Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

dedektör

vdcasino giriş

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz giriş

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

jojobet

matbet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

jojobet giriş

betebet

gonebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

doeda

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

casibom

casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10 giriş

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

jojobet

ultrabet

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

starzbet

jojobet

Featured Kitaifa

SERIKALI KUTILIA MKAZO MAFUNZO YA WALIMU KAZINI

Written by Alex Sonna

 

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Pof. Adolf Mkenda,akizungumza  wakati akifungua Mafunzo kwa Maafisa Elimu Kata yanayotolewa na Wizara hiyo jijini Mwanza.

Na.Mwandishi Wetu-MWANZA

SERIKALI imesema itawekeza katika elimu ikiwa ni pamoja na kuhakikisha mafunzo ya walimu kazini yanakuwa endelevu kama inavyoelekezwa katika Rasimu ya Sera ya Elimu na Mafunzo 2014 Toleo la 2023 inayotaka walimu wote waliopo kazini kuendelezwa kupitia vituo vya walimu (TRCs) pamoja na kuwawezesha watakaopenda kujiendeleza.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Pof. Adolf Mkenda Jijini Mwanza wakati akifungua Mafunzo kwa Maafisa Elimu Kata yanayotolewa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia ambapo amesema serikali itawekeza kwa walimu waliopo kazini na kulinda ajira zao na kwamba vituo vya walimu (TRCs) ambavyo vitasimamiwa na Maafisa Elimu Kata vitakuwa chachu ya kuendeleza walimu sasa kuliko wakati wowote.

Prof. Mkenda amesema mafunzo yanayoendelea kutolewa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia katika Halmashauri zote kwa walimu wa ngazi mbalimbali na viongozi wasimamizi wa elimu nchini ni sehemu ya utekelezaji wa mkakati huo na kwamba mafunzo hayo yatakuwa endelevu hasa kwa walimu wa sayansi na Hesabu.

“kinachofanyika leo hapa ni utekelezaji wa maelekezo ya Rais wetu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, alitoa maelekezo ya kuhakikisha tunaendeleza mafunzo ya walimu kazini pamoja na ya matumizi sahihi ya vishikwambi. Tayari Katibu Mkuu ameshapanga timu ya kutoa mafunzo hayo nami pia nimekuja hapa kushuhudia ” amesema Prof. Adolf Mkenda

Kiongozi huyo ameongeza kuwa nchi zinatofautiana katika maendeleo na hasa ni kutokana na elimu na uwekezaji kwenye sayansi na teknolojia na si utajiri wa rasilimali na ndio maana watu wanalinganisha Korea na Tanzania kwamba miaka ya 1961 hazikuwa zikitofautiana sana kiuchumi lakini sasa Korea ni nchi ya uchumi wa Juu ni sababu wamewekeza katika Elimu.

“Nchi za Scandinavia zimeendelea zikiwa hazina rasilimia nyingi za asili lakini kutokana na jinsi walivyowekeza katika elimu na wakatumia elimu kuendeleza sayansi, teknolojia na ubunifu ambavyo vimewasaidia kuanzisha bidhaa nyingi ambazo zinashindana katika soko la dunia ikiwemo utengenezaji wa magari, simu na kuwawezesha watu wao kutumia vyema rasilimali zao ndogo za asili kwa maendeleo ya mataifa yao” amesisitiza Prof. Mkenda.

Amesema ili kujenga nchi yenye maendeleo kwa vizazi na vizazi njia kubwa na pekee ni kuwekeza sana kwenye elimu amewaataka Maafisa elimu kata kufahamu kuwa wao ndio wasimamizi wakubwa katika elimu huku akiwataka kutambua kuwa wanasimamia kitu muhimu kwa ajili ya kizazi cha leo na kijacho.

“Na ndio maana Mimi nasema Rais wetu Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa jinsi alivyoweka kipaumbele katika elimu, kwa uwekezaji na kwa mageuzi makubwa tunaendelea nayo katika Sekta hakika tumpe maua yake na atakumbukwa daima. Mafunzo kwa walimu kazini ni sehemu ya uwekezaji huo, kuna tabia ya watu kubeza wasomi na kudharau elimu tuwe waangalifu sana kwani bila elimu hatuwezi kuwa na madaktari, wahandisi na wengine” ameongeza Waziri huo.

Amesema kuwekeza kwenye mageuzi ya elimu matunda yake hayaonekani mapema kuna kazi kubwa itafanyika mpaka yaanze kuonekana kwani utekelezaji wa mageuzi hayo utakwenda kwa awamu ili elimu isivurugwe.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na TEknolojia Prof. James Mdoe amesema kuna matarajio makubwa kutoka kwa Maafisa Elimu Kata hao na kwamba watakwenda kutekeleza kazi kwa bidii kwani serikali inataka kuona mabadiliko katika elimu kwa sababu wao ndio viongozi wa elimu walio katika ngazi za chini.

“Matarajio yetu ni kuona ninyi nakwenda kusimamia vituo vya walimu kwa weledi na kuhakikisha mafunzo ya walimu yanatolewa na vituo hivyo vinatumika ipasavyo, sisi tunataka kuona mabadiliko katika ufundishaji na ujifunzaji baada ya mafunzo haya” amesisitiza Prof Mdoe

Naye Mkurugenzi Msaidizi wa Ualimu kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Huruma Mageni amesema kuwa Maafisa Elimu Kata wana jukumu la kuendesha na kusimamia Mafunzo ya Walimu Kazini (MEWAKA) katika ngazi ya shule na vituo vya walimu, hivyo kwa kuzingatia umuhimu huo Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na OR-TAMISEMI imeandaa mafunzo kwa Maafisa Elimu Kata 2,384 nchini kuhusu uendeshaji na usimamizi wa MEWAKA

Ameongeza kuwa baada ya mafunzo hayo kukamilika jumla ya walimu 45,979 na viongozi wa Elimu 3,412 katika Mamlaka za Serikali za Mitaa pamoja na Maafisa Elimu Kata 2,730 kutoka Halmashauri 184 watakuwa wamejengewa uwezo wa kuendesha na kusimamia MEWAKA katika Shule na Vituo vya Walimu.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Pof. Adolf Mkenda,akizungumza  wakati akifungua Mafunzo kwa Maafisa Elimu Kata yanayotolewa na Wizara hiyo jijini Mwanza.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na TEknolojia Prof. James Mdoe,akizungumza  wakati wa  Mafunzo kwa Maafisa Elimu Kata yanayotolewa na Wizara hiyo jijini Mwanza.

About the author

Alex Sonna