbahis

holiganbet

trust score weak 3

holiganbet

ikimisli

tipobet

betpas

jasminbet

jojobet

jojobet adres

jojobet giris

jojobet adres

jojobet

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

casibom giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

betpas

1xbet giriş

holiganbet giriş

restbet

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

film izle

casibom

interbahis, interbahis giriş

betgar, betgar giriş

monobahis, monobahis giriş

superbetin

meritking

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

roketbet

jojobet

ligobet giriş

bets10 güncel giriş adresi

sahabet

jojobet

perabet

ilbet

deneme bonusu

casibom güncel giriş

sweet bonanza siteleri

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

piabet

kulisbet, kulisbet giriş

google

primebahis

primebahis

marsbahis

atlasbet

Doctors | Akdeniz University Hospital

deneme bonusu veren siteler

casino siteleri

casibom güncel giriş

casibom giriş

sweet bonanza

casibom

betflix giriş

betflix

betturkey

grandpashabet

sonbahis

holiganbet

mercurecasino

amgbahis

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet adres

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet adres

meritking giriş

meritking giriş

meritking

marsbahis

meritking

marsbahis giriş

marsbahis giriş

meritking

jojobet

jojobet giris

jojobet telegram

jojobet telegram

jojobet

jojobet telegram

jojobet giriş

betplay

Hacklink panel

betturkey

holiganbet

google giir

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet telegram

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet güncel

jojobet giriş

jojobet giriş

primebahis

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

sahabet

meritking giriş

marsbahis

betpas

betgaranti

betoffice

primebahis

Bet365 Giriş

betturkey

betturkey giriş

atlasbet giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

betpas giriş

tarafbet

tarafbet

betpark giriş

betpark

betpark

betpark güncel giriş

betpark giriş

runtobet

runtobet giriş

1xbet

marsbahis, marsbahis giriş

betine

jojobet

jojobet giris

jojobet güncel giriş

betkolik

jojobet telegram

jojobet güncel giriş

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

jojobet güncel

jojobet giriş

jojobet adres

jojobet adres

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet güncel

jojobet güncel

jojobet adres

jojobet giriş

jojobet giris

marsbahis

jojobet giris

marsbahis

jojobet güncel

jojobet güncel

jojobet telegram

jojobet güncel giriş

jojobet giris

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

bahisfair

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

jojobet adres

jojobet güncel giriş

goldenbahis

goldenbahis

pokerklas, pokerklas giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

jojobet giriş

deneme bonusu

casibom

jojobet

https://sjconsultors.com/

kavbet

Featured Kitaifa

TARURA YAAHIDI KUTUNZA MAGARI YALIYOTOLEWA NA SERIKALI

Written by Alex Sonna

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), Mhe. Angellah Kairuki,akikata utepe kuashiria ugawaji wa Magari kwa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini  (TARURA) kwa Makatibu Tawala wa Mikoa leo Julai 5,2023 jijini Dodoma.

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), Mhe. Angellah Kairuki,akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi Magari kwa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini  (TARURA) kwa Makatibu Tawala wa Mikoa leo Julai 5,2023 jijini Dodoma.

Naibu Katibu Mkuu (Miundombinu) wa Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhandisi Rogatus Mativila,akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi Magari kwa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini  (TARURA) kwa Makatibu Tawala wa Mikoa leo Julai 5,2023 jijini Dodoma.

Mtendaji Mkuu Wakala ya Barabara za Vijijini na Mjini (TARURA),Mhandisi Victor Seff ,akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi Magari kwa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini  (TARURA) kwa Makatibu Tawala wa Mikoa leo Julai 5,2023 jijini Dodoma.

 Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Dennis Lazaro Londo ,akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi Magari kwa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini  (TARURA) kwa Makatibu Tawala wa Mikoa leo Julai 5,2023 jijini Dodoma.

Mbunge wa Jimbo la Kilosa Prof. Palamagamba Kabudi ,akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi Magari kwa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini  (TARURA) kwa Makatibu Tawala wa Mikoa leo Julai 5,2023 jijini Dodoma.

SEHEMU ya washiriki wakifatilia hotuba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), Mhe. Angellah Kairuki (hayupo pichani) ,akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi Magari kwa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini  (TARURA) kwa Makatibu Tawala wa Mikoa leo Julai 5,2023 jijini Dodoma.

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), Mhe. Angellah Kairuki,akikata utepe kuashiria ugawaji wa Magari kwa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini  (TARURA) kwa Makatibu Tawala wa Mikoa leo Julai 5,2023 jijini Dodoma.

Muonekano wa Magari 43 yaliyotolewa kwa ajili ya Makatibu Tawala wa Mikoa 

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), Mhe. Angellah Kairuki,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya  kukabidhi Magari kwa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini  (TARURA) kwa Makatibu Tawala wa Mikoa leo Julai 5,2023 jijini Dodoma.

Na.Alex Sonna-DODOMA

WAZIRI  wa Nchi Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali (TAMISEMI) Angelah Kairuki ameutaka Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (TARURA) kuyatunza na kuyasimamia ipasavyo magari yaliyotolewa na Serikali  ili ili yaweze kukidhi matarajio na malengo waliyojiwekea.

Pia ameagiza magari hayo  kuhusika katika   suala la usimamizi na ufuatiliaji wa ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya barabara za vijijini na mijini ili kuchochea shughuli za maendeleo ya wananchi katika maeneo yao.

