Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

bets10

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

Featured Kitaifa

ORYX GASI YAGAWA MITUNGI YA GESI IKIHAMASISHA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KOROGWE

Written by Alex Sonna

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Jokate Mwegelo(katikati) ,Mkurugenzi Mtendaji wa Oryx Tanzania Araman Benoite (wa pili kulia) pamoja na Meneja Mauzo Ukanda wa Dar es Salaam na Pwani Shaban Mohamed(wa tatu kushoto) wakimkabidhi mtungi wa gesi Rose Kimweri ambaye ni miongoni mwa viongozi na mjasiriamali katika wilaya hiyo.

Na.Mwandishi Wetu-

KAMPUNI ya Kampuni ya Oryx Gas Tanzania Limited imegawa mitungi na majiko yake 500 kwa Wenyeviti na Watendaji wa Vijiji na Kata zote za Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga huku ikieleza lengo la kugawa mitungi hiyo ni kuunga mkono juhudi za Rais Samia katika kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini.

Akizungumza wakati wa ugawaji wa mitungi hiyo mbele ya viongozi hao wakiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Jokate Mwegelo, Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo Araman Benoite amesema wamekuwa wakiendelea kufanya uwekezaji mkubwa nchini Tanzania kwa makundi mbalimbali ya wananchi ili kuunga mkono juhudi za serikali.

“Serikali imeendelea kuhamasisha matumizi ya gesi safi ya LPG ambayo ni suluhisho la kuondoa matumizi ya kuni na mkaa, hivyo basi kuboresha afya ya jamii na kulinda mazingira,sambamba na ahadi ya Rais kutoa nafasi ya matumizi ya nishati safi ya kupikia.”

Aidha amesema katika muendelezo uleule wa juhudi za kuhamasisha matumizi ya nshati safi ya kupikia kwa wananchi wote,kampuni ya Oryx Gas imeamua kusimama na wananchi wa wilaya ya Korogwe mkoani Tanga kupitia kwa viongozi wao kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa wote.

“Juhudi hizi ni pamoja na kusaidia kuwabadilisha viongozi wa wananchi kuachana na kuni na mkaa na kuhamia kwenye nishati ya gesi za kupikia (LPG).Hivyo tumekabidhi mitunge ya gesi na majiko 500, ” amesema na kuongeza ugawaji huo umekwenda sambamba na kutoa mafunzo ya usalama wa matumizi ya mitungi hiyo.

Benoite amesema wanaamini viongozi wanawakilisha wananchi na kiongozi anapaswa kuongoza kwa mifano na wanaushawishi mkubwa kwa wananchi wanaowaongoza hivyo Oryx imeona itoe mitungi ili wao wenyewe wakianza kutumia watape mamlaka ya kuwaambia wananchi umuhimu wa mabadiliko.

Pia amesema Oryx Gas Tanzania Ltd inaendelea kuwekeza katika uagizaji, uhifadhi, ujazaji wa gesi kwenye mitungi na usambazaji wa LPG Tanzania nzima, pamoja na Visiwa vyake. Oryx Gas Tanzania huwekeza kila mwaka mamilioni kadhaa ya dola kwenye mitungi mipya inayoingizwa sokoni kila siku.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Jokate Mwegelo amesema ugawaji wa mitungi hiyo ya gesi inakwenda sambamba na uzinduzi wa kampeni ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa wananchi ikiwa ni kuunga mkono juhudi za Serikali inayoongozwa na Rais Dk.Samia Suluhu Hassan ambaye alishazindua kampeni ya kutumia nishati mbadala kwa lengo la kulinda mazingira.

Amesema katika wilaya hiyo wameamua kugawa mitungi hiyo ya gesi kwa viongozi mbalimbali kuanzia ngazi ya wilaya mpaka ngazi ya msingi wakiwemo wenyeviti wa vijiji na watendaji katika kata zote huku akifafanua lengo kubwa ni kutoa ujumbe kwamba miti mingi inayokatwa iko vijijini na huko ndiko ambako viongozi hao wapo.

”Wenyeviti na watendaji wa vijiji tumewaona na tumetambua uwepo wenu, kama viongozi kwenye maeneo yeenu kuna watu wanawaakangalia. Leo hii mwenyekiti wa kijiji na mtendaji wake wakiamua kutumia nishati mbadala na wanakijiji watahamasika.

“Kwasababu wanaangalia viongozi wao wanawajua, wamewachagua wenyewe na wana uwezo wa kuwashawishi kuacha kutumia miti vibaya wakaanza sasa kuunga mkono jitihada hizi za kutumia nishati mbadala ili tuokoe kizazi hiki na kinachokuja.”
Aidha ameeleza kutokana na uharibifu wa mazingira Serkali ilitoa maelekezo mahususi wananchi kupandeni miti na kutunza mazingira , vyanzo vya maji ili kupata maji lakini kilimo kibaki salama kuwe na chakula cha kutosha.
“Sasa maamuzi ni ya kwetu sisi, na ndio kwenye haya nikasema lazima sisi viongozi katika ngazi zote ndani ya wilaya ya Korogwe tukubaliane tuachane na matumizi ya mkaa na kuni.Tukiamua kubadilika tutachochea wenzetu kubadilika.

“Nikasema sipendi kushurutisha watu bila kuwezesha , majiko ya gesi ndio haya kazi kwenu , lakini hii ni awamu ya awali tumeshauriana na viongozi wenzangu hivyo tutaenda awamu kwa awamu.Nia yangu ni kuwa na Korogwe inayosomeka kama wilaya kinara kwenye matumizi ya nishati safi,”amesema Jocate.

Ameongeza suala la nishati safi ya kupikia ni la wote hivyo watalibeba kwa mikono miwili ili kunusu misitu na mazingira sambamba na kwenda na kauli ya Rais Dk.Samia ya kuigeuza Tanzania salama na yenye kusifika katika utunzaji mazingira na kutumia nishati safi ya kupikia.

“Huo ndio mtazamo wetu na katika kufanikisha tumeungwa mkono na wenzetu wa Oryx ambao wanasifika kwa kugawa mitungi lakini mimi ningependa wasifike kwa watu unaowagawia mitungi waendelee kutumia hii mitungi.Watu lazima waendelee kutumia gesi na hii iwe endelevu,”amefafanua.

About the author

Alex Sonna