marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

pusulabet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

grandpashabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

sonbahis

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

imajbet

klasbahis

savoybetting giriş

goldenbahis

savoybetting

klasbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

matbet, matbet giriş

betcio, betcio giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

sahabet

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

casibom

marsbahis

jojobet giriş

jojobet

alobet

alobet giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

trendbet giriş

bets10

jojobet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

trendbet

imajbet giriş

milanobet

imajbet

perabet giriş

perabet

imajbet

kralbet giriş

milanobet giriş

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

deneme bonusu

kingroyal

trust score weak 3

jojobet

slot siteler

casino siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betsat

betsat giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu veren siteler

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

sorgu paneli

marsbahis, marsbahis giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

superbetin

madridbet

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

tipobet giriş

romabet

kralbet

güvenli casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

Featured Kitaifa

SERIKALI KUTILIA MKAZO MAFUNZO YA WALIMU KAZINI

Written by Alex Sonna

 

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Pof. Adolf Mkenda,akizungumza  wakati akifungua Mafunzo kwa Maafisa Elimu Kata yanayotolewa na Wizara hiyo jijini Mwanza.

Na.Mwandishi Wetu-MWANZA

SERIKALI imesema itawekeza katika elimu ikiwa ni pamoja na kuhakikisha mafunzo ya walimu kazini yanakuwa endelevu kama inavyoelekezwa katika Rasimu ya Sera ya Elimu na Mafunzo 2014 Toleo la 2023 inayotaka walimu wote waliopo kazini kuendelezwa kupitia vituo vya walimu (TRCs) pamoja na kuwawezesha watakaopenda kujiendeleza.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Pof. Adolf Mkenda Jijini Mwanza wakati akifungua Mafunzo kwa Maafisa Elimu Kata yanayotolewa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia ambapo amesema serikali itawekeza kwa walimu waliopo kazini na kulinda ajira zao na kwamba vituo vya walimu (TRCs) ambavyo vitasimamiwa na Maafisa Elimu Kata vitakuwa chachu ya kuendeleza walimu sasa kuliko wakati wowote.

Prof. Mkenda amesema mafunzo yanayoendelea kutolewa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia katika Halmashauri zote kwa walimu wa ngazi mbalimbali na viongozi wasimamizi wa elimu nchini ni sehemu ya utekelezaji wa mkakati huo na kwamba mafunzo hayo yatakuwa endelevu hasa kwa walimu wa sayansi na Hesabu.

“kinachofanyika leo hapa ni utekelezaji wa maelekezo ya Rais wetu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, alitoa maelekezo ya kuhakikisha tunaendeleza mafunzo ya walimu kazini pamoja na ya matumizi sahihi ya vishikwambi. Tayari Katibu Mkuu ameshapanga timu ya kutoa mafunzo hayo nami pia nimekuja hapa kushuhudia ” amesema Prof. Adolf Mkenda

Kiongozi huyo ameongeza kuwa nchi zinatofautiana katika maendeleo na hasa ni kutokana na elimu na uwekezaji kwenye sayansi na teknolojia na si utajiri wa rasilimali na ndio maana watu wanalinganisha Korea na Tanzania kwamba miaka ya 1961 hazikuwa zikitofautiana sana kiuchumi lakini sasa Korea ni nchi ya uchumi wa Juu ni sababu wamewekeza katika Elimu.

“Nchi za Scandinavia zimeendelea zikiwa hazina rasilimia nyingi za asili lakini kutokana na jinsi walivyowekeza katika elimu na wakatumia elimu kuendeleza sayansi, teknolojia na ubunifu ambavyo vimewasaidia kuanzisha bidhaa nyingi ambazo zinashindana katika soko la dunia ikiwemo utengenezaji wa magari, simu na kuwawezesha watu wao kutumia vyema rasilimali zao ndogo za asili kwa maendeleo ya mataifa yao” amesisitiza Prof. Mkenda.

Amesema ili kujenga nchi yenye maendeleo kwa vizazi na vizazi njia kubwa na pekee ni kuwekeza sana kwenye elimu amewaataka Maafisa elimu kata kufahamu kuwa wao ndio wasimamizi wakubwa katika elimu huku akiwataka kutambua kuwa wanasimamia kitu muhimu kwa ajili ya kizazi cha leo na kijacho.

“Na ndio maana Mimi nasema Rais wetu Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa jinsi alivyoweka kipaumbele katika elimu, kwa uwekezaji na kwa mageuzi makubwa tunaendelea nayo katika Sekta hakika tumpe maua yake na atakumbukwa daima. Mafunzo kwa walimu kazini ni sehemu ya uwekezaji huo, kuna tabia ya watu kubeza wasomi na kudharau elimu tuwe waangalifu sana kwani bila elimu hatuwezi kuwa na madaktari, wahandisi na wengine” ameongeza Waziri huo.

Amesema kuwekeza kwenye mageuzi ya elimu matunda yake hayaonekani mapema kuna kazi kubwa itafanyika mpaka yaanze kuonekana kwani utekelezaji wa mageuzi hayo utakwenda kwa awamu ili elimu isivurugwe.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na TEknolojia Prof. James Mdoe amesema kuna matarajio makubwa kutoka kwa Maafisa Elimu Kata hao na kwamba watakwenda kutekeleza kazi kwa bidii kwani serikali inataka kuona mabadiliko katika elimu kwa sababu wao ndio viongozi wa elimu walio katika ngazi za chini.

“Matarajio yetu ni kuona ninyi nakwenda kusimamia vituo vya walimu kwa weledi na kuhakikisha mafunzo ya walimu yanatolewa na vituo hivyo vinatumika ipasavyo, sisi tunataka kuona mabadiliko katika ufundishaji na ujifunzaji baada ya mafunzo haya” amesisitiza Prof Mdoe

Naye Mkurugenzi Msaidizi wa Ualimu kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Huruma Mageni amesema kuwa Maafisa Elimu Kata wana jukumu la kuendesha na kusimamia Mafunzo ya Walimu Kazini (MEWAKA) katika ngazi ya shule na vituo vya walimu, hivyo kwa kuzingatia umuhimu huo Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na OR-TAMISEMI imeandaa mafunzo kwa Maafisa Elimu Kata 2,384 nchini kuhusu uendeshaji na usimamizi wa MEWAKA

Ameongeza kuwa baada ya mafunzo hayo kukamilika jumla ya walimu 45,979 na viongozi wa Elimu 3,412 katika Mamlaka za Serikali za Mitaa pamoja na Maafisa Elimu Kata 2,730 kutoka Halmashauri 184 watakuwa wamejengewa uwezo wa kuendesha na kusimamia MEWAKA katika Shule na Vituo vya Walimu.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Pof. Adolf Mkenda,akizungumza  wakati akifungua Mafunzo kwa Maafisa Elimu Kata yanayotolewa na Wizara hiyo jijini Mwanza.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na TEknolojia Prof. James Mdoe,akizungumza  wakati wa  Mafunzo kwa Maafisa Elimu Kata yanayotolewa na Wizara hiyo jijini Mwanza.

About the author

Alex Sonna