Akizungumza leo Julai 5,2023,jijini Dodoma katika hafla ya kukabidhi magari 43 kwa TARURA na Makatibu Tawala wasaidizi sehemu ya miundombinu,Waziri Kairuki amesema  TARURA inatakiwa  , kuyatunza na kuyasimamia ipasavyo magari hayo.

“Wasimamie  kwa mujibu wa miongozo na taratibu zilizopo ili yaweze kukidhi matarajio na malengo tuliojiwekea, kubwa likiwemo suala la usimamizi na ufuatiliaji wa ujenzi na ukarabati wa Miundombinu ya Barabara za Vijijini na Mijini ili kuchochea shughuli za maendeleo ya Wananchi katika maeneo yao,”amesema Waziri Kairuki.

Amesema  Serikali ya awamu ya sita  itaendelea  kuhakikisha kuwa inatoa huduma bora kwa wananchi na Tarura  kwa kuwapatia fedha kwa ajili ya ununuzi wa magari ili kuimarisha utendaji kazi na usimamizi wa miradi.

Amesema hadi sasa Wakala imefanya manunuzi ya magari 270, ambapo Magari hayo yamekuwa yakiwasili kwa vipindi tofauti, na kukabidhiwa kwa wahusika.

“Aidha, tukumbuke kuwa hivi karibuni TARURA ilikabidhiwa Magari mengine 54 na Mhe. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Isdory Mpango. 

Hivyo, katika kuendelea kupokea Magari hayo, leo nitakabidhi Magari mengine 43, na hivyo kufanya Magari yaliyokabidhiwa kuwa 241, tangu Wakala ulipoanza ununuzi wa Magari Julai 2017 hadi Juni 2023,”amesema Kairuki

Amesema lengo la ununuzi wa magari haya ni kuendelea kuimarisha usimamizi wa shughuli za Serikali katika Sekta ya miundombinu kwa kutoa huduma bora kwa Wananchi.

Waziri Kairuki amesema magari haya yatasaidia kurahisisha huduma ya usafiri kwa watendaji wa TARURA   na Makatibu Tawala Wasaidizi sehemu ya Miundombinu katika kusimamia, kuratibu na kufuatilia shughuli ujenzi katika Mikoa.

Amesema lengo ni kuhakikisha kuwa utendaji kazi unaimarishwa kwa kuwa na vyombo vya usafiri vya uhakika, vitendea kazi, Ofisi na watumishi makini wanaotekeleza majukumu yao kwa ufanisi na kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma.

“Kutokana na majukumu yaliyopo, Magari haya yatagawiwa kwenye Ofisi za TARURA na Ofisi za Sekretatieti za Mikoa zenye changamoto na uhitaji zaidi wa Magari kwa sasa, na zenye maeneo makubwa ya kusimamia.

Amesema Sekretarieti za Mikoa zitakazapata magari awamu hii ni Mtwara, Ruvuma, Mbeya, Songwe, Rukwa, Katavi, Kigoma, Kagera, Mara, Lindi, Dodoma, Tabora na Tanga.

 Kwa upande wake Mtendaji Mkuu Wakala ya Barabara za Vijijini na Mjini (TARURA),Mhandisi Victor Seff amesema ununuzi wa magari hayo ni mwendelezo wa Serikali ya awamu ya sita katika  kuondoa changamoto ya vitendea kazi hasa katika eneo la ufuatiliaji wa miradi ya ujenzi na matengenezo  ya barabara kupitia ofisi za Wakuu wa Mikoa na Tamisemi.

Amesema jumla ya magari 26 yameagizwa kwa ajili ya ufuatiliaji utakaofanywa na makatibu Tawala wasaidizi sehemu ya miundombinu ambapo kati ya hayo magari 13 yameishapokelewa na 13 bado hayajapokelewa.

Amesema kwa upande wa TARURA  tangu iliponzishwa mwaka 2017  jumla ya magari 270 yamenunuliwa ikiwa ni pomoja na magari  43 ambapo magari 29 kati ya 270 bado hajapokewa.

Mhandisi Seff  amesema TARURA mpaka sasa itakuwa na magari  483 kati ya 592 yanayohitajika katika ngazi za  makao makuu,mikoa na wilayani.

Amesema tathimini waliyofanya wamebaini kati ya magari 483 waliyonayo magari mazima ni 362 yenye hali nzuri na mabovu   magari  121 hivyo bado kuna upungufu wa magari  230 sawa na asilimia 43.

Amesema  mikakati waliyoanyo ni  kuendelea kununua magari kupitia bajeti za kila mwaka  ambapo kwa mwaka 2023-2024 jumla ya  Sh bilioni 4 zimetengwa kwa ajili ya ununuzi wa magari 40.

Akitoa utekelezaji wa kazi za ujenzi na matengenezo ya  barabara za wilaya katika mwaka wa fedha   2022-23  amesema  utekelezaji wa kazi kwa ujumla umefikia asilimia 85 ambapo  jumla ya Sh bilioni 621 zimetumika kati ya Sh bilioni  653 zilizopokelewa  sawa na asilimia 94.

Amesema fedha zilizopokelewa ni asilimia 85 ya bajeti ya  mwaka 2022-2023 ambayo ni Sh bilioni 676 kwa fedha za ndani.

About the author

Alex Sonna